Binafsi mimi sio CCM lakini nilikuwa team magu.Mzuka wanajamvi!
Hii imekkaje? CCM kwa propaganda nimewaanyooshea mkono. Yani walianza tangu enzi zile Rais Magufuli alipokuwa anatembelea mahospitali na madawati hii ilitangazwa sana huko Africa Magharibi ikawafanya watu wampende na kumkubali.
Hata ukiwaambia kajenga international Airport kijijini kwao, anakandamiza demokrasia hawakuelewi.
Sasa hivi baada ya msiba kwenye whatsapp na Facebook zao ni picha za Magufuli tu.
Halafu ile nyomi ilioenda kuthibitisha.
CCM ni hatari kwa propaganda.
Khaaa! 😁😁😁Keyboard yako hainaga Button ya Space
Wamechukua hatua gani?Angalia walichofanya uingereza sasa hivi baada ya corona kuwanyanyasa sana!
Hatua hii waliyoichukua uingereza yeye Magu aliiona tangu corona inaingia.
Sasa raia za huko zikiona hali hii lazima zimkumbuke Magu
Sio propaganda za CCM ila JUA CCM kabla Magufuli hajawa chairman ndo ile ulikuwa ukipita mtaani shati lako la CCM unazomewa ila kiutendaji Magu alikuwa Vizuri na ndio maana sasahivi CCM wanapita na mashati yao huku hawana ata kiwewe cha kuzomewa.
Binafsi mimi sio CCM lakini nilikuwa team magu.
Eti mimi ni nani?
Sina neno mkuu🙏🙏🙏Mataga
Nilikuwa hata simjui Kanumba, mtu wa Cameroon ndio akanitaarifu juu ya kifo chake. Inaelekea wanavutiwa na Tz.Mzuka wanajamvi!
Hii imekkaje? CCM kwa propaganda nimewaanyooshea mkono. Yani walianza tangu enzi zile Rais Magufuli alipokuwa anatembelea mahospitali na madawati hii ilitangazwa sana huko Africa Magharibi ikawafanya watu wampende na kumkubali.
Hata ukiwaambia kajenga international Airport kijijini kwao, anakandamiza demokrasia hawakuelewi.
Sasa hivi baada ya msiba kwenye whatsapp na Facebook zao ni picha za Magufuli tu.
Halafu ile nyomi ilioenda kuthibitisha.
CCM ni hatari kwa propaganda.
Wamefanya nini? Tafuta mkalimani ndugu!Angalia walichofanya uingereza sasa hivi baada ya corona kuwanyanyasa sana!
Hatua hii waliyoichukua uingereza yeye Magu aliiona tangu corona inaingia.
Sasa raia za huko zikiona hali hii lazima zimkumbuke Magu
Magu alikuwa anaona mbali mno, wewe acha wajitoe ufahamu tu. Nabii hakosi heshima isipokuwa katika watu wa nchi yake. We miss him so much, naona ile mamlaka imepotea kabisa, siridhiki kabisa now.Angalia walichofanya uingereza sasa hivi baada ya corona kuwanyanyasa sana!
Hatua hii waliyoichukua uingereza yeye Magu aliiona tangu corona inaingia.
Sasa raia za huko zikiona hali hii lazima zimkumbuke Magu
Sio propaganda za CCM ila JUA CCM kabla Magufuli hajawa chairman ndo ile ulikuwa ukipita mtaani shati lako la CCM unazomewa ila kiutendaji Magu alikuwa Vizuri na ndio maana sasahivi CCM wanapita na mashati yao huku hawana ata kiwewe cha kuzomewa.
Sasa kama kuna watu wanaitwa mbiti (fisi), chonza (kicheche), ng'holo (kondoo), kaswalala (manyunyu), kabula ( mvua ndogo), mbula (mvua), kalunde (kawingu) etc etc so what's so special with the name u have mentioned?Kuna Mtoto kazaliwa huku Kapewa jina MAGUFULI, Nimefurahi sana
GOD IS GREAT
Alikua Raisi wa kipekee Tanzania Mwaka 2015 - 2021, huo ndio u'special wake una lingine ?Sasa kama kuna watu wanaitwa mbiti (fisi), chonza (kicheche), ng'holo (kondoo), kaswalala (manyunyu), kabula ( mvua ndogo), mbula (mvua), kalunde (kawingu) etc etc so what's so special with the name u have mentioned?
AseeeeeeKeyboard yako hainaga Button ya Space
ChiziBinafsi mimi sio CCM lakini nilikuwa team magu.
Eti mimi ni nani?
Mkuu hao ni watu wazima, kibaya chajitembeza chema chajiuza. Kama wewe humkunali jpm sio wote wana mtazamo wako.Mzuka wanajamvi!
Hii imekkaje? CCM kwa propaganda nimewaanyooshea mkono. Yani walianza tangu enzi zile Rais Magufuli alipokuwa anatembelea mahospitali na madawati hii ilitangazwa sana huko Africa Magharibi ikawafanya watu wampende na kumkubali.
Hata ukiwaambia kajenga international Airport kijijini kwao, anakandamiza demokrasia hawakuelewi.
Sasa hivi baada ya msiba kwenye whatsapp na Facebook zao ni picha za Magufuli tu.
Halafu ile nyomi ilioenda kuthibitisha.
CCM ni hatari kwa propaganda.
Mleta uzi ni bavicha..Watasema umepewa buku saba