Wananchi wakataa kunyoosha mikono kwenye mkutano wa Nape kupinga kauli za kichonganishi za Nape dhidi ya Magufuli, watu wamemchoka ajitafakari

Corticopontine

JF-Expert Member
Sep 20, 2019
664
1,272
Nimemuelewa Nape Moses Nnauye.

Nilivyomuelewa mimi silazimishi mwingine kumuelewa. Kila mtu abaki na uelewa wake.

Katika clip inayotembea mitandaoni, NAPE NNAUYE amenukuliwa akisema yafuatayo.

"Kama kuna watu wamefurahi, mimi mmojawapo, bahari imetulia, Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi, basi baki nyumbani tusonge mbele pamoja"

"Membe oyeee, Samiaaa oyeeeeeeeee, wangapi wanampenda Samia, mbona mmechekaa...!!!? Nyoosha kidole juuu, message sent eeeee, Mama Samiaaa Oyeeeee"

Kwanza nianze na kauli yake ya kwanza kwamba Mwenyezi "Mungu ameamua ugomvi"

Hii kauli imeniuma sana, imeniuma mno, sikutarajia kuisikia kutoka kinywani mwa Nape Nnauye, kuna kauli za kutolewa na viongozi na kauli za kutolewa na mashabiki ama wafuasi fulani wasio na cheo chochote ama nafasi yoyote ile.

Kauli hii kwamba Mwenyezi mungu ameiamua kesi hii ni kusema kwamba Bernad Membe amereje CCM baada ya Hayati Dr Magufuli kufariki. Kwamba bila Magufuli kufariki ama kuondoka Madarakani basi Membe asingerejea CCM.

Kiini cha haya yote ni nini? Membe aliondokaje CCM? Makosa aliyoondoka nayo Membe si ndo makosa hayohayo yeye Nape Nnauye alienda Ikulu kuomba msamaha kwa Magufuli? Hatujasahau mbona? Kuna nini kinaendelea kwenye hili la leo?

Baada ya kauli hii kuitoa Bwana Nape Nnauye, akawataka wananchi na wanachama wa CCM wanyooshe mikono juu kama ishara ya kumkubali Rais wa sasa Mama Samia, hilo wananchi waliligomea, ndo maana akasema mbona mnasita hivi, maana yake wananchi na wanachama wa CCM hawakukubaliana na hizi kauli tata anamchonganisha Mheshimiwa Rais ionekane kifo cha Magufuli kinafurahiwa na Mama Samia jambo ambalo ni hatari na halina afya kwenye chama na Serikali. Hili binafsi nalikemea.

Najua Nape Nnauye ana madaraka, ni kiongozi mkubwa serikalini ila siogopi na wala simuogopi na akitaka lolote anifanyie tu potelea mbali ila jambo alilolifanya ni la kulaaniwa na mtu yeyote. Jambo lisilokuwa na utu ndani yake. Hapo kwenye hizi kauli zake Mama Samia amehusikaje? Kwamba nini?

Kauli hii ni ya hovyo na siwezi kukubaliana nayo japo watu na viongozi wa chama wameikalia kimya. Nape atambue kuwa kauli zake anazozitoa ndizo zinazoifanya serikali hii inayoongozwa na Mama Samia isipendwe na wananchi. Ni kwa sababu ya kauli hizi, inawezekana Nape Nnauye alikuwa na ugomvi na Magufuli, hilo sisi wananchi halituhusu, kila siku akisimama ni kumsema Hayati Magufuli namna anavyojua yeye siwezi kukubaliana nalo.

Mimi ni kiongozi wa chama, kiongozi wa Chama chetu anaongozwa na kanuni za maadili za viongozi. Nitashangaa kama hatoitwa na kamati ya maadili ya chama. Furaha yake yeye Magufuli kufariki hakutufanyi sisi wengine pia tufurahie kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wetu taifa. Maamuzi ya kufukuzwa uanachama wa cCM kwa Benard Membe haukufanywa na Magufuli peke yake. Walikuwepo viongozi wengine.

Ni kawaida kwa CCM mwanachama akifanya makosa makubwa huwa anafukuzwa uanachama au kusimamishwa uongozi wake katika chama na hatua zingine za kinidhamu hufanyika ikiwepo kutumia haki ya kikatiba ya kusikilizwa kwenye kikao. Membe haya yote hakuyapitia?

Nape Nnauye ameelezea kwamba aliwahi kuingia katika hatihati ya kufukuzwa chama. Tukio hili nalikumbuka vizuri. Ilikuwa katika awamu ya nne na akatuhumiwa kwamba yeye na akina Membe walianzisha chama kipya. Ilikuwa enzi hizo za awamu ya nne. Magufuli hakuwa hata na ndoto ya kugombea Urais. Amekiri kwamba kulikuwa na wahuni kipindi hicho akiwa msaidizi wa Membe hadi Membe akaamua kusaini barua yake aende masomoni ili asiondolewe kwenye chama.

