Ndo maana hata siku moja siwezi kumwacha mtoto wangu alelewe na mwanamke anaeitwa mama wa kambo.Bora nilale nae njaa kuliko kumuacha kwenye nyumba yenye chakula bila uwepo wangu.
Elia umesema neno
Hapo ndo ujue sio kila mtu anafaa/takiwa kuwa mzazi!
Hivi kama Tanzania kuna social services inayofuatilia maisha ya watoto haswa? Au mtu unapoweza ripoti?