Nimesikitishwa na Rais Kikwete

Nimesikitishwa na Rais Kikwete

Read between the lines. Bomu la Arusha lilivyorushwa Rais alikuwa anazindua albam?
Panuka akili kijana siyo kupanua vidole fikiri kwa kutumia kichwa usitumie viungo vya ajabu kufikri.
 
Sio shabiki wa JK lakini kwemye hili nimtete kidogo maana yuko Dodoma na tayari ana ratiba iliyopangwa.

Tumlaumu Kama hatotoa kauli kabisa juu ya hili

Mbn alikatiza ziara ya marekani kisa msiba Wa kanumba?au ilikua sio ratiba?
 
Katika vyombo vya habari karibu vyote siku ya Jana viliripoti juu ya Bomu la kurushwa Kwa mkono lililoripuka Zanzibar juzi usiku na kusababisha kifo cha mtu mmoja na wengine kadhaa kujeruiwa.

Kwa nchi yenye kujali utu na amani ya nchi, nilitegemea amiri jeshi Mkuu Wa nchi angefika aneo husika kuwajulia hali majerui na kupata taarifa ya tukio zima.

Jambo la kushangaza mheshimiwa rais ameenda kuzindua video za wasanii.

Binafsi ikanifanya niwaze mambo yafuatayo:
(a) rais wetu masuala ya Zanzibar hayamuhusu Kwa sasa
(b) Nchi imeshazoea hali ya mabomu Zanzibar na sehemu nyingnezo za nchi hivyo kuripuka kwa Bomu hakuzuii maisha mengine kuendelea
(c) Rais Wa jamuhuri ya muungano Kwa sasa si amiri jeshi Kwa upande Wa zanxibar .

Binafsi nmewaza hayo kama nmekosea naomba pia nkosolewe Kwa staha ninayostahiki kama binadamu.

Naomba kuwasilisha.

jamaa kituko kweli wewe eti unaomba kukosolewa kwa staha yani uandike utumbu halafu ukosolewe kwa staha nani kasema umburula mwingine hauna dawa kabisa.
 
Katika vyombo vya habari karibu vyote siku ya Jana viliripoti juu ya Bomu la kurushwa Kwa mkono lililoripuka Zanzibar juzi usiku na kusababisha kifo cha mtu mmoja na wengine kadhaa kujeruiwa.

Kwa nchi yenye kujali utu na amani ya nchi, nilitegemea amiri jeshi Mkuu Wa nchi angefika aneo husika kuwajulia hali majerui na kupata taarifa ya tukio zima.

Jambo la kushangaza mheshimiwa rais ameenda kuzindua video za wasanii.

Binafsi ikanifanya niwaze mambo yafuatayo:
(a) rais wetu masuala ya Zanzibar hayamuhusu Kwa sasa
(b) Nchi imeshazoea hali ya mabomu Zanzibar na sehemu nyingnezo za nchi hivyo kuripuka kwa Bomu hakuzuii maisha mengine kuendelea
(c) Rais Wa jamuhuri ya muungano Kwa sasa si amiri jeshi Kwa upande Wa zanxibar .

Binafsi nmewaza hayo kama nmekosea naomba pia nkosolewe Kwa staha ninayostahiki kama binadamu.

Naomba kuwasilisha.
Mkuu Zanzibar ni nchi!!
 
Jk hakuwenda kutoa mkono wa pole kwa maelfu ya wafiwa wa waliozama na mv spice wala mv skarget itakuwa hilo bomu lilouwa mtu 1 na watu wa4 kujeruhiwa? tena kwa Zanzibar?

Ingekuwa Diamond anaumwa au mama yake Diamond amekufa angekwenda kutoa ubani mil 15 hadi 50. Wazanzibar munalazimika sasa kuvunja muungano kwa nguvu zote hii ni ishara tosha Tanganyika wanaitaka Zanzibar ili kutengeneza milo yao 3 kwa siku tu.,
 
gongo zimeharibu vijana tunaletewa mada za kilevi sasa.
 
Jk hakuwenda kutoa mkono wa pole kwa maelfu ya wafiwa wa waliozama na mv spice wala mv skarget itakuwa hilo bomu lilouwa mtu 1 na watu wa4 kujeruhiwa? tena kwa Zanzibar?

Ingekuwa Diamond anaumwa au mama yake Diamond amekufa angekwenda kutoa ubani mil 15 hadi 50. Wazanzibar munalazimika sasa kuvunja muungano kwa nguvu zote hii ni ishara tosha Tanganyika wanaitaka Zanzibar ili kutengeneza milo yao 3 kwa siku tu.,

kwani unajua alikuwa wapi siku hiyo unataka ajigawe mara ngapi shangaa ya mbowe na slaa kushindwa kwenda kwenye mazishi ya mama ake zito badala yake wakaenda kwenye mikutano ya siasa.
 
ndiyo unaanza kusikitika leo? mwache amalize ungwe yake "sikio la kufa halisikii dawa"
 
Back
Top Bottom