Wakati huo yeye akiwa Msaidizi wa MEMBE, Magufuli hakuwa hata Rais, Dr bashiru hakuwa Katibu Mkuu wa CCM, Humphrey Polepole hakuwa katibu mwenezi wa chama. Kauli hii inapingana na uhalisia wa matendo yake na mwenendo wake katika chama cha Mapinduzi. Nimeitimaza clip hii kwa muda kidogo na kuirudiarudia kuona alimaanisha nini, nilichokiona ni chuki binafsi dhidi Hayati Magufuli na wengine aliokuwa nao katika uongozi wa chama na serikali.

Naikemea kauli ya namna hii na kukiomba chama cha mapinduzi kitoe rai na onyo kwa mtu yeyote kuwasema viongozi wastaafu ama waliotangulia mbele za HAKI .
 
Tulioambiwa tubaki na mavi yetu tumboni tunaruhusiwa kuchangia hoja!!??
 

Attachments

  • Screenshot_20220527-220020_Facebook.jpg
    Screenshot_20220527-220020_Facebook.jpg
    66.3 KB · Views: 47
Nape anafaa kua mhamasishaji zaidi kuliko kutarajiwa atoe hoja.

Bahati mbaya Tz mtu akionekana kama anaenda against na serikali watu wanaamini ana akili. Muda mwingine ni kutetea ugali tu. So jamaa alivyotolewa bastola wakamuweka kundi la elites.

Nilimsikiliza akijibu maswali juu ya mb kuisha, TCRA na mambo mengine yaani alikua hajibu hoja ila alikua anashushua na anamshushua mwananchi ambaye anaona pesa anayolipa haiendani na thamani ya anachopata kutoka humo mitandaoni.

Kuna jamaa aliwahi sema Makamba is overrated. Nafikiri tabia yake ya kukaa kimya inamsaidia inafanya usijue kama elite ama la, lakini Mwigulu, Kigwangala na Nape hawa washajitambulisha daraja lao.
 
Nimemuelewa Nape Moses Nnauye.

Nilivyomuelewa mimi silazimishi mwingine kumuelewa. Kila mtu abaki na uelewa wake.

Katika clip inayotembea mitandaoni, NAPE NNAUYE amenukuliwa akisema yafuatayo.

"Kama kuna watu wamefurahi, mimi mmojawapo, bahari imetulia, Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi, basi baki nyumbani tusonge mbele pamoja"

"Membe oyeee, Samiaaa oyeeeeeeeee, wangapi wanampenda Samia, mbona mmechekaa...!!!? Nyoosha kidole juuu, message sent eeeee, Mama Samiaaa Oyeeeee"

Kwanza nianze na kauli yake ya kwanza kwamba Mwenyezi "Mungu ameamua ugomvi"

Hii kauli imeniuma sana, imeniuma mno, sikutarajia kuisikia kutoka kinywani mwa Nape Nnauye, kuna kauli za kutolewa na viongozi na kauli za kutolewa na mashabiki ama wafuasi fulani wasio na cheo chochote ama nafasi yoyote ile.

Kauli hii kwamba Mwenyezi mungu ameiamua kesi hii ni kusema kwamba Bernad Membe amereje CCM baada ya Hayati Dr Magufuli kufariki. Kwamba bila Magufuli kufariki ama kuondoka Madarakani basi Membe asingerejea CCM.

Kiini cha haya yote ni nini? Membe aliondokaje CCM? Makosa aliyoondoka nayo Membe si ndo makosa hayohayo yeye Nape Nnauye alienda Ikulu kuomba msamaha kwa Magufuli? Hatujasahau mbona? Kuna nini kinaendelea kwenye hili la leo?

Baada ya kauli hii kuitoa Bwana Nape Nnauye, akawataka wananchi na wanachama wa CCM wanyooshe mikono juu kama ishara ya kumkubali Rais wa sasa Mama Samia, hilo wananchi waliligomea, ndo maana akasema mbona mnasita hivi, maana yake wananchi na wanachama wa CCM hawakukubaliana na hizi kauli tata anamchonganisha Mheshimiwa Rais ionekane kifo cha Magufuli kinafurahiwa na Mama Samia jambo ambalo ni hatari na halina afya kwenye chama na Serikali. Hili binafsi nalikemea.

Najua Nape Nnauye ana madaraka, ni kiongozi mkubwa serikalini ila siogopi na wala simuogopi na akitaka lolote anifanyie tu potelea mbali ila jambo alilolifanya ni la kulaaniwa na mtu yeyote. Jambo lisilokuwa na utu ndani yake. Hapo kwenye hizi kauli zake Mama Samia amehusikaje? Kwamba nini?

Kauli hii ni ya hovyo na siwezi kukubaliana nayo japo watu na viongozi wa chama wameikalia kimya. Nape atambue kuwa kauli zake anazozitoa ndizo zinazoifanya serikali hii inayoongozwa na Mama Samia isipendwe na wananchi. Ni kwa sababu ya kauli hizi, inawezekana Nape Nnauye alikuwa na ugomvi na Magufuli, hilo sisi wananchi halituhusu, kila siku akisimama ni kumsema Hayati Magufuli namna anavyojua yeye siwezi kukubaliana nalo.

