Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,611
yaan wewe sijui hata nianzie wapi kukuelekeza na sio kukuelekeza tu pia uelewe,anyway nikupe kiduchu tu,rais huwa haendi sehemu hovyohovyo tu kama unavyo-wish wewe,Rais ana group la intelijinsia,na usimuone Dodoma ukajua swala ni huo uzinduzi tu,pia Rais ana wawakilishi sio kila sehemu lazima aende yeye,hata hivyo unahitaji elimu kidogo nitafute tuwekane sawa.
Nilisikia Mchambuzi anatangaza mwenye gari xxx na huu na zzz waondoe magari yao kwa kuwa yaliegeshwa njia ambayo Mr. Pres. Ataitumia, ndo inteligensia hiyo?