MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,710
- 6,521
Kwa sababu gani?Mzalendo yoyote hawezi kuwaunga mkono chadema kwenye hili la mandamano wallah
Kwa sababu gani?Mzalendo yoyote hawezi kuwaunga mkono chadema kwenye hili la mandamano wallah
Watu na mawazo kama ya huyu ndio shida zote zinapoanzia, bila aibu jitu zima eti linaandika mama kawapa uhuru, au mama katoa pesa, jifunzeni kidogo serikali inavyofanya kazi na haki za msingi za raia Labda ujinga mtapunguzaNaona mbuzi zinataka kumjaribu Mama, wanamuona mpole sana
Sasa jaribuni muone, wakati wa jiwe mlibakwa kwenye uchaguzi, hakuna hata mbuzi ilisema muandamane
Mama kawapa uhuru kujiachia mnataka mumpande kichwani, tusubire tuone kichapo live
Acha hasira mbwa wewe. Maandamano yapo na yanatambulika kikatiba. Kwa nini wapigwe? Mbona maandamano ya kumpongeza mama hatukuona watu wakipigwa, sometimes tumia akili, watu humu hatujashikiwa akili kama wewe kahaba weweNaona mbuzi zinataka kumjaribu Mama, wanamuona mpole sana
Sasa jaribuni muone, wakati wa jiwe mlibakwa kwenye uchaguzi, hakuna hata mbuzi ilisema muandamane
Mama kawapa uhuru kujiachia mnataka mumpande kichwani, tusubire tuone kichapo live
Nimemsikia huyu mtu wa ACT Wazalendo Dodoma, akijiita ACT Wazalendo Makao Makuu Dodoma!. Hakuna kitu kama hicho!. ACT Wazalendo ni chama makini, taarifa zote rasmi za chama zinatolewa kwa maandishi, hivyo yale ni maoni binafsi ya Mwenyekiti wa ACT Wazalendo wa Dodoma.Nikitafakari namna ACT Wazalendo wanavyofanya siasa na malengo waliyonayo kisiasa kwa siku za mbeleni naona wanakosa mikakati sahihi.
naunga mkono hoja, kukaa kimya pia ni jibu na ni ujumbe tosha sometimes silence is more powerful, more effective than shouting!.Sometimes kuna kukaa kimya kwenye baadhi ya mambo na ukafanikiwa kufikisha ujumbe na kuna kuamua kutoka adharani.
yule ni mtu wa ACT Wazalendo sio ACT Wazalendo kama chama.ACT siyo chama cha kutoka adharani kikiongozwa na vyama ambavyo havina wanachama. Inapotajwa kwenye hoja kama hizi kwamba inaungana na CCM wanachama wake wanajiuliza hiki chama kiliundwa cha kazi gani kama hakionI changamoto za utendaji wa chama tawala
Sii kweli.Tafsiri ya hiki kilichofanywa na ACT ni kwamba CHADEMA wapo peke yao kwenye hoja ya katiba, chadema wapo peke yao kulalamikia ugumu wa maisha. Kwa maana nyingi ni chama kimoja tu kinachokuja na hoja kinzani dhidi ya CCM. Vyama vilivyobaki vinaungana 100% na kila jambo la CCM.
Mtu kujitoa chama fulani sio lazima arejeshe kadi yake ya chama cha awali!. Dr. Slaa alikuwa CCM, akailipia kadi yake miaka 20 mbele, akajiunga Chadema, hakuwahi kurudisha kadi ya CCM na hata baada ya kujitoa Chadema, hajawahi kurudisha kadi ya Chadema!.Na hii unaiona hadi kwenye uchaguzi wa ACT unaoendelea. Viongozi wote wanaopitishwa mikoani ni wanachama wa CCM na hakuna kumbukumbu kwamba waliwahi kurejesha kadi za ccm
hayana tija kiuchumiKwa sababu gani?
tusubiri mandamano ya werevuNi mpumbavu pekee anaweza kupinga madai ya CDM
Hii nchi ina ujinga sana na upuuzi wa aina hii ndio utakaofanya CCM izidi kutawala miaka nenda miaka rudi.Nikitafakari namna ACT Wazalendo wanavyofanya siasa na malengo waliyonayo kisiasa kwa siku za mbeleni naona wanakosa mikakati sahihi.
