Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,410
Tukitafsiri majina kwa kulinganisha na lugha za makabila yetu tutakosema sana. Kwetu TAWA ni kinyesi kinachonuka sana tena cha uharosikushangai maboso kwetu maana yake ni mayai yaliyooza.
Tukitafsiri majina kwa kulinganisha na lugha za makabila yetu tutakosema sana. Kwetu TAWA ni kinyesi kinachonuka sana tena cha uharosikushangai maboso kwetu maana yake ni mayai yaliyooza.
Wamezaa mtoto haramu aka wa nje ya Ndoa aka wa Guest
du! we nawe mTanzania? Haya amka, kana we uso
Tehetehetehetehe? Huyu si ndiye aliyeenda kufanya uzinifu huko Dubai?Mkuu ngoja niwawekee wamuone vizuri.
Sijui jina watamwita nani huyu mwana.Wamezaa mtoto haramu aka wa nje ya Ndoa aka wa Guest
Heheheheheheeeeee!matoto yanayolala kwa wazazi kama wewe ni hasara kabisa jitambue jenga hata tembe basi.
Nadhani itoshe tu kuita Dubai ProductSijui jina watamwita nani huyu mwana.
kwenye kumbukumbu za bunge yapo wazi na bayana kabisa nenda kafukue utayaona ya maajabu ya musa.
Usikimbie mada MkuuKwa hiyo mkulu ndio hana watoto wa nje?
Kwani wewe una hisa gani na Mbowe? Mbona unahamaki sanaAcha story za gahawa wewe pimbi!nime kuambia mwaga evidence hapa!
Usikimbie mada Mkuu
Kwani wewe una hisa gani na Mbowe? Mbona unahamaki sana
Sio shabiki wa JK lakini kwemye hili nimtete kidogo maana yuko Dodoma na tayari ana ratiba iliyopangwa.
Tumlaumu Kama hatotoa kauli kabisa juu ya hili
majanga hayana ratibaSio shabiki wa JK lakini kwemye hili nimtete kidogo maana yuko Dodoma na tayari ana ratiba iliyopangwa.
Tumlaumu Kama hatotoa kauli kabisa juu ya hili
Tena mmoja yupo Njombewapi nimekimbia mkuu we niambie mkulu hana watoto wa nje?
Tena mmoja yupo Njombe
Muungano kiini macho huo, JK hata Arusha kwake ni nchi jirani ingekuwa chalinze hata kungekuwa na ajali ya bodaboda angeenda