Nimeshindwa, Nahama Chadema

Nimeshindwa, Nahama Chadema

Hakika njaa inakusumbua tu wewe unafikiri hizo Chips za siku moja ulizopewa na kusahau shida zote zitakupeleka wapi? Wewe ni njaa tu inakusumbua na wala hukuwa mwanachama wa chama cha watu wenye akili zao! Jinsi ulivyoondoka CCM na kuamia Chadema ndio hivyo ungeondoka bila hata ya kutoa taarifa.

Plz plz kama kuna vitu vya chama kama fikra hai, sera za chama na mambo mengine tunaomba uviache Chadema uende kama ulivyokuja mtupu. Usije kuwa kama Masha aliyeamua kuondoka na Vitasa......

Kweli njaa mbaya.!
 
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.

Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.

Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.

Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.

Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!

Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.


I think wewe ni moja ya cancer zilizokuwa ndani ya CDM. Bora uondoke ili CDM ipone. Nenda kwenye kapu la vihiyo wezako wa chama cha malofa.
 
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.

Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.

Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.

Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.

Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!

Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.

Wenye mawazo mepesi kama ya kwako, sijui kama utawapata humu JF. Humu si umesikia ni eneo la 'Great thinkers?', ulikosea kuwa kwenye eneo lisilo lako.
 
nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.

Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.

Nimeng'amua kwamba ccm ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.

Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.

Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya chadema mnakaribishwa ccm.

Kidumu chama cha mapinduzi!

Zidumu fikra za mwenyekiti na rais wetu jk.

mamluki mkubwa
 
I speak satanic language and no body speaks it, lemme be the king of Tanzania.
 
wanamapinduzi ee achaneni na huyo kenge asiyejua kuwa chadema kinajengwa na miamba imara kama sisi ye alifikiri chadema ni ccm.mpuuzi huyo
 
usiondoke. subiri tumfukue Zito halafu akihamia TLP, au NCCR au CUF ndipo umfuate. utakuwa na hoja baaabkuuuubwa na ubunge utapata. si unaona? mtu yoyote aliyepewa shavu na huyu jamaa kapita ubunge tena kwa kishindo tena bila kujali chama?. maa wee tukimpotea tumeisha!
 
KARIBU TUANZISHE CHAMA CHETU MISORI, CHADEMA HUJAWAFURAHISHA, ndugu zako wanakufa kwa umaskini vijijini we unalipia pango mwaka mzima, unanunua kiwanja wakati watoto yatima wana lala na njaa, wewe hufai kabisaaa hauna hekima, na masifa ya mekuponza, na CCM hawatakupa ng'o, kwani hakuna utakachochangia zaidi ya kujifanya kifaru yani unazo kwenye chama. Siolazima kua kiongozi mambo yakufanya ni mengi.
 
I think this is the best time for Mbowe to make a litle move,Kwanini asiwape watu wengine nafasi?
Binafsi Mbowe namkubali sana hasa kwenye mambo aliyo yafanya Jimboni kwake HAI,but i will be much happier kama atabaki na huo ubunge na akajikita jimboni.
For the sake of CHADEMA Mbowe make your move please!
Hiki chama kilivyo kizuri na chenye plan na future nisinge penda kukiona kinakua kama TLP,CUF au NCCR.
Najua wote tunaitakia mema CDM ila kwa Chairman sasa time imefika kuonyesha umakini wake na ujasiri.
Achukue hata DR.Salaa ikiwezekana.

 
Back
Top Bottom