Nimeshuhudia baadhi ya wachaga na wakinga wanaacha ajira nzuri wanaingia mazima biashara ambazo zina hatari ya hasara, huu ujasiri wanautoa wapi?

Ajira zina utumwa fulani ndani yake, pia huwezi kutajirika kwa ajira hasa usipofikia ngazi za umeneja au director katika taasisi kubwa.
 
Umeanza vizuri ukamaliza vibaya na vunjabei
 

Miti ina mazingira yake.. mwingine kijijini kwao singida ama bariadi.. sasa anaanzaje panda miti ya mbao huko singida ama bariadi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…