OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
Wengi humu ni wazito kuelewa. Hiyo ni moja ya strateji ya kutoipa uzito kimataifa habari hiyo na kuwatisha watalii. Kama angeenda rais kwa tukio kama lile,vyombo karibia vyote vya ndani na vya nje vinge cover habari hiyo na hii ingekua si nzuri kwa biashara ya utalii. Hata kule ZNZ alieenda kuwaona na kulisemea hili si Dk Shein bali waziri mmoja aliyekasimiwa mamlaka. That was strategicaly planned!. Think outside the box.
Inasaidia nini wakati amani inachafuliwa????!!!