Nimeshuhudia shem akisaliti

Nimeshuhudia shem akisaliti

Jana nikisema unapoamua kuoa inabidi u-sacrifise vitu vingi ikiwa pa1 na starehe kama hizo
 
Dont tell her .. kama ni mwanaume ningekwambia mwambie kwa nini mwanaume anakuwa controlled na papuch na wapo kama beberu hawana say mbele ya papuchi.... mwanamke huwa anaangalia mambo mengi mara watoto jamii itanionaje anaweza dada yako akafanya maamuzi yakawa mabaya sana katika maisha yake labda uchunguze huyo shem wako may be kuna kitu anakosa... take my words
 
Jana nikisema unapoamua kuoa inabidi u-sacrifise vitu vingi ikiwa pa1 na starehe kama hizo

Sio jumla jumla watu tumeoa na club tunaenda kwa ruhusa za wake haswa na kujiheshimu kupo, huyo jamaa mi namuona mshamba tu sababu club waweza kutana hata na watu wa kazini kwa mkeo, kazini kwako, waliosoma na mkeo na vitu kama hivyo!!!!

Asprin , Kaizer we aa yuu blazas!!!!
 
Last edited by a moderator:
Usikute dada yako hamridhishi shemeji yako. roho iskuume... namashaka na utendaji kaz wa dada yako
 
Ila mmh.mtolee uvivu tu kwamba ulmuona na haukupenda tabia yake. I ukimwambia dada ako mapema hvo uta7bsha ndoa yao kuvunjka wakat bado wanapendana..na pengne ukaambiwa wewe ndio chanzo cha kuachana kwao.ongea tu na shemej ako.
 
Knacho muuma n dada ake anasaltiwa

Na ndio maana hapo awali nilisema kuna mambo magumu sana.....kwa upande wangu sioni sababu yakumwambia dada yake aliyoyaona.
Kama anajimudu amwambie huyo aliyembamba (shem) wake juu ya hayo aliyoyaona.
 
aisee hiyo kitu usiipeleke home kabisaa..utawagombanisha watapatana then utaonekana mbayaa..piga kimya mdau!
 
Mtokee shem wako lazima akukubalie kwa kosa alilolifanya
 
hiyo ngumu kumeza...akuna mwanaume asie chepuka, kikuwa ni heshima na kujali afya
 
hiyo ngumu kumeza...akuna mwanaume asie chepuka, kikuwa ni heshima na kujali afya

Inaweza kuwa kweli katika imani yenu yapo hayo, maana hata wale wasioruhusiwa kuoa kuleeeee, si unapajuwa wapi? wameamua kuchepuka na vitoto vidogo mpaka Umoja wa Mataifa inapiga kelele..

Kwi kwi kwi teh teh teh!
 
Back
Top Bottom