mteule senior
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 281
- 192
Kweli kabisa wabongo wengi wa ajabu sana....Ndio maana Yesu alisema Nabii hakubaliki nyumbaniNabii hakubaliki home
Kweli kabisa wabongo wengi wa ajabu sana....Ndio maana Yesu alisema Nabii hakubaliki nyumbaniNabii hakubaliki home
Nakuunga mkono yaaniMagu alikuwa anaona mbali mno, wewe acha wajitoe ufahamu tu. Nabii hakosi heshima isipokuwa katika watu wa nchi yake. We miss him so much, naona ile mamlaka imepotea kabisa, siridhiki kabisa now.
Mzee alikuwa anapinga kabisa mirdi ya kipigaji, ndiyo maana sasa hivi UDA imerejea rasimi barabarani, ndiyo utajua saizi kuna ombwe fulani limeanza kuonekana.
We huwezi mkubali....hata avatar yako umemweka beberu shetani mpenda chanjowana haki ya kuweka kwa sababu HAWAJAKAA NAE HAJAWAHI KUWA HATA KUWA KILANJA WAO SHULENI.
Hata hapa mbona MATAGA wengi waliweka sana ila baada ya report hii ya CAG, wengi wao wameitoa!!SHUJAA WA AFRIKA kawatia aibu!!!Mzuka wanajamvi!
Hii imekkaje? CCM kwa propaganda nimewaanyooshea mkono. Yani walianza tangu enzi zile Rais Magufuli alipokuwa anatembelea mahospitali na madawati hii ilitangazwa sana huko Africa Magharibi ikawafanya watu wampende na kumkubali.
Hata ukiwaambia kajenga international Airport kijijini kwao, anakandamiza demokrasia hawakuelewi.
Sasa hivi baada ya msiba kwenye whatsapp na Facebook zao ni picha za Magufuli tu.
Halafu ile nyomi ilioenda kuthibitisha.
CCM ni hatari kwa propaganda.
Kwa madudu hayo ya ripoti ya CAG, bora uniite mchawi kabisa!!eti mzalendo kumbe mpigaji tu, kumbe wafanyakazi walikuwa wakiishi kwa matumaini hewa, ohoo ngoja nimalize miradi mikubwa niwaongezee mishahara kwa upigaji huo, wangesubiria sana!!sasa mfano CAG, aamlishwe kuzitoa ripoti halisi zote za miaka 5, watu si watazimia??Humu wamejaa wanaharakati,tena wenye roho mbaya na unafiki wa kupindukia.Tegemea mitazamo hasi na dhihaka.
Ripoti ya CAG haijawahi sifia serikali.Toka nianze kufuatilia ripoti ya CAG siku zote huonyesha mapungufu katika matumizi ya fedha za serikali. Cha msingi ni sisi kuipima serikali kupitia mambo tunayoyaona kwa macho.Kwa madudu hayo ya ripoti ya CAG, bora uniite mchawi kabisa!!eti mzalendo kumbe mpigaji tu, kumbe wafanyakazi walikuwa wakiishi kwa matumaini hewa, ohoo ngoja nimalize miradi mikubwa niwaongezee mishahara kwa upigaji huo, wangesubiria sana!!sasa mfano CAG, aamlishwe kuzitoa ripoti halisi zote za miaka 5, watu si watazimia??
Heeee!!kwani jukumu la ofisi ya CAG, ni kuisifia serikali?!!kuonyesha mapungufu ndio kazi yake kubwa na kushauri tu, kwani hayo mambo unayoyaona kwa macho chanzo chake si pesa?ambazo huzioni kwa macho?hayo mabilioni yanayopotea si yangefanya zaidi ya hayo unayoonyeshwa kwa macho? Siku zote ukiona serikali inakimbilia kufanya mambo yake gizani jua , siku mwanga ukija ni balaaa!!kwanini serikali za nchi zilizoendelea ufisadi unakuwa kidogo sana au hakuna ni kwasababu kila kitu kiko wazi na ni mifumo yote iko huru, sasa kilichotufikisha hapa ni ONE MAN SHOW!!akajifanya yeye ndio anauchungu sana na nchi na walio wengi wakamuamini, waliokataa kumuamini wakaonekana ni kikwazokwake!!yako wapi sasa??!eti tuko kwenye vita ya kiuchumi na mabeberu kwa upigaji huu??!Ripoti ya CAG haijawahi sifia serikali.Toka nianze kufuatilia ripoti ya CAG siku zote huonyesha mapungufu katika matumizi ya fedha za serikali. Cha msingi ni sisi kuipima serikali kupitia mambo tunayoyaona kwa macho.
Hakuna watu wanapenda ushirikina kama Wanaigeria...Mzuka wanajamvi!
Hii imekkaje? CCM kwa propaganda nimewaanyooshea mkono. Yani walianza tangu enzi zile Rais Magufuli alipokuwa anatembelea mahospitali na madawati hii ilitangazwa sana huko Africa Magharibi ikawafanya watu wampende na kumkubali.
Hata ukiwaambia kajenga international Airport kijijini kwao, anakandamiza demokrasia hawakuelewi.
Sasa hivi baada ya msiba kwenye whatsapp na Facebook zao ni picha za Magufuli tu.
Halafu ile nyomi ilioenda kuthibitisha.
CCM ni hatari kwa propaganda.
Ubazazi tena?.Wa punguza ubabazazi
Kwa hiyo Hayati Magufuli amewasafishia nyota CCM??.Sio propaganda za CCM ila JUA CCM kabla Magufuli hajawa chairman ndo ile ulikuwa ukipita mtaani shati lako la CCM unazomewa ila kiutendaji Magu alikuwa Vizuri na ndio maana sasahivi CCM wanapita na mashati yao huku hawana ata kiwewe cha kuzomewa.
Leta ushahidi hasa kwa upande wa Mbinguni.Kiufupi dogo mzee wetu alikuwa akipendwa sana duniani na mbinguni
Kwa Kweli kwa Ishu ya Corona, Magufuli amechukua point zote aliwazidi kete wazungu.Angalia walichofanya uingereza sasa hivi baada ya corona kuwanyanyasa sana!
Hatua hii waliyoichukua uingereza yeye Magu aliiona tangu corona inaingia.
Sasa raia za huko zikiona hali hii lazima zimkumbuke Magu
Ni haki yako kufurahi kwasababu hata Avatar yako ni picha ya Magufuli alipokuwa kijana mdogo.Kuna Mtoto kazaliwa huku Kapewa jina MAGUFULI, Nimefurahi sana
GOD IS GREAT
Marasta wa Africa mpaka Jamaica wanakwambia Magufuli Bigupppp yourself maan,big ting agwaan in dong town East Africa Tanzania MAGUFULI was like Moses maan,Magufuli was a true Rastaman.Jah bless Tanzania.
Nasikia mchakato wa kumfanya malaika mkuu umeanza!Kiufupi dogo mzee wetu alikuwa akipendwa sana duniani na mbinguni
Kiufupi dogo mzee wetu alikuwa akipendwa sana duniani na mbinguni
Asiependa chanjo ni chizi pekee ndo nyie mliendanganya mzee atangaze CORONA hamna matokeo yake dunia ikamuona kama kichaaWe huwezi mkubali....hata avatar yako umemweka beberu shetani mpenda chanjo
😂 😂 😂Kiufupi dogo mzee wetu alikuwa akipendwa sana duniani na mbinguni