What an excuses ! Mbona tunashuhudia marais wa wenzetu wakiahirisha vikao na ratiba pindi majanga ama mambo mazito yanapotokea kwenye nchi zao? So kiuno cha SHILOLE kilikuwa na Umuhimu kuliko kuwaondolea HOFU wananchi wake?
Muache aendelee kulalamika mabomu muyarushe wenyewe then raisi wetu kipenzi ahangaike yeye. Hvi haoni raisi wetu anavyochapa kazi? Haoni alivyogeuka kua promota wa wasanii baada ya kuona majukumu ya ikulu yamemshinda? Jana katuahidi kumleta mwanamuziki mkubwa toka marekani Usher Raymond na hyo ni moja ya mafanikio ya ziara zake za huko marekan. Rais wetu tunakupenda sana we endelea kutuletea wasanii kwa kodi zetu.
Asante Kwa ushauri Mkuu olesaidimu umenifurahisha asubuhi hii
Usishangae kikwete. ... shangaa ZBC shirika la utangazaji la Zanzibar limekaa kimyaaa... halijasema chochote kuhusiana na kadhia hio!
Ewe punguani, unafikiri huyo ni Rais wa tabaka fulani tu la wananchi?
Umesahau maneno ya Mkapa?
Hpa panaongelewa Rais kwenda Unguja kwa ajili ya bomu lililorushwa.
Rais hakurupuki tu kwenda bila mpangilio maalum.
Kualika wasanii ni moja katika njia za kuitangaza nchi na kuvutia utalii. Nawashangaa sana kuona hilo ni jambo la ajabu.
Ikiwa nyinyi mmekosa ubunifu, kaeni mtazame wabunifu wanachokifanya.
Wewe nawe, mbona hata Arusha kulikuwa kuna Bomu lililorushwa Bar na hajafika.
Muache aendelee kulalamika mabomu muyarushe wenyewe then raisi wetu kipenzi ahangaike yeye. Hvi haoni raisi wetu anavyochapa kazi? Haoni alivyogeuka kua promota wa wasanii baada ya kuona majukumu ya ikulu yamemshinda? Jana katuahidi kumleta mwanamuziki mkubwa toka marekani Usher Raymond na hyo ni moja ya mafanikio ya ziara zake za huko marekan. Rais wetu tunakupenda sana we endelea kutuletea wasanii kwa kodi zetu.
Ewe punguani, unafikiri huyo ni Rais wa tabaka fulani tu la wananchi?
Umesahau maneno ya Mkapa?
Hpa panaongelewa Rais kwenda Unguja kwa ajili ya bomu lililorushwa.
Rais hakurupuki tu kwenda bila mpangilio maalum.
Kualika wasanii ni moja katika njia za kuitangaza nchi na kuvutia utalii. Nawashangaa sana kuona hilo ni jambo la ajabu.
Ikiwa nyinyi mmekosa ubunifu, kaeni mtazame wabunifu wanachokifanya.
We RockSpider kwanini hutaki kuthamin kazi anazofanya Jk raisi wetu? Huoni alichokua anakifanya jana ni moja ya vipaumbele vya taifa na ilani ya ccm chama chetu sikivu. We endelea kulia lkn ujue rais wetu yuko bize sana na upromota na kaahidi kutuletea wanamuziki na waigizaji wakubwa toka marekani.
Muache aendelee kulalamika mabomu muyarushe wenyewe then raisi wetu kipenzi ahangaike yeye. Hvi haoni raisi wetu anavyochapa kazi? Haoni alivyogeuka kua promota wa wasanii baada ya kuona majukumu ya ikulu yamemshinda? Jana katuahidi kumleta mwanamuziki mkubwa toka marekani Usher Raymond na hyo ni moja ya mafanikio ya ziara zake za huko marekan. Rais wetu tunakupenda sana we endelea kutuletea wasanii kwa kodi zetu.
Kwa miaka 9 sasa Tanzania inakwenda bila rais
ni kwel bro. jambo la ajabu siku hizi mabomu kwetu ni jambo la kawaida huku tukishuhudia hakuna jambo lolote linalofanyika. mtu kama faiza foxy anatetea
Katika vyombo vya habari karibu vyote siku ya Jana viliripoti juu ya Bomu la kurushwa Kwa mkono lililoripuka Zanzibar juzi usiku na kusababisha kifo cha mtu mmoja na wengine kadhaa kujeruiwa.
Kwa nchi yenye kujali utu na amani ya nchi, nilitegemea amiri jeshi Mkuu Wa nchi angefika aneo husika kuwajulia hali majerui na kupata taarifa ya tukio zima.
Jambo la kushangaza mheshimiwa rais ameenda kuzindua video za wasanii.
Binafsi ikanifanya niwaze mambo yafuatayo:
(a) rais wetu masuala ya Zanzibar hayamuhusu Kwa sasa
(b) Nchi imeshazoea hali ya mabomu Zanzibar na sehemu nyingnezo za nchi hivyo kuripuka kwa Bomu hakuzuii maisha mengine kuendelea
(c) Rais Wa jamuhuri ya muungano Kwa sasa si amiri jeshi Kwa upande Wa zanxibar .
Binafsi nmewaza hayo kama nmekosea naomba pia nkosolewe Kwa staha ninayostahiki kama binadamu.
Naomba kuwasilisha.
Na yakizoeleka tutalia zaid ya hapa!!!!!!
Imagine hata wabunge kwa umoja wao sijawasikia, au mi nimepitwa????!!!!
Katika vyombo vya habari karibu vyote siku ya Jana viliripoti juu ya Bomu la kurushwa Kwa mkono lililoripuka Zanzibar juzi usiku na kusababisha kifo cha mtu mmoja na wengine kadhaa kujeruiwa.
Kwa nchi yenye kujali utu na amani ya nchi, nilitegemea amiri jeshi Mkuu Wa nchi angefika aneo husika kuwajulia hali majerui na kupata taarifa ya tukio zima.
Jambo la kushangaza mheshimiwa rais ameenda kuzindua video za wasanii.
Binafsi ikanifanya niwaze mambo yafuatayo:
(a) rais wetu masuala ya Zanzibar hayamuhusu Kwa sasa
(b) Nchi imeshazoea hali ya mabomu Zanzibar na sehemu nyingnezo za nchi hivyo kuripuka kwa Bomu hakuzuii maisha mengine kuendelea
(c) Rais Wa jamuhuri ya muungano Kwa sasa si amiri jeshi Kwa upande Wa zanxibar .
Binafsi nmewaza hayo kama nmekosea naomba pia nkosolewe Kwa staha ninayostahiki kama binadamu.
Naomba kuwasilisha.