Braza lisikuchanganye neno project..hata kuchimba mitaro mmaporini ni projectKah!! Aisee kumbe no wonder kwanini majengo siku hizi yanadondoka bila sababu za msingi kama hawa ndio maproject manager tulionao ni lazima maghorofa yajiachie kwa style hii...Mkuu upo wapi wewe na hiyo team yako ya project nije kuwakata makofi haiwezekani project team ishindwe kufanya project safety analysis hili angalau mkumbuke hata kufnya safety precautions maana mlijua fika kabisa eneo mnaloenda lina hatari ya nyoka na wadudu wakali
Kah!! Aisee kumbe no wonder kwanini majengo siku hizi yanadondoka bila sababu za msingi kama hawa ndio maproject manager tulionao ni lazima maghorofa yajiachie kwa style hii...Mkuu upo wapi wewe na hiyo team yako ya project nije kuwakata makofi haiwezekani project team ishindwe kufanya project safety analysis hili angalau mkumbuke hata kufnya safety precautions maana mlijua fika kabisa eneo mnaloenda lina hatari ya nyoka na wadudu wakali
Tatzo mnawaza ki madawati dawati sana..kwakifup harakat yoyote ile hata local yenye bajet isizid hata 15k wabongo tunaita project..usiumize kichwa saaaanaKwasababu ni chai.ki uhalisia project yoyote ya porini huwa kuna first aid kit na ukiachana na dawa zingine ,dripu za maji na dawa ya kupungua/ kutibu sumu ya nyoka huwa ni kipaumbele.na kati yenu lazima kuwe na mafunxo hata ya siku tatu ya kukabiliana na hali hiyo.
Ndiyo lakini any project must undergo risk analysis in all the steps of a project cycle(initiation,Formulation and Implementation, evaluation) sio kisa unachimba choo ndio hufanyi risk analysis huo ni ukasukuBraza lisikuchanganye neno project..hata kuchimba mitaro mmaporini ni project
Porojo tupu.Leo imekuwa siku ya majonzi sana. Nipo na wenzangu huku Porini Singida kwenye project moja hivi. Ni week sasa tupo huku na mademu kadhaa wakali ambao nao imebidi waje huku. Huku ni porini kweli kweli tunalala kwenye tents. Hakuna nyumba.
Sasa demu mmoja aliamua kwenda kujisaidia haja kubwa kwenye kakichaka flani hivi. Actually huwa tunamwambia asiende mbali sana. sasa yeye anajua tunamwambia asiende mbali sana ili tuweze mchungulia makalio yake makubwa. maana ni kweli akichuchumaa yanatawanyika kusini na magharib. lakini sisi tulikuwa tunamwambia kiroho safi asiende mbali kwa kuwa porini si salama sana na kule kuna vichaka zaidi si kuzuri.
Sasa leo kaenda kunya kumbe anachuchumaa hivi kumbe pale chini kuna nyoka kajisaidia juu yake na nyoka kamgonga kwenye tako. yule dada alipiga kelele akikimbia kuja kwetu watu wakabaki hawajui afanyeje sasa. wanamwangalia jinsi ambavyo anajitahidi kukimbia akipandisha chupi na makalio yake yapo nje, akafika na kuanguka tulipo akilalamika kuwa kaumwa na kitu anahisi ni nyoka.
Jamaa mmoja akamwangalia, akaona kweli kuna alama ambazo alituambia ni meno ya nyoka. Sasa issue ikawa huduma ya kwanza tunampa ni ipi? maana hatuwezi mfunga kamba. ameumwa kwenye tako. Je, tumfunge kamba sehemu gani? hapo watu wanajiuliza huku wengine wakikodoa macho kutizama yule dada alivyoumbika.
Baada ya dk akdhaa hali yake iakwa inabadilika kama anakifafa. hapo tunawaza kumpeleka kijijini ambako ni kama Km 90 za rough road. yule dada ameondoka duniani hivi hivi tunamwona, yaani imeniumiza sana wadau. nikawa nawaza sasa kama ndo hivi huduma ya kwanza mtu akiumwa na nyoka makalioni au kichwani inakuaje? je unaweza mfunga mtu kamba shingoni ukakaza damu isipite kushuka chini moyoni?
Au kama kaumwa kwenye matako unafunga kamba kiunoni damu isipande juu kwenda moyoni?
Chai na chapati shingapi kwani, we mama lishe?
Hii story ya mchongoHiyo ni project ya aina gani ambayo sio sophisticated enough kiasi cha kushindwa kujiandaa na Antivenoms ikiwemo Snake antivenom sababu mnaenda kufanya kazi porini.
Mngekua na antivenom angericover faster ni kitendo cha kupiga sindano tu.
Habari hii ni ya kugushi, huyu ameitoa kwenye tukio la dada mwanajeshi wa anga nchini Naijeria aliyeumwa na nyoka na kufariki kwenye choo cha kukaa.Leo imekuwa siku ya majonzi sana. Nipo na wenzangu huku Porini Singida kwenye project moja hivi. Ni week sasa tupo huku na mademu kadhaa wakali ambao nao imebidi waje huku. Huku ni porini kweli kweli tunalala kwenye tents. Hakuna nyumba.