Mimi ni kiongozi wa chama, kiongozi wa Chama chetu anaongozwa na kanuni za maadili za viongozi. Nitashangaa kama hatoitwa na kamati ya maadili ya chama. Furaha yake yeye Magufuli kufariki hakutufanyi sisi wengine pia tufurahie kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wetu taifa. Maamuzi ya kufukuzwa uanachama wa cCM kwa Benard Membe haukufanywa na Magufuli peke yake. Walikuwepo viongozi wengine.

Ni kawaida kwa CCM mwanachama akifanya makosa makubwa huwa anafukuzwa uanachama au kusimamishwa uongozi wake katika chama na hatua zingine za kinidhamu hufanyika ikiwepo kutumia haki ya kikatiba ya kusikilizwa kwenye kikao. Membe haya yote hakuyapitia?

Nape Nnauye ameelezea kwamba aliwahi kuingia katika hatihati ya kufukuzwa chama. Tukio hili nalikumbuka vizuri. Ilikuwa katika awamu ya nne na akatuhumiwa kwamba yeye na akina Membe walianzisha chama kipya. Ilikuwa enzi hizo za awamu ya nne. Magufuli hakuwa hata na ndoto ya kugombea Urais. Amekiri kwamba kulikuwa na wahuni kipindi hicho akiwa msaidizi wa Membe hadi Membe akaamua kusaini barua yake aende masomoni ili asiondolewe kwenye chama.

Wakati huo yeye akiwa Msaidizi wa MEMBE, Magufuli hakuwa hata Rais, Dr bashiru hakuwa Katibu Mkuu wa CCM, Humphrey Polepole hakuwa katibu mwenezi wa chama. Kauli hii inapingana na uhalisia wa matendo yake na mwenendo wake katika chama cha Mapinduzi. Nimeitimaza clip hii kwa muda kidogo na kuirudiarudia kuona alimaanisha nini, nilichokiona ni chuki binafsi dhidi Hayati Magufuli na wengine aliokuwa nao katika uongozi wa chama na serikali.

Naikemea kauli ya namna hii na kukiomba chama cha mapinduzi kitoe rai na onyo kwa mtu yeyote kuwasema viongozi wastaafu ama waliotangulia mbele za HAKI .
Makundi haya unayoyasema(the current ones) muasisi wake ni Mwendakuzimu, hilo liko wazi ila mahaba yako kwa huyo Muhutu yanakupofusha.
 
Nape anafaa kua mhamasishaji zaidi kuliko kutarajiwa atoe hoja.

Bahati mbaya Tz mtu akionekana kama anaenda against na serikali watu wanaamini ana akili. Muda mwingine ni kutetea ugali tu. So jamaa alivyotolewa bastola wakamuweka kundi la elites.

Nilimsikiliza akijibu maswali juu ya mb kuisha, TCRA na mambo mengine yaani alikua hajibu hoja ila alikua anashushua na anamshushua mwananchi ambaye anaona pesa anayolipa haiendani na thamani ya anachopata kutoka humo mitandaoni.

Kuna jamaa aliwahi sema Makamba is overrated. Nafikiri tabia yake ya kukaa kimya inamsaidia inafanya usijue kama elite ama la, lakini Mwigulu, Kigwangala na Nape hawa washajitambulisha daraja lao.
Pena, na wote walorudishwa mezani Wana agenda moja, mkuu wa meza awaangalie vizuri wahuni hawaaminiki.

Mwendo huu wa matusi sioni kama ni bahati mbaya maana wanafuata Utaratibu Fulani uloratibiwa kurusha mawe gizani Kwa zamu.

Wanasema wasomi ''There is no evil plan without a mistake''.

Tangu Kuzaliwa sijawahi kuona ''MAPAKA SHUME'' yanakula Kwa ustaarabu kwenye sahani hata kama chakula ni kingi, lazima yaparuane.
 
Hizi kauli za kina Nape, na ile iliyotolewa na Makamba Snr sasa wanalamba asali naona wanajivua nguo bila wao kujua, ni wabinafsi sana wanaojiona wana hati miliki ya kuwa madarakani wakati wote, wanajiona wao pekee ndio wenye haki hiyo.

Na kwa wale wanaoshabikia kauli za Nape, kwa kisingizio cha Magufuli alikuwa mbaya, wajue fika kuna wakati utafika nao watalia, watalia pale ambapo Nape na wenzake wataiba kura kuisaidia CCM yao iendelee kuwepo madarakani ili nao wapate teuzi.

Wengi humu naona wamechotwa na upepo wa "marehemu lazima asemwe kwa mabaya yake" wengine wanadai; "marehemu aliwazuia watu kusema akiwa hai wacha asemwe akiwa mfu" nawaasa waendelee kutetea kauli zao huku wakijua kufanya hivyo wanamuunga mkono Nape na wenzake kuendelea kulamba asali, wao wanapiga filimbi tu.
 
Nimemuelewa Nape Moses Nnauye.

Nilivyomuelewa mimi silazimishi mwingine kumuelewa. Kila mtu abaki na uelewa wake.

