Nimeshuhudia mtu akikata roho LIVE

Nimeshuhudia mtu akikata roho LIVE

Sasa utamuoshaje na nguo jamani. Utupu juu ya sinki na sabuni brash au dodoki. Ukimaliza unampaka mafuta,kama alikua mpenda make ups mnamremba zake hapo mnamvalisha nguo zote anzia ya ndani mpaka viatu
Dah..hapana..mie siwez.hv huwa wanamuosha na sabuni..na utupu kbs au anakua amefugwa nguo.private area
 
Maskini..hii nchi imesababisha vifo gya watu wasio na hatia ..inaumiza sana..sasa hv ht panadol unaweza kukosa hosp..pole mno
Watu wengi sana wamepoteza maisha kwasababu ya kuzaliwa Tanzania ....huduma za Afya ni bora liende tuu...hata private hospital nyingine wapo kifedha zaidi hawakupi tiba sahihi ni kukukamua tuu fedha zako!
 
Acha lawama.mkuu soma bandiko vizuri,kijana alikua na muangalizi wa ndugu yake hivyo ya jirani alikua anasaidia tu. Angefanya yote hayo utakayo ingemcost uhai wa ndugu yake na familia nzima ingemlaumu.

Na kwa ushahidi upi na uchumi gani kuripoti polisi. Polisi wetu hawa si kijana angejichumia janga kubwa.

Kubadili hoshosp usiku wa manane ni impossible mission hasa kama huna hela na ukute wahusika uchumi mdogo

Kwa uzoefu wangu sehemu za serikali ambazo unaweza ukahudumiwa vibaya hadi ukajiuliza umefata nini hapo ni Polisi na hizi hospitali.Natambua wapo watoa huduma wazuri lakini ni wachache mno.

Mahakamani napo nasikia tuu, binafsi sijafika huko bado.
 
Dah Mungu aniepushie haya

QUOTE="Numbisa, post: 30669441, member: 403420"]Sasa utamuoshaje na nguo jamani. Utupu juu ya sinki na sabuni brash au dodoki. Ukimaliza unampaka mafuta,kama alikua mpenda make ups mnamremba zake hapo mnamvalisha nguo zote anzia ya ndani mpaka viatu[/QUOTE]
 
Nilikuwa kwenye tukio kama hilo face to face na my late dady 30th yrs ago, sikushtuka sababu nilikuwa nimefunzwa jinsi gani mtu anakata roho, nilichofanya ni kumfumba mdomo na macho km bado yako half close.
Pole sana broo! Hongera that you were the last thing your late pappa could see when he was living this world. That's a blessing budda
 
Kwa nini haupo direct and to the point? Umeweka masaa meengii nia ikiwa moja:Kishuhudia muda alofariki nduguyo.Anyway, poleni kwa kuondokewa na ankali yenu.
Hujamuelewa hata. It's not his anko who died. Its another man (mwamba) from the same room
 
Hujamuelewa hata. It's not his anko who died. Its another man (mwamba) from the same room
Ila yeye hakutia neno.Ameshukuru tu.Hata hivyo,andiko reeefuu linalotaja mwenendo wa mgonjwa sekende hadi sekunde kwa masaa mengi vile hadi unasahau hadithi ilianzia wapi ni rahisi kwenda kombo.
 
Imenikumbusha ex wangu alivyookoa maisha yangu, she was just alone fighting for my life no friend (ambao ninao wengi sana), No ndugu but it was only her.Nikikumbuka zile moments najikuta nalia kweli ulinipenda sana sana J.

Japo upo na mwanaume mwingine lakini tambua nakuthamini kupita kiasi and i wish nisingekufanyia upuuzi nisamehe sana and i wish you happiness huko uliko and just know niko hapa if you need my help.
Love you!!!
That's a manhood broo! Hongera for realizing that you were wrong
 
Imenikumbusha ex wangu alivyookoa maisha yangu, she was just alone fighting for my life no friend (ambao ninao wengi sana), No ndugu but it was only her.Nikikumbuka zile moments najikuta nalia kweli ulinipenda sana sana J.

Japo upo na mwanaume mwingine lakini tambua nakuthamini kupita kiasi and i wish nisingekufanyia upuuzi nisamehe sana and i wish you happiness huko uliko and just know niko hapa if you need my help.
Love you!!!
Majuto...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom