kwani unajua alikuwa wapi siku hiyo unataka ajigawe mara ngapi shangaa ya mbowe na slaa kushindwa kwenda kwenye mazishi ya mama ake zito badala yake wakaenda kwenye mikutano ya siasa.
Tunamzungumzia kitaifa JK hivi sasa ni Rais wa JMT, yeye ndio amiri jeshi mkuu wa majeshi ya Tanzania, Tanzania ni pamoja na Zanzibar. Dr slaa na Mbowe kwa sasa hawana wadhifa wowote kwenye serikali iliyo madarakani.