Sasa demu mmoja aliamua kwenda kujisaidia haja kubwa kwenye kakichaka flani hivi. Actually huwa tunamwambia asiende mbali sana. sasa yeye anajua tunamwambia asiende mbali sana ili tuweze mchungulia makalio yake makubwa. maana ni kweli akichuchumaa yanatawanyika kusini na magharib. lakini sisi tulikuwa tunamwambia kiroho safi asiende mbali kwa kuwa porini si salama sana na kule kuna vichaka zaidi si kuzuri.
Sasa leo kaenda kunya kumbe anachuchumaa hivi kumbe pale chini kuna nyoka kajisaidia juu yake na nyoka kamgonga kwenye tako. yule dada alipiga kelele akikimbia kuja kwetu watu wakabaki hawajui afanyeje sasa. wanamwangalia jinsi ambavyo anajitahidi kukimbia akipandisha chupi na makalio yake yapo nje, akafika na kuanguka tulipo akilalamika kuwa kaumwa na kitu anahisi ni nyoka.
Jamaa mmoja akamwangalia, akaona kweli kuna alama ambazo alituambia ni meno ya nyoka. Sasa issue ikawa huduma ya kwanza tunampa ni ipi? maana hatuwezi mfunga kamba. ameumwa kwenye tako. Je, tumfunge kamba sehemu gani? hapo watu wanajiuliza huku wengine wakikodoa macho kutizama yule dada alivyoumbika.
Baada ya dk akdhaa hali yake iakwa inabadilika kama anakifafa. hapo tunawaza kumpeleka kijijini ambako ni kama Km 90 za rough road. yule dada ameondoka duniani hivi hivi tunamwona, yaani imeniumiza sana wadau. nikawa nawaza sasa kama ndo hivi huduma ya kwanza mtu akiumwa na nyoka makalioni au kichwani inakuaje? je unaweza mfunga mtu kamba shingoni ukakaza damu isipite kushuka chini moyoni?
Au kama kaumwa kwenye matako unafunga kamba kiunoni damu isipande juu kwenda moyoni?
Hata kama ni kuchimba mitaro, kanuni za afya na usalama mahali pa kazi ni lazima zizingatiwe mkuu!Braza lisikuchanganye neno project..hata kuchimba mitaro mmaporini ni project
Kuna mawe yananyonya sumu ya nyokaLeo imekuwa siku ya majonzi sana. Nipo na wenzangu huku Porini Singida kwenye project moja hivi. Ni week sasa tupo huku na mademu kadhaa wakali ambao nao imebidi waje huku. Huku ni porini kweli kweli tunalala kwenye tents. Hakuna nyumba.
Sasa demu mmoja aliamua kwenda kujisaidia haja kubwa kwenye kakichaka flani hivi. Actually huwa tunamwambia asiende mbali sana. sasa yeye anajua tunamwambia asiende mbali sana ili tuweze mchungulia makalio yake makubwa. maana ni kweli akichuchumaa yanatawanyika kusini na magharib. lakini sisi tulikuwa tunamwambia kiroho safi asiende mbali kwa kuwa porini si salama sana na kule kuna vichaka zaidi si kuzuri.
Sasa leo kaenda kunya kumbe anachuchumaa hivi kumbe pale chini kuna nyoka kajisaidia juu yake na nyoka kamgonga kwenye tako. yule dada alipiga kelele akikimbia kuja kwetu watu wakabaki hawajui afanyeje sasa. wanamwangalia jinsi ambavyo anajitahidi kukimbia akipandisha chupi na makalio yake yapo nje, akafika na kuanguka tulipo akilalamika kuwa kaumwa na kitu anahisi ni nyoka.
Jamaa mmoja akamwangalia, akaona kweli kuna alama ambazo alituambia ni meno ya nyoka. Sasa issue ikawa huduma ya kwanza tunampa ni ipi? maana hatuwezi mfunga kamba. ameumwa kwenye tako. Je, tumfunge kamba sehemu gani? hapo watu wanajiuliza huku wengine wakikodoa macho kutizama yule dada alivyoumbika.
Baada ya dk akdhaa hali yake iakwa inabadilika kama anakifafa. hapo tunawaza kumpeleka kijijini ambako ni kama Km 90 za rough road. yule dada ameondoka duniani hivi hivi tunamwona, yaani imeniumiza sana wadau. nikawa nawaza sasa kama ndo hivi huduma ya kwanza mtu akiumwa na nyoka makalioni au kichwani inakuaje? je unaweza mfunga mtu kamba shingoni ukakaza damu isipite kushuka chini moyoni?
Au kama kaumwa kwenye matako unafunga kamba kiunoni damu isipande juu kwenda moyoni?
