Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,315
- 6,845
Kama huna matatizo kichwani, wewe ambaye hujaongea naye ndiyo unatakiwa umwelewe kwa kiwango cha juu zaidi. Hapa sasa na wewe unataka kuanza kuwapa watu wasiwasi kuzidi hata huyu mgeni anayeongelewa humu. Si za kuambiwa unachanganya na za kwako, au ?Sasa kama wewe uliyekuwa unaongea nae hujamuekewa, sisi ambao wala hatujamuina wala kumsikia tutamwelewa?