Nimeshindwa kujizuia jamani

Nimeshindwa kujizuia jamani

Yani wewe sijakupigia simu siku mbili tu ushaleta nyege zako huku?
😂😂
Screenshot_20260204-193526~2.jpg
 
Acha umalaya merry shaur lako
Umalaya na alichoandika ni vitu viwili tofauti kabisa.

Hata kama ni malayahilo ni lake maana hakuna aliyemshuhudia akifanya huo umalaya.. Alichokiandika ni hisia zake kama binadamu yeyote.
Anaonekana malaya kwa sababu ya tatizo la mfumo dume tulionao.
Angeandika mwanaume kwa namna hiyo hiyo aliyoandika Marry angeonekana ni kidume na angepewa ushirikiano wa kutosha na miongozo lukuki namna ya kupata mbunye.

Marry pole, mpigie mhusika aje kutuliza hilo vumbi.
 
Shikamoon wakubwa zangu

Unajua kuna namna ukipita,au ukiwa kwenye Nyakati ngumu unajikuta,huwazi mambo ya ngono na huhitaji mpenzi.

Sasa kwasasa angalau nipo kwenye wakati mzuri .so kuna kitu nakuta nakikosa,mmmh nyege mbaya niwe mkweli nimeshindwa kukaza,mbaya zaidi hata mtu wangu hajawahi nipigia simu.

Tungekuwa wanawake tunatongoza,naona leo ningetafuta lakini ,si taratibu zetu.
Ila hapanaaaaa ,kuwasha si kuwasha viungo vimekaza,kazi zitanishinda leo.

Ngoja nitafute kitu cha kuniweka busy
PM foe more therapy niko hap😄
 
Umalaya na alichoandika ni vitu viwili tofauti kabisa.

Hata kama ni malayahilo ni lake maana hakuna aliyemshuhudia akifanya huo umalaya.. Alichokiandika ni hisia zake kama binadamu yeyote.
Anaonekana malaya kwa sababu ya tatizo la mfumo dume tulionao.
Angeandika mwanaume kwa namna hiyo hiyo aliyoandika Marry angeonekana ni kidume na angepewa ushirikiano wa kutosha na miongozo lukuki namna ya kupata mbunye.

Marry pole, mpigie mhusika aje kutuliza hilo vumbi.
Soma nyuzi zake za kitambo halafu uje ufute haya maandishi yako hapa
 
Natamani kusema jambo lakini nahisi hii simu itakuwa imeibiwa na haiko mikono salama..

Wanawake tunaishi nao, inawezekana

1. Upo kwenye siku za kunasa mimba (nyakati hz mwili wa mwanamke huchangamka sana)

2. Inawezekana unaangalia picha na video zenye maudhui ya mahaba/ngono

3. Inawezekana ulikuwa haulazi damu kudinywa, sasa umekaa muda kidogo imeleta shida.
Hali hyo inaweza kukuletea "hysteria" (mnaita chekelea)

Jitahid sana kuoga maji ya barid sana, kuwa bize na kazi, epuka stori za kingono ngono, jitahid sana kutembea muda mrefu kwa miguu hata hatua elfu moja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom