Nimeshuhudia mtu akikata roho LIVE

Nimeshuhudia mtu akikata roho LIVE

Not true kuna huduma ukipata ontime life can be rescued. Kuna wengi hufariki kwa sababu huduma stahiki hazikupatikana kwa wakati muafaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni hivyo nchi zilizoendelea kama ulaya watu wasingefia hospitalini,,,,,,,,think think ,,,,!!!!!
 
Jaman kweli ww mwanaume..duh mie nashindwa kns kiconnect hizi situation..sijawah shhudia kifo...ila nimewaj ona maiti ya kakangu jamn ..since there huwa siagi maiti mimi

Manengelo best usiombe
Kuna siku nilikua naingia muhimbili wodi za wanaume
Nikakosea floor nikaingia sehemu kuna mgonjwa sijui ilikuwaje akawa yupo peke yake,

Nilipogongana nae macho sikuweza kunyanyua mguu

Alikua anakata roho macho ameyatoa anarusha miguu mpaka akanyooka kabisa

Lile tukio sitalisahau kamwe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo scenario ya marehemu ya kwenda choo na drip kila saa imenikumbusha mahala fulani kumbe kule kuhangaika ndio marehemu alikuwa anapambana na kifo alikufa eventualy aliporudi mara ya nne chooni hata kitandani hakufika akaanguka akaanza kukoroma yote hayo nikiyatazama alfajiri nesi anakuja nikumfunika shuka tu na kumpakia kwenye toroli lao na kumpeleka mortuary.Nilipoona hivyo nikamwambia nesi mimi siumwi nimeshapona this place is hell get me out of here!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahala pengine Marehemu mmoja nikiwa nimelala kwenye kwenye deka usiku halali anakuja ananiamsha we bwana amka!weee amkaa amkaa nikamuonya asinisumbue aniache nilale akawa hasikii usumbufu mwingi nikaenda nikamwita mwangalizi nikamuambia kuwa jamaa msumbufu halali ananisumbua wakaja yeye na msaidizi wake wakampa kibano kisha wakampiga sindano la usingizi akalala kidogo tu usiku wa manane akashtuka akaanza kunisumbua tena nikamwita yule mwangalizi wakasemezana huyu tusimchome sindano nyingine tumfunge kamba kitandani,wakamfunga kamba kitandani baadae namsikia jamaa anakoroma mkoromo wa kutisha kumbe ndio anakata roho hivyo asbh sana wakaja wakamtoa wakampakia kwenye toroli lao mpaka mortuary

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haitakiwi kuogopa mkuu, mfano ukiwa kiongozi hasa shemasi kanisani (baadhi lakini) akitokea muumini kufariki dunia siku ya kumuamdaa kule mochwali, pamoja na kuwepo staff wa mochwali nyie kina shemasi mnaenda kumuandaa kwa kumuogesha maiti na kumvisha nguo.
duh..had nimeogopa..mimi ukichAA utanipata jaman
Ukitoka hapo si unaweza ukaacha kulala au kula kwa kuogopa?
 
Mahala pengine Marehemu mmoja nikiwa nimelala kwenye kwenye deka usiku halali anakuja ananiamsha we bwana amka!weee amkaa amkaa nikamuonya asinisumbue aniache nilale akawa hasikii usumbufu mwingi nikaenda nikamwita mwangalizi nikamuambia kuwa jamaa msumbufu halali ananisumbua wakaja yeye na msaidizi wake wakampa kibano kisha wakampiga sindano la usingizi akalala kidogo tu usiku wa manane akashtuka akaanza kunisumbua tena nikamwita yule mwangalizi wakasemezana huyu tusimchome sindano nyingine tumfunge kamba kitandani,wakamfunga kamba kitandani baadae namsikia jamaa anakoroma mkoromo wa kutisha kumbe ndio anakata roho hivyo asbh sana wakaja wakamtoa wakampakia kwenye toroli lao mpaka mortuary

Sent using Jamii Forums mobile app
Wodi ya vichaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huduma mbaya kwa mahospitali hasa usiku hukujifunza Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa broken hearted people, kwa haters wote wanaosema nmetunga story hii bas mm ni genius sn kwenu STORI HII N YA KWELI kabsa sjataja hospital nmeona sio vzr . na wanaosema kwann skwenda mm nlmtuma yule maza ipo hivi nani ALIWAHI KUBAKI NA BABA,MAMA,MPENZI,MKE,MME unashuhudia anakata roho unaweza ukawa chizi for life .
 
