- Thread starter
- #21
Utakuja ambiwa kuwa we ndio unaharibu ndoa ya watu
Nimefikiria sana nikisema yakatokea ya kutokea chanzo kitakuwa mie
Utakuja ambiwa kuwa we ndio unaharibu ndoa ya watu
Michepuko imehalalishwa so,kausha tu.
kwa mwanaume ni ruksa kutoka nje....ingekuwa ni mke ndie anachepuka ningekuwa na ushauri
Kinachokuuma hasa nini labda my dear???
Kama ulimuona na una uhakika na unajimudu kabisa kiakili na kiroho!!!!!
Mtafute wawili tu mwambie ya moyoni mwako then mikausho kama kawa maisha yaendelee!!!
Nimefikiria sana nikisema yakatokea ya kutokea chanzo kitakuwa mie
Ushauri huu unafanana na ulio kichwa mwangu
Naachana nayo lakn huyu shemeji nahisi nimwambie kitu
kumwambia kitu ruksa ila na wewe akikwambia kitu uwe tayari kumpanulia.
Vp unaona wivu. Mpe basi
Ni dada yangu anahujumiwa
Endelea na maisha yako hayo hayakuhusu kabisa. Sana sana mkiwa na shemejio kama ataliongelea mwambie si vizuri lakini kwa dada yako funga "mulomo" usije ukaangushiwa jumba bovu!
Wala wewe sio chanzo ila tu unajukumu la kumuambia kuwa sio poa ingawa anajua ila kukumbushana ni wajibu so kama unajimudu mkumbushe tu tena kirafiki kabisa!!!!!
Lol huko siwez fika nampa ya kiutu uzima tu akielewa sawa
Habari zenu wana MMU
Mimi nimekuwa nikisoma tu vile mnashauri watu n mimi ni mgeni humu naamini mtanipa ushirikiano
Jana nilienda club ile tupo na danc nikamuona shemeji yangu yupo na gal mwingine karbu kabisa na nilipokuwa mi
Baada ya kuniona aliogopa kabisa mimi nikamsalimia nikafanya kama hakijatokea kitu
Niliumia kuona yupo anakis kis na dam mwngne akati ana wife Yake!
Nafikiri nimwambie my sis lakn naogopa ntaaribu ndoa yao nafikiri pia nimwambie shem vile sikupenda awache michepuko
Naomba mnijuze wadau nimweleze my sista?
Yea nimefikiria sana sku moja nikae nae tupigeee story mwishoe nimtilie vile haikupndeza
Tafuta boyfriend..hayakuhusu haya