Kaka inatisha,tusubili update.Mkuu najuwa kesho ndo uchukuaji wa fomu.ila leo lowassa atakuwa ofisi za cuf buguruni kutakuwa na vikao vya ndani nimejitolea tu ulinzi baada ya jana kusikika taarifa kuwa ccm wamepanga kufanya hujuma
Bavicha na story zenu za kitoto kila siku.
JK kichwa kinamiuma sanaaaa..akikumbika jana nchi nzima inazizima mikadi ya kijani inachomwa moto nadhani hajalala
Hali yake ni mbaya kwelikweli. Anajitahidi kuzunguka na huyo Magufuli hata kwenye 8, 8 lakini ukiangalia muitikio ni mdogo sana na waliokuwepo hawana zile amsha amsha za furaha.
Makojobless hao,mtu huwezi kuacha biashara yako kwa ajili ya wapuuziUnajuwa Mkuu hapa ndipo unaona watu walivyo ichoka Ccm
Angalia tu mtu kaacha kazi zake zote na kachomoka usiku wote anaenda buguruni kusubiri aone mkutano wa mgombea urais wa ukawa anafanya mkutano salama na awahabarishe kinacho endele.Huu ni moyo wa kipekee
Leo wenyeviti wenza wa ukawa pamoja na mgombea uraisi wetu watakuwa ktk kikao cha Cuf cha dharula....so jamaa yupo right
= dharura