Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,652
- 8,542
Jiwe jeusi lipi hilo?Huduma ya kwanza ilikua kumchanja sehemu aliyoumwa na nyoka na kukamua ile damu pia kuweka jiwe jeusi kuvuta sumu....
Jiwe jeusi lipi hilo?Huduma ya kwanza ilikua kumchanja sehemu aliyoumwa na nyoka na kukamua ile damu pia kuweka jiwe jeusi kuvuta sumu....
Malezi maleziKama ni kweli nyie na project yote ni maFala.
Huwezi ishi katika ya msitu bila kuwa na mtaalam wa nyoka
Wala kuwa na hayo mawe ya sumu ya nyoka.
Akili mlipata ya kubeba wanawake tu, mkija mnasema mna PhD oops
Hii ni kwel kabisa, na jamaa alimezwa na Chatu. Alipaki gari pemben mwa barabara na kwenda kujisaidia huku ikiwa haijazimwa. Baada ya muda kupita madereva wengne wa malori walisimama ili kujua jamaa anashida gani kuacha gari pemben mwa baranara ikiwa haijazimwa, hapo ndipo wakakuta kwenye chaka joka kubwa limelala hadi kukimbia linashindwaMwingine dereva wa loli la dangote naskia maeneo flan kilwa road alipak gari pemben akaingia polini.
Hakurudi tena mpaka watu wakashtuka mbona loli limepak muda mrefu hapo polini?