Katika clip inayotembea mitandaoni, NAPE NNAUYE amenukuliwa akisema yafuatayo.

"Kama kuna watu wamefurahi, mimi mmojawapo, bahari imetulia, Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi, basi baki nyumbani tusonge mbele pamoja"

"Membe oyeee, Samiaaa oyeeeeeeeee, wangapi wanampenda Samia, mbona mmechekaa...!!!? Nyoosha kidole juuu, message sent eeeee, Mama Samiaaa Oyeeeee"

Kwanza nianze na kauli yake ya kwanza kwamba Mwenyezi "Mungu ameamua ugomvi"

Hii kauli imeniuma sana, imeniuma mno, sikutarajia kuisikia kutoka kinywani mwa Nape Nnauye, kuna kauli za kutolewa na viongozi na kauli za kutolewa na mashabiki ama wafuasi fulani wasio na cheo chochote ama nafasi yoyote ile.

Kauli hii kwamba Mwenyezi mungu ameiamua kesi hii ni kusema kwamba Bernad Membe amereje CCM baada ya Hayati Dr Magufuli kufariki. Kwamba bila Magufuli kufariki ama kuondoka Madarakani basi Membe asingerejea CCM.

Kiini cha haya yote ni nini? Membe aliondokaje CCM? Makosa aliyoondoka nayo Membe si ndo makosa hayohayo yeye Nape Nnauye alienda Ikulu kuomba msamaha kwa Magufuli? Hatujasahau mbona? Kuna nini kinaendelea kwenye hili la leo?

Baada ya kauli hii kuitoa Bwana Nape Nnauye, akawataka wananchi na wanachama wa CCM wanyooshe mikono juu kama ishara ya kumkubali Rais wa sasa Mama Samia, hilo wananchi waliligomea, ndo maana akasema mbona mnasita hivi, maana yake wananchi na wanachama wa CCM hawakukubaliana na hizi kauli tata anamchonganisha Mheshimiwa Rais ionekane kifo cha Magufuli kinafurahiwa na Mama Samia jambo ambalo ni hatari na halina afya kwenye chama na Serikali. Hili binafsi nalikemea.

Najua Nape Nnauye ana madaraka, ni kiongozi mkubwa serikalini ila siogopi na wala simuogopi na akitaka lolote anifanyie tu potelea mbali ila jambo alilolifanya ni la kulaaniwa na mtu yeyote. Jambo lisilokuwa na utu ndani yake. Hapo kwenye hizi kauli zake Mama Samia amehusikaje? Kwamba nini?

Kauli hii ni ya hovyo na siwezi kukubaliana nayo japo watu na viongozi wa chama wameikalia kimya. Nape atambue kuwa kauli zake anazozitoa ndizo zinazoifanya serikali hii inayoongozwa na Mama Samia isipendwe na wananchi. Ni kwa sababu ya kauli hizi, inawezekana Nape Nnauye alikuwa na ugomvi na Magufuli, hilo sisi wananchi halituhusu, kila siku akisimama ni kumsema Hayati Magufuli namna anavyojua yeye siwezi kukubaliana nalo.

Mimi ni kiongozi wa chama, kiongozi wa Chama chetu anaongozwa na kanuni za maadili za viongozi. Nitashangaa kama hatoitwa na kamati ya maadili ya chama. Furaha yake yeye Magufuli kufariki hakutufanyi sisi wengine pia tufurahie kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wetu taifa. Maamuzi ya kufukuzwa uanachama wa cCM kwa Benard Membe haukufanywa na Magufuli peke yake. Walikuwepo viongozi wengine.

Ni kawaida kwa CCM mwanachama akifanya makosa makubwa huwa anafukuzwa uanachama au kusimamishwa uongozi wake katika chama na hatua zingine za kinidhamu hufanyika ikiwepo kutumia haki ya kikatiba ya kusikilizwa kwenye kikao. Membe haya yote hakuyapitia?

Nape Nnauye ameelezea kwamba aliwahi kuingia katika hatihati ya kufukuzwa chama. Tukio hili nalikumbuka vizuri. Ilikuwa katika awamu ya nne na akatuhumiwa kwamba yeye na akina Membe walianzisha chama kipya. Ilikuwa enzi hizo za awamu ya nne. Magufuli hakuwa hata na ndoto ya kugombea Urais. Amekiri kwamba kulikuwa na wahuni kipindi hicho akiwa msaidizi wa Membe hadi Membe akaamua kusaini barua yake aende masomoni ili asiondolewe kwenye chama.

Wakati huo yeye akiwa Msaidizi wa MEMBE, Magufuli hakuwa hata Rais, Dr bashiru hakuwa Katibu Mkuu wa CCM, Humphrey Polepole hakuwa katibu mwenezi wa chama. Kauli hii inapingana na uhalisia wa matendo yake na mwenendo wake katika chama cha Mapinduzi. Nimeitimaza clip hii kwa muda kidogo na kuirudiarudia kuona alimaanisha nini, nilichokiona ni chuki binafsi dhidi Hayati Magufuli na wengine aliokuwa nao katika uongozi wa chama na serikali.

