Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Kishongo,
Good bye and good luck! You were useless when we had you in our midst and now I believe you are joining a group which is more suitable for you!