Nimeshindwa kula papuchi sababu ya harufu, wengine mnawezaje?

Nimeshindwa kula papuchi sababu ya harufu, wengine mnawezaje?

Mimi nimekaa kanda ya ziwa........wanawake wengi wa huko wananuka papuchi........ila nilichokigundua chanzo kikubwa ni umasikini...hawana uwezo wa kupata vitendea kazi vyote kama pedi safi,chupi safi, sabuni nzuri yenye manukato kiasi..mafuta mazuri laini yenye kunukia.....
...
 
Mi nimekutana nazo kibao ila lazima niloweke mzigo. Kisha nafuta namba kabisa.

Nikimpenda namchana au kitaalam kuna mwanangu ni Daktari namwelezea ananiambia dawa gani atumie afu mm namnunulia naenda mpatia na kumwambia anatoa harufu isiyo ya kawaida ukeni itakuwa amepata Maambukizi ya bakteria hivyo atumie hizo dawa ili kulinda kizazi chake.

Nawaambia hivyo ili wasihisi wanatoa harufu kutokana na uchafu bali bacteria ambao wanapatikana chooni nk.
 
Ulaji nao unachangia sana. Mtu anakaa wiki nzima hajala tunda wala mboga za majani au vyakula vya mboga mboga, ni machipsi, soda, beer, chips, mishkaki, biscuit, na vitu vingine ambavyo havimsaidii kiusafi.

Hayo mambo yanasolviwa kwa kunywa maji ya nyumbani ya kuchemshwa jikoni yakapoa sio haya ya chupa yanakuwa na chemical composition ambayo si nzuri kwa afya ya usafi wa maumbile ya mwanamke,anatakiwa kunywa kwa wingi sio chini ya lita 3 ya maji per day.

Matunda pia ni muhimu sana especially vitamin C types kama limao, chungwa, ndimu. Mboga mboga za majini kama mchicha, spinach, broccoli , bamia, nyanya chungu, salad.

Akae mbali na soda, apunguze kiasi awe anakunywa at least 3 kwa wiki na muda akimaliza kunywa asindikize na maji kwa wingi sana kuflush out soda katika mwili.

Kuhusu kunuka kinywa, ajitahidi kusafisha vizuri kinywa chake tatizo litaisha. Kuswaki mara mbili kwa siku inasaidia sana kuondoa tatizo. Kunywa maji yaliyokamuliwa limao moja na kuwekwa vipande vya tango husaidia sana.

Akipiga mswaki ajitahidi sana kusafisha ulimi wote kww kuubrush kwa umakini bila kutumia nguvu nyingi sana. Asafishe ulimi wake kwa mswaki hadi ule weupe weupe upungue na ulimi uwe na rangi yake original ya pinkish red. Hapo bacteria wataka kabisa na harufu mbaya itaondoka na atapata harufu safi ya mint ambayo huwa ni comfortable kupumuliwa nayo usoni.
 
Ndo maana mnaambiwa kabla hamjafanya mambo hakikisha mmeoga ukute katoka kuswampa huko na huko tangu kaoga asubuhi alafu utegemee natural smell [emoji28][emoji28][emoji28]ni kwa wachache sana tena wenye usafi wa hali ya juuu ndo tunaweza jitahidi
Kwako pako fresh huko?
 
Ulaji nao unachangia sana. Mtu anakaa wiki nzima hajala tunda wala mboga za majani au vyakula vya mboga mboga, ni machipsi, soda, beer, chips, mishkaki, biscuit, na vitu vingine ambavyo havimsaidii kiusafi.

Hayo mambo yanasolviwa kwa kunywa maji ya nyumbani ya kuchemshwa jikoni yakapoa sio haya ya chupa yanakuwa na chemical composition ambayo si nzuri kwa afya ya usafi wa maumbile ya mwanamke,anatakiwa kunywa kwa wingi sio chini ya lita 3 ya maji per day.

Matunda pia ni muhimu sana especially vitamin C types kama limao, chungwa, ndimu. Mboga mboga za majini kama mchicha, spinach, broccoli , bamia, nyanya chungu, salad.

Akae mbali na soda, apunguze kiasi awe anakunywa at least 3 kwa wiki na muda akimaliza kunywa asindikize na maji kwa wingi sana kuflush out soda katika mwili.

Kuhusu kunuka kinywa, ajitahidi kusafisha vizuri kinywa chake tatizo litaisha. Kuswaki mara mbili kwa siku inasaidia sana kuondoa tatizo. Kunywa maji yaliyokamuliwa limao moja na kuwekwa vipande vya tango husaidia sana.

Akipiga mswaki ajitahidi sana kusafisha ulimi wote kww kuubrush kwa umakini bila kutumia nguvu nyingi sana. Asafishe ulimi wake kwa mswaki hadi ule weupe weupe upungue na ulimi uwe na rangi yake original ya pinkish red. Hapo bacteria wataka kabisa na harufu mbaya itaondoka na atapata harufu safi ya mint ambayo huwa ni comfortable kupumuliwa nayo usoni.
Wasipo kusikia kwa hili basi tena.

#MaendeleoHayanaChama
 
heri yako wewe ilikua papuchi walau foreplay ulifaidi

nililipa lodge na nauli, kufika, foreplay inaanza, bibie mdomo , daaah, kama kaweka panya mfu humo

nikaaga naenda kuchukua ndom, nikazima simu na 23k ya lodge ikawa imeenda ivyo

sikugegeda miezi 6 mfululizo maana ile harufu ili kaa kwa 'memory' miezi yote hiyo
Tunakutana sana na hizi mambo, basi tu wengine huwa hawasemi
 
Back
Top Bottom