Naikemea kauli ya namna hii na kukiomba chama cha mapinduzi kitoe rai na onyo kwa mtu yeyote kuwasema viongozi wastaafu ama waliotangulia mbele za HAKI .
Dikteta muuaji hana analokumbukwa lililo jema
 
Hizi kauli za kina Nape, na ile iliyotolewa na Makamba Snr sasa wanalamba asali naona wanajivua nguo bila wao kujua, ni wabinafsi sana wanaojiona wana hati miliki ya kuwa madarakani wakati wote, wanajiona wao pekee ndio wenye haki hiyo.

Na kwa wale wanaoshabikia kauli za Nape, kwa kisingizio cha Magufuli alikuwa mbaya, wajue fika kuna wakati utafika nao watalia, watalia pale ambapo Nape na wenzake wataiba kura kuisaidia CCM yao iendelee kuwepo madarakani ili nao wapate teuzi.

Wengi humu naona wamechotwa na upepo wa "marehemu lazima asemwe kwa mabaya yake" wengine wanadai; "marehemu aliwazuia watu kusema akiwa hai wacha asemwe akiwa mfu" nawaasa waendelee kutetea kauli zao huku wakijua kufanya hivyo wanamuunga mkono Nape na wenzake kuendelea kulamba asali, wao wanapiga filimbi tu.
Magufuli alikuwa na roho chafu na mkabila na mdini
 
Nimemuelewa Nape Moses Nnauye.

Nilivyomuelewa mimi silazimishi mwingine kumuelewa. Kila mtu abaki na uelewa wake.

Katika clip inayotembea mitandaoni, NAPE NNAUYE amenukuliwa akisema yafuatayo.

"Kama kuna watu wamefurahi, mimi mmojawapo, bahari imetulia, Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi, basi baki nyumbani tusonge mbele pamoja"

"Membe oyeee, Samiaaa oyeeeeeeeee, wangapi wanampenda Samia, mbona mmechekaa...!!!? Nyoosha kidole juuu, message sent eeeee, Mama Samiaaa Oyeeeee"

Kwanza nianze na kauli yake ya kwanza kwamba Mwenyezi "Mungu ameamua ugomvi"

Hii kauli imeniuma sana, imeniuma mno, sikutarajia kuisikia kutoka kinywani mwa Nape Nnauye, kuna kauli za kutolewa na viongozi na kauli za kutolewa na mashabiki ama wafuasi fulani wasio na cheo chochote ama nafasi yoyote ile.

Kauli hii kwamba Mwenyezi mungu ameiamua kesi hii ni kusema kwamba Bernad Membe amereje CCM baada ya Hayati Dr Magufuli kufariki. Kwamba bila Magufuli kufariki ama kuondoka Madarakani basi Membe asingerejea CCM.

Kiini cha haya yote ni nini? Membe aliondokaje CCM? Makosa aliyoondoka nayo Membe si ndo makosa hayohayo yeye Nape Nnauye alienda Ikulu kuomba msamaha kwa Magufuli? Hatujasahau mbona? Kuna nini kinaendelea kwenye hili la leo?

Baada ya kauli hii kuitoa Bwana Nape Nnauye, akawataka wananchi na wanachama wa CCM wanyooshe mikono juu kama ishara ya kumkubali Rais wa sasa Mama Samia, hilo wananchi waliligomea, ndo maana akasema mbona mnasita hivi, maana yake wananchi na wanachama wa CCM hawakukubaliana na hizi kauli tata anamchonganisha Mheshimiwa Rais ionekane kifo cha Magufuli kinafurahiwa na Mama Samia jambo ambalo ni hatari na halina afya kwenye chama na Serikali. Hili binafsi nalikemea.

Najua Nape Nnauye ana madaraka, ni kiongozi mkubwa serikalini ila siogopi na wala simuogopi na akitaka lolote anifanyie tu potelea mbali ila jambo alilolifanya ni la kulaaniwa na mtu yeyote. Jambo lisilokuwa na utu ndani yake. Hapo kwenye hizi kauli zake Mama Samia amehusikaje? Kwamba nini?

Kauli hii ni ya hovyo na siwezi kukubaliana nayo japo watu na viongozi wa chama wameikalia kimya. Nape atambue kuwa kauli zake anazozitoa ndizo zinazoifanya serikali hii inayoongozwa na Mama Samia isipendwe na wananchi. Ni kwa sababu ya kauli hizi, inawezekana Nape Nnauye alikuwa na ugomvi na Magufuli, hilo sisi wananchi halituhusu, kila siku akisimama ni kumsema Hayati Magufuli namna anavyojua yeye siwezi kukubaliana nalo.

Mimi ni kiongozi wa chama, kiongozi wa Chama chetu anaongozwa na kanuni za maadili za viongozi. Nitashangaa kama hatoitwa na kamati ya maadili ya chama. Furaha yake yeye Magufuli kufariki hakutufanyi sisi wengine pia tufurahie kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wetu taifa. Maamuzi ya kufukuzwa uanachama wa cCM kwa Benard Membe haukufanywa na Magufuli peke yake. Walikuwepo viongozi wengine.

