Abbitto
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 547
- 756
Nakumbuka nilivyokuwa kijijini kama mna mgonjwa na mabundi yakaja kulia huko shambani lazima huyo mgonjwa aondoke,sasa ilo jambo nikawa sielewi inakuwaje kumbe unaambiwa bundi ni ndege pekee anayenusa kifo Kwa mbali,kiuhalisia baadhi ya viungo vya binadamu vinaanza kufa mapema japokuwa unaweza kumuona mtu anapumua lkn ameshaanza kufa so bundi ananusa mzoga Kwa mbali ndio maana anakuja karibu na kuanza kulia lkn anakuwa hawezi kuingia ndani alipo mgonjwa,uwezo Wa ajabu sana!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
