Nimeshuhudia shem akisaliti

Nimeshuhudia shem akisaliti

Hivi kama alikuwa kwenye disco usiku mwingi, unafikiri dada yako haujui kama anachepuka? Alimwambia dada yako kwamba yuko wapi usiku wote huo? Sina cha kukushauri labda sema na shemejio kwamba hukupenda mazingira uliyoyaona na yaishie hapo.

Tiba
 
That's none of your business. Kua kwanza Uwe na kwako kisha ujipime kama uko na ujasiri wa kumwambia. Inakuuma wewe ndie umeolewa? Ukimwambia dada yako wakaachana unakuwa umepata faida gani? Bado mtoto, kua kwanza uolewe.
 
Mwambie na wewe akugegede akikataa mtishie kuwa utamwambia sister
 
Habari zenu wana MMU
Mimi nimekuwa nikisoma tu vile mnashauri watu n mimi ni mgeni humu naamini mtanipa ushirikiano
Jana nilienda club ile tupo na danc nikamuona shemeji yangu yupo na gal mwingine karbu kabisa na nilipokuwa mi
Baada ya kuniona aliogopa kabisa mimi nikamsalimia nikafanya kama hakijatokea kitu
Niliumia kuona yupo anakis kis na dam mwngne akati ana wife Yake!
Nafikiri nimwambie my sis lakn naogopa ntaaribu ndoa yao nafikiri pia nimwambie shem vile sikupenda awache michepuko
Naomba mnijuze wadau nimweleze my sista?

Ni pm nikupe muongozo
 
Hapo ccta wako mpotezee bt shem mchane laivuu maana atahisi uliona kawaida so ipo cku atakutongoza na wew
 
Inakuuma ndiyo ila madhara yatakayotokana na wewe kutoa hizo taarifa utamudu? Je ikitokea baada ya wewe kuvujisha siri wakaachana utakuwa tayari kulea watoto? Dadako akiachwa wewe utakuwa tayari kumsaidia mahitaji ya fedha? Unajua
Mangapi wanavumiliana wenyewe usiyoyajua wewe? Una uhakika gani kwamba dadako hachepuki nje? Ukute jamaa naye anamvumilia dadako mambo mengi bila hivyo angeshawarudishia binti yenu. Nakushauri kaa mbali na ndoa ya watu, usimwbie hata mkeo ulichokiona maana wanawake wengine anaweza akasambaza hizo stori. Jifanye kama hakijatokea kitu. Mheshimu shemeji yako kama siku zote. Huwezi jua kesho nawewe yakakutokea madudu shemeji yako akakusaidia kurejesha ndoa iendelee! Taarifa ulizotoa hapa inatosha usitoe zingine kuhusu shemeji yako. Ishia hapo hapo!
 
Walikuwa wanadance pamoja afu waka kiss...kwenye shavu au lips? Kuna kingine uliwaona wanafanya? Kuchepuka maana yake ni nini? Ukute ni marafiki tu wa kawaida. Kama una wasiwasi ongea na shem wako umpe warning (ila usimwambie dada, ya ngoswe mwachie ngoswe)
 
Shauri yako ukiingilia mambo ya ndoa za watu. Unaweza ukamwambia dadako na asiamini , halafu atamweleza yote mumewe kuwa kaambiwa na wewe je upo tayari kuukabili moto utakaowashiwa. Ongea na shemeji yako kuwa afanyayo si mambo mazuri baada ya hapo achana nao.
 
Inaweza kuwa kweli katika imani yenu yapo hayo, maana hata wale wasioruhusiwa kuoa kuleeeee, si unapajuwa wapi? wameamua kuchepuka na vitoto vidogo mpaka Umoja wa Mataifa inapiga kelele..

Kwi kwi kwi teh teh teh!
Huu uzi unakoelekea si kuzuri haya endeleeni ila si vema kuharibu mada za wenzenu
 
Habari zenu wana MMU
Mimi nimekuwa nikisoma tu vile mnashauri watu n mimi ni mgeni humu naamini mtanipa ushirikiano
Jana nilienda club ile tupo na danc nikamuona shemeji yangu yupo na gal mwingine karbu kabisa na nilipokuwa mi
Baada ya kuniona aliogopa kabisa mimi nikamsalimia nikafanya kama hakijatokea kitu
Niliumia kuona yupo anakis kis na dam mwngne akati ana wife Yake!
Nafikiri nimwambie my sis lakn naogopa ntaaribu ndoa yao nafikiri pia nimwambie shem vile sikupenda awache michepuko
Naomba mnijuze wadau nimweleze my sista?
Ulitaka akugonge wewe!? Wewe mwenyewe uliyekuwa nae ni mume wa mtu.
 
Ewe punguani usiyeelewa maana. Umeulizwa wewe? au wewe ndiye uliyeolewa kwenye hiyo ndoa?

punguwani ni wewe unayesumbuliwa na menopause, unashinda njaa unajiaminisha umefunga, kazi kuja kujambajamba tu kwenye thread za watu.
 
Mwambie huyo shem wako kuwa hujapenda, usimwambie sis.
 
Wala wewe sio chanzo ila tu unajukumu la kumuambia kuwa sio poa ingawa anajua ila kukumbushana ni wajibu so kama unajimudu mkumbushe tu tena kirafiki kabisa!!!!!

Kuna wanaume wapuuzi na wenye akili za kipuuzi. Aangalie anavyotafuta nafasi ya kuongea naye asimrahisishie jamaa kumgonga na yeye. Yawezekana jamaa huko aliko anafikiria namna ya kummega ili akae kimya kabisa. Achana na wanaume wanaoongozwa na kichwa cha chini!!!
 
Ukienda kusema kwa dada yako,nasisi tunamwambia dada yako kwamba ulikuwa unamtaka shemeji yako kima mapenzi .
 
Mwanaume hafumaniwi wewe labda wyf yupo long period.
 
Back
Top Bottom