Ni kawaida kwa CCM mwanachama akifanya makosa makubwa huwa anafukuzwa uanachama au kusimamishwa uongozi wake katika chama na hatua zingine za kinidhamu hufanyika ikiwepo kutumia haki ya kikatiba ya kusikilizwa kwenye kikao. Membe haya yote hakuyapitia?

Nape Nnauye ameelezea kwamba aliwahi kuingia katika hatihati ya kufukuzwa chama. Tukio hili nalikumbuka vizuri. Ilikuwa katika awamu ya nne na akatuhumiwa kwamba yeye na akina Membe walianzisha chama kipya. Ilikuwa enzi hizo za awamu ya nne. Magufuli hakuwa hata na ndoto ya kugombea Urais. Amekiri kwamba kulikuwa na wahuni kipindi hicho akiwa msaidizi wa Membe hadi Membe akaamua kusaini barua yake aende masomoni ili asiondolewe kwenye chama.

Wakati huo yeye akiwa Msaidizi wa MEMBE, Magufuli hakuwa hata Rais, Dr bashiru hakuwa Katibu Mkuu wa CCM, Humphrey Polepole hakuwa katibu mwenezi wa chama. Kauli hii inapingana na uhalisia wa matendo yake na mwenendo wake katika chama cha Mapinduzi. Nimeitimaza clip hii kwa muda kidogo na kuirudiarudia kuona alimaanisha nini, nilichokiona ni chuki binafsi dhidi Hayati Magufuli na wengine aliokuwa nao katika uongozi wa chama na serikali.

Naikemea kauli ya namna hii na kukiomba chama cha mapinduzi kitoe rai na onyo kwa mtu yeyote kuwasema viongozi wastaafu ama waliotangulia mbele za HAKI .
Magufuli kauliwa na team msoga huo ni ukweli unao zidi kujionyesha kupitia hao viongozi wenyewe, tena hayo wanayo fanya ni vizuri maana sasa yanazidi kuonyesha ushahidi, kila siku zinavyo zidi wa haini watazidi kuweweseka maana damu ya wazalendo inawatafuta
 
Kwani JPM alikuwa na ugomvi na B.MEMBE??au tuu kwasababu ya watu wa ndani kumjaza upepo JPM kuhusu MEMBE....natafutaga kiini kipo wapi .....cjwahi ckia MEMBE kwa kinywa chake kumtusi JPM au JPM kutusi MEMBE...NDANI NA NJE YA ULINGO WA SIASA
Kiini ni tamaa ya Membe baada ya kubaniwa kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola.
 
Nimemuelewa Nape Moses Nnauye.

Nilivyomuelewa mimi silazimishi mwingine kumuelewa. Kila mtu abaki na uelewa wake.

Katika clip inayotembea mitandaoni, NAPE NNAUYE amenukuliwa akisema yafuatayo.

"Kama kuna watu wamefurahi, mimi mmojawapo, bahari imetulia, Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi, basi baki nyumbani tusonge mbele pamoja"

"Membe oyeee, Samiaaa oyeeeeeeeee, wangapi wanampenda Samia, mbona mmechekaa...!!!? Nyoosha kidole juuu, message sent eeeee, Mama Samiaaa Oyeeeee"

Kwanza nianze na kauli yake ya kwanza kwamba Mwenyezi "Mungu ameamua ugomvi"

Hii kauli imeniuma sana, imeniuma mno, sikutarajia kuisikia kutoka kinywani mwa Nape Nnauye, kuna kauli za kutolewa na viongozi na kauli za kutolewa na mashabiki ama wafuasi fulani wasio na cheo chochote ama nafasi yoyote ile.

Kauli hii kwamba Mwenyezi mungu ameiamua kesi hii ni kusema kwamba Bernad Membe amereje CCM baada ya Hayati Dr Magufuli kufariki. Kwamba bila Magufuli kufariki ama kuondoka Madarakani basi Membe asingerejea CCM.

Kiini cha haya yote ni nini? Membe aliondokaje CCM? Makosa aliyoondoka nayo Membe si ndo makosa hayohayo yeye Nape Nnauye alienda Ikulu kuomba msamaha kwa Magufuli? Hatujasahau mbona? Kuna nini kinaendelea kwenye hili la leo?

Baada ya kauli hii kuitoa Bwana Nape Nnauye, akawataka wananchi na wanachama wa CCM wanyooshe mikono juu kama ishara ya kumkubali Rais wa sasa Mama Samia, hilo wananchi waliligomea, ndo maana akasema mbona mnasita hivi, maana yake wananchi na wanachama wa CCM hawakukubaliana na hizi kauli tata anamchonganisha Mheshimiwa Rais ionekane kifo cha Magufuli kinafurahiwa na Mama Samia jambo ambalo ni hatari na halina afya kwenye chama na Serikali. Hili binafsi nalikemea.

Najua Nape Nnauye ana madaraka, ni kiongozi mkubwa serikalini ila siogopi na wala simuogopi na akitaka lolote anifanyie tu potelea mbali ila jambo alilolifanya ni la kulaaniwa na mtu yeyote. Jambo lisilokuwa na utu ndani yake. Hapo kwenye hizi kauli zake Mama Samia amehusikaje? Kwamba nini?

Kauli hii ni ya hovyo na siwezi kukubaliana nayo japo watu na viongozi wa chama wameikalia kimya. Nape atambue kuwa kauli zake anazozitoa ndizo zinazoifanya serikali hii inayoongozwa na Mama Samia isipendwe na wananchi. Ni kwa sababu ya kauli hizi, inawezekana Nape Nnauye alikuwa na ugomvi na Magufuli, hilo sisi wananchi halituhusu, kila siku akisimama ni kumsema Hayati Magufuli namna anavyojua yeye siwezi kukubaliana nalo.

Mimi ni kiongozi wa chama, kiongozi wa Chama chetu anaongozwa na kanuni za maadili za viongozi. Nitashangaa kama hatoitwa na kamati ya maadili ya chama. Furaha yake yeye Magufuli kufariki hakutufanyi sisi wengine pia tufurahie kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wetu taifa. Maamuzi ya kufukuzwa uanachama wa cCM kwa Benard Membe haukufanywa na Magufuli peke yake. Walikuwepo viongozi wengine.

Ni kawaida kwa CCM mwanachama akifanya makosa makubwa huwa anafukuzwa uanachama au kusimamishwa uongozi wake katika chama na hatua zingine za kinidhamu hufanyika ikiwepo kutumia haki ya kikatiba ya kusikilizwa kwenye kikao. Membe haya yote hakuyapitia?

Nape Nnauye ameelezea kwamba aliwahi kuingia katika hatihati ya kufukuzwa chama. Tukio hili nalikumbuka vizuri. Ilikuwa katika awamu ya nne na akatuhumiwa kwamba yeye na akina Membe walianzisha chama kipya. Ilikuwa enzi hizo za awamu ya nne. Magufuli hakuwa hata na ndoto ya kugombea Urais. Amekiri kwamba kulikuwa na wahuni kipindi hicho akiwa msaidizi wa Membe hadi Membe akaamua kusaini barua yake aende masomoni ili asiondolewe kwenye chama.

Wakati huo yeye akiwa Msaidizi wa MEMBE, Magufuli hakuwa hata Rais, Dr bashiru hakuwa Katibu Mkuu wa CCM, Humphrey Polepole hakuwa katibu mwenezi wa chama. Kauli hii inapingana na uhalisia wa matendo yake na mwenendo wake katika chama cha Mapinduzi. Nimeitimaza clip hii kwa muda kidogo na kuirudiarudia kuona alimaanisha nini, nilichokiona ni chuki binafsi dhidi Hayati Magufuli na wengine aliokuwa nao katika uongozi wa chama na serikali.

Naikemea kauli ya namna hii na kukiomba chama cha mapinduzi kitoe rai na onyo kwa mtu yeyote kuwasema viongozi wastaafu ama waliotangulia mbele za HAKI .
Kwa ufupi Nape Nnauye ni mtu wa ovyo na mwenye tabia mbaya. Ni mtu mbinafsi mropokaji mwenye kuona mtu yule tu anayekidhi maslahi yake binafsi ndio sahihi na anastahili kupendwa na watu. Kwa mfano mama kumteua yeye kua waziri.
Watanzania waliona wote kwenye TV jinsi Nape alipanga usanii kwenda ikulu magogoni kumomba msamaha magufuli akitokea barabara mkabala na ikulu akitembee kwa miguu huku jasho linamtoka. Na watanzania waliweza kusikia akiomba msamaha kwa kusikika hadharani akimkashifu magufuli na kumdharau. Hayati magufuli kwa roho nyeupe alimsamehe.
Tofauti na mawazo ya Nape kwamba yeye alienda kuomba radhi ili arejeshwe kwenye uwaziri Magufuli hakumrejesha kwenye uwaziri. Tangu hapo ndio ikiwa nongwa.

Ushauri wangu kwa Nape ni kwamba utafika wakati atatamani kuomba msamaha kwa Magufuli kwa mara nyingine na hataweza kumuona wala kusamehewa. Asichojua Nape Magufuli anaishi mioyoni kwa watanzania na siku yao kumuhukumu sio mbali.
 
Uwezo wake wa kufikiri uko chini ya wastani, sasa huwa anajaribu kufanya awe masikioni mwa watu kwa kuwatekenya masikio kwa mambo yasiyo na tija. Watu wanataka kusonga mbele hawataki kuwarudisha nyuma.
 
Nimemuelewa Nape Moses Nnauye.

Nilivyomuelewa mimi silazimishi mwingine kumuelewa. Kila mtu abaki na uelewa wake.

Katika clip inayotembea mitandaoni, NAPE NNAUYE amenukuliwa akisema yafuatayo.

