Me pia nilisha shuhudia wa kwanza ni bibi angu mwaka jana January 26 saa mbili asubui nilmshuhudia anavyo kata roho huku akiniangalia sana
Mwingine ni kijana mmoja hv siku nilimpelekea bro angu chakula wodin alikua ana umwa vibaya sana.Pembeni yake kitanda kingine alilala huyo kijana tena alikua yupo na mama ake ana chezea simu mara ghafla akaanza kulalamika mgongo unamuuma,mara tumbo
Akaniomba nimpeleke chooni kiukweli alikua hawez kutembea so nikambeba na kumpeleka.
Hali ilianza kubadilika kwa kasi sana kwenye mida ya jioni saa 10 kama cjakosea.Huyo kijana alilalamika sana mgongo mgongo,tumbo tumbo cha kushangaza huyo kijana aliniomba nikakae kwenye kitanda chake hku nmemshika mkono.Nilikaa nae sana muda amekataa kumeza vidonge akidai vinamtesa
Kwenye saa moja jioni dogo alikua ana nambia nakufa,nakufa hatimae akakata roho kwenye mikono yng
Nilisisimkwa hatari maana sikuwai kugusa maiti
Tunakufa mara moja
Sent using
Jamii Forums mobile app