Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 15,529
- 27,584
Hiyo namba 2 ni kweli tena hospital zote binafsi na serikali sababu usiku ni muda wa kulala jinsi mwili wetu ulivyokuwa tuned biologically au genetically.Nimejifunza vitu vikubwa 3 kwenye huu uzi.
1:Wakati wa raha kila mtu atakushobokea lkn wakati wa shida humuoni mtu.
2:Wakati wa usiku hospitali nyingi huduma hakuna na kama zipo basi ni mbovu sana na wahudumu hulala fofo.
3:Kifo ni kama umeme.
Unakatika na kuja haraka sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kuushinda usingizi mtihani.
Na hiyo mida watu wengi ndio wanakufa kwa kukosa uangalizi mzuri wa wauguzi na daktari. Vifo vingi manane ya usiku au alfajiri wakati wauguzi wamelala fofo.