"Kama kuna watu wamefurahi, mimi mmojawapo, bahari imetulia, Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi, basi baki nyumbani tusonge mbele pamoja"

"Membe oyeee, Samiaaa oyeeeeeeeee, wangapi wanampenda Samia, mbona mmechekaa...!!!? Nyoosha kidole juuu, message sent eeeee, Mama Samiaaa Oyeeeee"

Kwanza nianze na kauli yake ya kwanza kwamba Mwenyezi "Mungu ameamua ugomvi"

Hii kauli imeniuma sana, imeniuma mno, sikutarajia kuisikia kutoka kinywani mwa Nape Nnauye, kuna kauli za kutolewa na viongozi na kauli za kutolewa na mashabiki ama wafuasi fulani wasio na cheo chochote ama nafasi yoyote ile.

Kauli hii kwamba Mwenyezi mungu ameiamua kesi hii ni kusema kwamba Bernad Membe amereje CCM baada ya Hayati Dr Magufuli kufariki. Kwamba bila Magufuli kufariki ama kuondoka Madarakani basi Membe asingerejea CCM.

Kiini cha haya yote ni nini? Membe aliondokaje CCM? Makosa aliyoondoka nayo Membe si ndo makosa hayohayo yeye Nape Nnauye alienda Ikulu kuomba msamaha kwa Magufuli? Hatujasahau mbona? Kuna nini kinaendelea kwenye hili la leo?

Baada ya kauli hii kuitoa Bwana Nape Nnauye, akawataka wananchi na wanachama wa CCM wanyooshe mikono juu kama ishara ya kumkubali Rais wa sasa Mama Samia, hilo wananchi waliligomea, ndo maana akasema mbona mnasita hivi, maana yake wananchi na wanachama wa CCM hawakukubaliana na hizi kauli tata anamchonganisha Mheshimiwa Rais ionekane kifo cha Magufuli kinafurahiwa na Mama Samia jambo ambalo ni hatari na halina afya kwenye chama na Serikali. Hili binafsi nalikemea.

Najua Nape Nnauye ana madaraka, ni kiongozi mkubwa serikalini ila siogopi na wala simuogopi na akitaka lolote anifanyie tu potelea mbali ila jambo alilolifanya ni la kulaaniwa na mtu yeyote. Jambo lisilokuwa na utu ndani yake. Hapo kwenye hizi kauli zake Mama Samia amehusikaje? Kwamba nini?

Kauli hii ni ya hovyo na siwezi kukubaliana nayo japo watu na viongozi wa chama wameikalia kimya. Nape atambue kuwa kauli zake anazozitoa ndizo zinazoifanya serikali hii inayoongozwa na Mama Samia isipendwe na wananchi. Ni kwa sababu ya kauli hizi, inawezekana Nape Nnauye alikuwa na ugomvi na Magufuli, hilo sisi wananchi halituhusu, kila siku akisimama ni kumsema Hayati Magufuli namna anavyojua yeye siwezi kukubaliana nalo.

Mimi ni kiongozi wa chama, kiongozi wa Chama chetu anaongozwa na kanuni za maadili za viongozi. Nitashangaa kama hatoitwa na kamati ya maadili ya chama. Furaha yake yeye Magufuli kufariki hakutufanyi sisi wengine pia tufurahie kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wetu taifa. Maamuzi ya kufukuzwa uanachama wa cCM kwa Benard Membe haukufanywa na Magufuli peke yake. Walikuwepo viongozi wengine.

Ni kawaida kwa CCM mwanachama akifanya makosa makubwa huwa anafukuzwa uanachama au kusimamishwa uongozi wake katika chama na hatua zingine za kinidhamu hufanyika ikiwepo kutumia haki ya kikatiba ya kusikilizwa kwenye kikao. Membe haya yote hakuyapitia?

Nape Nnauye ameelezea kwamba aliwahi kuingia katika hatihati ya kufukuzwa chama. Tukio hili nalikumbuka vizuri. Ilikuwa katika awamu ya nne na akatuhumiwa kwamba yeye na akina Membe walianzisha chama kipya. Ilikuwa enzi hizo za awamu ya nne. Magufuli hakuwa hata na ndoto ya kugombea Urais. Amekiri kwamba kulikuwa na wahuni kipindi hicho akiwa msaidizi wa Membe hadi Membe akaamua kusaini barua yake aende masomoni ili asiondolewe kwenye chama.

Wakati huo yeye akiwa Msaidizi wa MEMBE, Magufuli hakuwa hata Rais, Dr bashiru hakuwa Katibu Mkuu wa CCM, Humphrey Polepole hakuwa katibu mwenezi wa chama. Kauli hii inapingana na uhalisia wa matendo yake na mwenendo wake katika chama cha Mapinduzi. Nimeitimaza clip hii kwa muda kidogo na kuirudiarudia kuona alimaanisha nini, nilichokiona ni chuki binafsi dhidi Hayati Magufuli na wengine aliokuwa nao katika uongozi wa chama na serikali.

Naikemea kauli ya namna hii na kukiomba chama cha mapinduzi kitoe rai na onyo kwa mtu yeyote kuwasema viongozi wastaafu ama waliotangulia mbele za HAKI .
Cyprian Musiba alikuwa ni speaker redio ilikuwa Ikulu... WHAT GOES AROUND COMES AROUND. Over
 
Back
Top Bottom