Mmmh hakuna binadamu awezaye kumnyea nyoka ..kwani nyoka huwa anadetect huwepo wa binadamu haraka mno hivyo either angemkimbia kitambo tuLeo imekuwa siku ya majonzi sana. Nipo na wenzangu huku Porini Singida kwenye project moja hivi. Ni week sasa tupo huku na mademu kadhaa wakali ambao nao imebidi waje huku. Huku ni porini kweli kweli tunalala kwenye tents. Hakuna nyumba.
Sasa demu mmoja aliamua kwenda kujisaidia haja kubwa kwenye kakichaka flani hivi. Actually huwa tunamwambia asiende mbali sana. sasa yeye anajua tunamwambia asiende mbali sana ili tuweze mchungulia makalio yake makubwa. maana ni kweli akichuchumaa yanatawanyika kusini na magharib. lakini sisi tulikuwa tunamwambia kiroho safi asiende mbali kwa kuwa porini si salama sana na kule kuna vichaka zaidi si kuzuri.
Sasa leo kaenda kunya kumbe anachuchumaa hivi kumbe pale chini kuna nyoka kajisaidia juu yake na nyoka kamgonga kwenye tako. yule dada alipiga kelele akikimbia kuja kwetu watu wakabaki hawajui afanyeje sasa. wanamwangalia jinsi ambavyo anajitahidi kukimbia akipandisha chupi na makalio yake yapo nje, akafika na kuanguka tulipo akilalamika kuwa kaumwa na kitu anahisi ni nyoka.
Jamaa mmoja akamwangalia, akaona kweli kuna alama ambazo alituambia ni meno ya nyoka. Sasa issue ikawa huduma ya kwanza tunampa ni ipi? maana hatuwezi mfunga kamba. ameumwa kwenye tako. Je, tumfunge kamba sehemu gani? hapo watu wanajiuliza huku wengine wakikodoa macho kutizama yule dada alivyoumbika.
Baada ya dk akdhaa hali yake iakwa inabadilika kama anakifafa. hapo tunawaza kumpeleka kijijini ambako ni kama Km 90 za rough road. yule dada ameondoka duniani hivi hivi tunamwona, yaani imeniumiza sana wadau. nikawa nawaza sasa kama ndo hivi huduma ya kwanza mtu akiumwa na nyoka makalioni au kichwani inakuaje? je unaweza mfunga mtu kamba shingoni ukakaza damu isipite kushuka chini moyoni?
Au kama kaumwa kwenye matako unafunga kamba kiunoni damu isipande juu kwenda moyoni?
Inaonekana hamkuwa na ushirikiano na wanakijiji/wenyeji. Mngewauliza wenyeji wa maeneo hayo lazima wangewasaidia alternative lakini kwa kuwa mlikuwa mnajifanya much know ndio maana umekimbilia JF huku.Leo imekuwa siku ya majonzi sana. Nipo na wenzangu huku Porini Singida kwenye project moja hivi. Ni week sasa tupo huku na mademu kadhaa wakali ambao nao imebidi waje huku. Huku ni porini kweli kweli tunalala kwenye tents. Hakuna nyumba.
Sasa demu mmoja aliamua kwenda kujisaidia haja kubwa kwenye kakichaka flani hivi. Actually huwa tunamwambia asiende mbali sana. sasa yeye anajua tunamwambia asiende mbali sana ili tuweze mchungulia makalio yake makubwa. maana ni kweli akichuchumaa yanatawanyika kusini na magharib. lakini sisi tulikuwa tunamwambia kiroho safi asiende mbali kwa kuwa porini si salama sana na kule kuna vichaka zaidi si kuzuri.
Sasa leo kaenda kunya kumbe anachuchumaa hivi kumbe pale chini kuna nyoka kajisaidia juu yake na nyoka kamgonga kwenye tako. yule dada alipiga kelele akikimbia kuja kwetu watu wakabaki hawajui afanyeje sasa. wanamwangalia jinsi ambavyo anajitahidi kukimbia akipandisha chupi na makalio yake yapo nje, akafika na kuanguka tulipo akilalamika kuwa kaumwa na kitu anahisi ni nyoka.
Jamaa mmoja akamwangalia, akaona kweli kuna alama ambazo alituambia ni meno ya nyoka. Sasa issue ikawa huduma ya kwanza tunampa ni ipi? maana hatuwezi mfunga kamba. ameumwa kwenye tako. Je, tumfunge kamba sehemu gani? hapo watu wanajiuliza huku wengine wakikodoa macho kutizama yule dada alivyoumbika.
Baada ya dk akdhaa hali yake iakwa inabadilika kama anakifafa. hapo tunawaza kumpeleka kijijini ambako ni kama Km 90 za rough road. yule dada ameondoka duniani hivi hivi tunamwona, yaani imeniumiza sana wadau. nikawa nawaza sasa kama ndo hivi huduma ya kwanza mtu akiumwa na nyoka makalioni au kichwani inakuaje? je unaweza mfunga mtu kamba shingoni ukakaza damu isipite kushuka chini moyoni?
Au kama kaumwa kwenye matako unafunga kamba kiunoni damu isipande juu kwenda moyoni?