Sometimes kuna kukaa kimya kwenye baadhi ya mambo na ukafanikiwa kufikisha ujumbe na kuna kuamua kutoka adharani. ACT siyo chama cha kutoka adharani kikiongozwa na vyama ambavyo havina wanachama. Inapotajwa kwenye hoja kama hizi kwamba inaungana na CCM wanachama wake wanajiuliza hiki chama kiliundwa cha kazi gani kama hakionI changamoto za utendaji wa chama tawala
Tafsiri ya hiki kilichofanywa na ACT ni kwamba CHADEMA wapo peke yao kwenye hoja ya katiba, chadema wapo peke yao kulalamikia ugumu wa maisha. Kwa maana nyingi ni chama kimoja tu kinachokuja na hoja kinzani dhidi ya CCM. Vyama vilivyobaki vinaungana 100% na kila jambo la CCM.
Na hii unaiona hadi kwenye uchaguzi wa ACT unaoendelea. Viongozi wote wanaopitishwa mikoani ni wanachama wa CCM na hakuna kumbukumbu kwamba waliwahi kurejesha kadi za ccm
Sio lazima ujue wewe malengo ya maandamano na usipojua haina faida hasara yoyote kwa chadema.Sasa wewe huelewi kuwa hivyo ni vyama tawala?
Hata mimi sifahamu hayo maandamano ya nini na lengo lake nini?
Kama kila chama kinao uhuru wa kuamua mambo yao,imekuaje hao vyama vingine vije kuzungumzia maandamano yaliyotangazwa na chama kingine?Mikakati sahihi maana yake nini.Ina maana mikakati sahihi ni ile ya ya CHADEMA. Kila chama cha siasa kina uhuru wa kisiasa na siyolazima kikubaliane na CHADEMA. Tatizo la CHADEMA ni kujivisha taji la chama kikuu cha upinzani na kuamini hivyo, na kwa mantiki hiyokudhania vyama vyote vya upinzani lazima vifuate nyayo za CHADEMA. You are wrong. Each and every party has liberty to determine their direction. We do not need copycat parties. Kama CHADEMA hamna mvuto shauri, msitegemee kuungwa mkono kirahisi.
huon changamoto zozote kwenye utawala huu ?Mzalendo yoyote hawezi kuwaunga mkono chadema kwenye hili la mandamano wallah
hii nchi ina watu wajinga ukianza na ww , kwan mama ni mungu asikosolewe?Naona mbuzi zinataka kumjaribu Mama, wanamuona mpole sana
Sasa jaribuni muone, wakati wa jiwe mlibakwa kwenye uchaguzi, hakuna hata mbuzi ilisema muandamane
Mama kawapa uhuru kujiachia mnataka mumpande kichwani, tusubire tuone kichapo live
Tuko na MUNGU Ndugu yangu, wala usijali kabisa. Tutashinda tuTafsiri ya hiki kilichofanywa na ACT ni kwamba CHADEMA wapo peke yao kwenye hoja ya katiba, chadema wapo peke yao kulalamikia ugumu wa maisha. Kwa maana nyingi ni chama kimoja tu kinachokuja na hoja kinzani dhidi ya CCM. Vyama vilivyobaki vinaungana 100% na kila jambo la CCM.
Wewe nawe hebu kaa kimyaunategemea waunge mkono upuuzi wa CDM kwa faida ipi.
Ni.emumiss ujue si turudiane mpenzi
Watu na mawazo kama ya huyu ndio shida zote zinapoanzia, bila aibu jitu zima eti linaandika mama kawapa uhuru, au mama katoa pesa, jifunzeni kidogo serikali inavyofanya kazi na haki za msingi za raia Labda ujinga mtapunguza
Acha hasira mbwa wewe. Maandamano yapo na yanatambulika kikatiba. Kwa nini wapigwe? Mbona maandamano ya kumpongeza mama hatukuona watu wakipigwa, sometimes tumia akili, watu humu hatujashikiwa akili kama wewe kahaba wewe
Nyinyi mbuzi, mtapiga kelele humu mitandaoni kutwa kuchwa,hii nchi ina watu wajinga ukianza na ww , kwan mama ni mungu asikosolewe?
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Sahihi kabsa! Hii si ndio ilianzishwa na kina Mkumbo, Zitto na jamaa mmoja wa ArushaHayo ndio malengo halisi ya kuanzishwa kwa ACT, ni vile hamkumbuki tu
Anaitwa Samson MwigambaSahihi kabsa! Hii si ndio ilianzishwa na kina Mkumbo, Zitto na jamaa mmoja wa Arusha