Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,124
- 173,992
Tofauti ya Magufuli na Walamba asali yeye ni kuwa alikuwa anafanya vitendo zaidi na uchumi ulikuwa uko na active motion. Ila hawa walamba asali wao wame capitalize kwenye propoganda tu.Magufuli Daima alituonesha njia sahihi Watanzania tunapaswa kupita.
Tulikua tunaona Tanzania inapiga hatu kubwa ya kiuchumi na kujenga uchumi sawa kwa raia wake.
Pumzika kwa Amani JIWE la Afrika