Nimeshusha bei tena Honda Ace 150

Nimeshusha bei tena Honda Ace 150

Honda Ace haiuziki kirahisi kama Boxer BM125 au BM150. Kwa huko Mbeya sijui hali itakuwaje ila kwa Dar kupata mteja wa Ace labda awe mtu wa matumizi binafsi sio bodaboda.

Mpe mtu mkataba japo vijana ni pasua kichwa sana, 12k per day kwa miezi kadhaa urudishe hasara yako.
 
Honda Ace haiuziki kirahisi kama Boxer BM125 au BM150. Kwa huko Mbeya sijui hali itakuwaje ila kwa Dar kupata mteja wa Ace labda awe mtu wa matumizi binafsi sio bodaboda.

Mpe mtu mkataba japo vijana ni pasua kichwa sana, 12k per day kwa miezi kadhaa urudishe hasara yako.
Nahitaji cash ya haraka boss
 
Nahisi msimu mkuu watu umewakalia vibaya, nimejaribu watumishi baadhi Bado Hali tete
Siyo unahisi! Halli mtaani ni ngumu. Mzunguko wa fedha uko chini! Mafisadi wachache ndiyo wamejimilikisha fedha!

Mwenyezi Mungu akujalie wepesi ufanikiwe kuiuza na hivyo kutatua changamoto zako.
 
Ogopa sana wafanyabiashara maana hakuna mtu anafanya biashara ya hasara
Huyu jamaa ni legit mkuu.
Mimi nimeongeanae. Shida ni location yake, aina ya bidhaa na hali zetu wanunuaji.

Yupo mbeya peripheral
Wanunuzi wengi wanapenda boxer
Wachache wenye will ya kuinunua hatuna hela.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom