MichazPipoz
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 533
- 150
kama una moyo mwambie shemejio ila usimwambie dadaako
loyda mdogo wangu....
Naomba unisikilize kidogo tu.
Mwanamume ambaye anaheshimu ndoa yake na kujiheshimu, akiamua kuchepuka atatoka kwa siri kubwa hata shetani hatakaa amuone au ajue. Ila ukiona mwanamume ameamua kutoka nje ya ndoa yake na kufanya wazi wazi, basi huyo yuko kwenye level nyingine kabisa. Yaani huyu keshasema kuwa "liwalo na liwe..."....Umeelewa?
Sasa mtu wa namna hiyo utaanzia wapi kuongea naye? Labda kama unataka kibao kihamie kwako.
Na kama ukiamua kumwambia dada yako, unahakika utampa breaking news? Yaani hajui kila kitu anachofanya mume wake?
Ushauri wangu.... Kwa vile na wewe ni mtu wa club, basi utakuwa ni mdau wa hayo mambo au unaelekea huko (partner or potential partner in crime). Basi jikalie kimya usubiri zamu yako ya kunyoa au kunyolewa.
Hii dunia haiko, haijawahi na wala haitakaa iwe fair...si kwa dada yako tu bali kwa kila mtu!!
Babu DC!!
Sisikii vizuri sa utannong'ozaje!
Napata hard time sana of course inaniuma pia
Na wewe unamjua dada ako yukoje kama sio mchepuko nae?
That's none of your business. Kua kwanza Uwe na kwako kisha ujipime kama uko na ujasiri wa kumwambia. Inakuuma wewe ndie umeolewa? Ukimwambia dada yako wakaachana unakuwa umepata faida gani? Bado mtoto, kua kwanza uolewe.
Habari zenu wana MMU,
Mimi nimekuwa nikisoma tu vile mnashauri watu na mimi ni mgeni humu naamini mtanipa ushirikiano.
Jana nilienda club ile tupo na dance nikamuona shemeji yangu yupo na gal mwingine karibu kabisa na nilipokuwa mimi.
Baada ya kuniona aliogopa kabisa mimi nikamsalimia nikafanya kama hakijatokea kitu.
Niliumia kuona yupo anakiss kiss na demu mwingine wakati ana wife Yake!
Nafikiri nimwambie my sister lakini naogopa ntaaribu ndoa yao nafikiri pia nimwambie shem vile sikupenda aache michepuko.
Naomba mnijuze wadau nimweleze my sista?
Watu wengine bana! Mimi nilikuwepo kwenye hiyo club. Wewe ndo ulikuwa unakiss na shemejio. Usitake kupoteza maboya ili dadako akijua asikusulubu!
Habari zenu wana MMU,
Mimi nimekuwa nikisoma tu vile mnashauri watu na mimi ni mgeni humu naamini mtanipa ushirikiano. Jana nilienda club ile tupo na dance nikamuona shemeji yangu yupo na gal mwingine karibu kabisa na nilipokuwa mimi.
Baada ya kuniona aliogopa kabisa mimi nikamsalimia nikafanya kama hakijatokea kitu. Niliumia kuona yupo anakiss na demu mwingine wakati ana wife Yake!
Nafikiri nimwambie my sister lakini naogopa ntaaribu ndoa yao nafikiri pia nimwambie shem vile sikupenda aache michepuko.
Naomba mnijuze wadau nimweleze my sista?
akisema umejitongozesha kwake, kakutolea nje sasa unataka kuharibu itakuwaje kwako,,,,mwache dadako ajibebee kapu lake......anapunguza streess za dadako.....kula bata zako jikate......umbea nooo...Napata hard time sana of course inaniuma pia