Jamaniii Achaa na mm nilishuhudia baba yangu anakata roho. Kwanza unapata mshtuko wa hatari. Na dalili kubwa ya mtu kukata roho ni kukoroma kwa hali ya juu na kama vile kuna kitu kooni hakipandi hakishuki.
 
Kwa broken hearted people, kwa haters wote wanaosema nmetunga story hii bas mm ni genius sn kwenu STORI HII N YA KWELI kabsa sjataja hospital nmeona sio vzr . na wanaosema kwann skwenda mm nlmtuma yule maza ipo hivi nani ALIWAHI KUBAKI NA BABA,MAMA,MPENZI,MKE,MME unashuhudia anakata roho unaweza ukawa chizi for life .
Mm nimeamini achana nao kuna watu wanajikuta ni magreat thinker kila kitu ku oppose. Ni wakati mgumu mpk leo picha ya baba angu haijapotea more than 15 years
 
Kama ni hivyo nchi zilizoendelea kama ulaya watu wasingefia hospitalini,,,,,,,,think think ,,,,!!!!!
Soma uelewe.. siyo kila anayefariki anakuwa amepata huduma kwa wakati, wengi hufia mahospitalini kwa sababu ya kucheleweshwa kwa huduma. Ukielewa mwili wa binadamu unavyofanya kazi huwezi bisha.. unafikiri fabrice muamba (kwa wapenda soka watakuwa wanamkumbuka) asingepata huduma ya kwanza ndani ya 3min angekuwa hai??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walishamhamisha walipokuta kitanda cha jiran kimezungushiwa mapazia na walihamak memory ntakayokuwa kwan am stl young
 
Haitakiwi kuogopa mkuu, mfano ukiwa kiongozi hasa shemasi kanisani (baadhi lakini) akitokea muumini kufariki dunia siku ya kumuamdaa kule mochwali, pamoja na kuwepo staff wa mochwali nyie kina shemasi mnaenda kumuandaa kwa kumuogesha maiti na kumvisha nguo.Ukitoka hapo si unaweza ukaacha kulala au kula kwa kuogopa?
Dah..hapana..mie siwez.hv huwa wanamuosha na sabuni..na utupu kbs au anakua amefugwa nguo.private area
 
Pole sana mkuu.
Natumaini baba mdogo anaendelea vizuri.Siku nyingine uongeze jitihada ya kuhakikisha daktari au nesi anakuja pale mnapomuhitaji.
 
Soma uelewe.. siyo kila anayefariki anakuwa amepata huduma kwa wakati, wengi hufia mahospitalini kwa sababu ya kucheleweshwa kwa huduma. Ukielewa mwili wa binadamu unavyofanya kazi huwezi bisha.. unafikiri fabrice muamba (kwa wapenda soka watakuwa wanamkumbuka) asingepata huduma ya kwanza ndani ya 3min angekuwa hai??

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakataa kuna case na case sio kila wakati mtu akiwa hospital na huduma zipo anaweza kupona.Kuna wakati dawa zinamkataa mtu mfano Antibiotic resistant bacteria in urinary system or na hakuna mbadala in this case death is inevitable.

My main Point ni kuwa kuna wakati Daktari yupo na medical care with all facilities available lakini mtu anakufa.
 
Acha lawama.mkuu soma bandiko vizuri,kijana alikua na muangalizi wa ndugu yake hivyo ya jirani alikua anasaidia tu. Angefanya yote hayo utakayo ingemcost uhai wa ndugu yake na familia nzima ingemlaumu.

Na kwa ushahidi upi na uchumi gani kuripoti polisi. Polisi wetu hawa si kijana angejichumia janga kubwa.

Kubadili hoshosp usiku wa manane ni impossible mission hasa kama huna hela na ukute wahusika uchumi mdogo
Lakini homeboy, mbona na wewe hujasaidia chochote zaidi ya maneno matupu, mfano ungeweza kuripot polisi au kutoa wazo wabadili hospitali au ikibidi kabisa kuwatukana madokta kiume, kumwambia mama akamuite nesi huku wewe mwanaume umesimama, binafsi nakuona hukutimiza uliyopaswa kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
Ameniboa sana huyu jamaa, alipaswa afight kiume sio kumtuma mwanamke huku yeye anaangalia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom