Nimesahau wallet

Nimesahau wallet

Wasichana wengi ni kama wanajiuza,ni ngumu kuwatofautisha na makahaba wale wa viwanja namna 'mtazamo' wao kuhusu pesa ya mwanamme unavyofanana


iliandikwa mwanaume atakula kwa jasho lake mwenyewe ila huyu alitaka alishwe
 
hahahahahhahaa numecheka mpaka bas ujue ww kiboko nikitoka mererani ntakutafuta uniridhishe dear

avatar123527_1.gif
hakikisha hayo meno yako ya mbele yawe yameota ndio unitafute
 
huu mwaka lazima mbadirike,jitumeni kaka zangu la sivyo mtaambulia machoni tu

tena siku hizi mmekuwa omba omba sana,omba omba wengi mjini sikuizi ni wakiume hii yote ni sababu ya uvivu na kukimbia umande

Punguza ukali wa naneno aisee, yani mwanaume omba omba?
 
Wakati uko naye mnakula maraha haukusema kuwa wanajua mambo ila kwenye pesa ndiyo umeona hafai kama ulijua wazee ndiyo wazuri kwanini ulikuwa na huyo kijana mbona kwenye mabo ya 6 by 6 mnasema ndiyo wazuri? na mlipokuwa mnalivalia kibwebwe suala la haki sawa kwa wote hamkujua matokeo yake? Saizi mnaanza kuwalilia waliowanyima haki sawa ndiyo mnawaona bora saizi? komaeni tu hivyo hivyo hakuna kulalamika ndiyo haki sawa yenyewe mlikuwa mnachekelea saizi povu zinawatoka, halafu cha ajabu unaweza kukuta ni maramoja tu imetokea povu linakutoka,kuweni na mapenzi yasiyojali pesa maana hayo ya pesa yamewashinda baada ya kuyaiga,kila kukicha mnalalamika kuna mwingine alikuja na maada hapa "eti nilizipenda pesa zake ila simpendi na yuko siliasi kunioa" sasa jamani si kujitesa huko eti kwa sababu ya pesa zinzotafutwa tuuuu? Halafu Unawasifia watu wazima ambao automatically ni waume za watu mnaishi maisha ya kujificha ficha eti mke asijekujua sasa hapo kuna raha gani mapenzi yanamasharti kama nini, hakuna kupiga simu usiku sasa kama unaumwa umezidiwa na wa kwanza unataka ajue mpenzi wako inakuwaje? Hivi kwanini hawa wanamwagiana tindikali wasionyeshe mfano kwenye sekta hii ili heshima irudi, maana mtu haawezi kuwa anatembea na mume/au mke wa mtu na akawa huru kana kwamba ni wa kwake...................................MIMI NAONA MBADILIKE MAPENZI YA KUFUATA PESA NI UTUMWA NA MKIENDELEA KUSHABIKIA PESA MTASAFIRISHA SANA HUO UNGA SI MNAPENDA HELA ZA BILA JASHO, ETI KWA MBUNYE TU MNATAKA MAMBO CHUNGU NZIMA UTAFIKIRI MMEOLEWA,MWANAUME ANAWAJIBU KWA MKE WAKE TU HAPO NDIYO MNAPASWA KULALAMIKA.

Aisee hii dose yako mmh kiboko... Wamwagiwe tkl?
 
kwan walet ndo kigegedulio?.....raha na walet ndo kutofikishana huko coz mie nakukomesha najitosheleza mwenewe coz i pay for it na ww mijicho kodo kwene walet unaishia kuota misugu tuu
 
Dawa yenu ndogo nyie wauza sura mnajifanya kujirengesha kwa wake zetu. Ukiingia anga zangu nakupa mtego lazima unase kisha nikumalize mimi mwenyewe taraatibuu.

Hahahahaha Ritz una mikwara.
 
Last edited by a moderator:
Dawa yenu ndogo nyie wauza sura mnajifanya kujirengesha kwa wake zetu. Ukiingia anga zangu nakupa mtego lazima unase kisha nikumalize mimi mwenyewe taraatibuu.

unajua we mtu mzima na nakujua na kukuheshimu hebu ondoka hapa tuache vijana
utanifanya nn km mbunye ya malaya inakushinda bao moko tu unalala utaweza kipenyo chenye makatamavi ya ukweli tutawabebea wake.zenu mpk ukome umesoma kitabu cha MABEPARI WA BONGO? kuna mama mke wa waziri alifichua mengi yenu
 
we jerrymsigwa acha maneno mengi mesage sent ,mjirekebishe fanya kazi kwa bidii acha longolongo,we kwani una sh ngapi?
 
Wewe ndio unayataka mwenyewe, umesema sio mara moja kafanya hivyo. Ina maana ulizoe hii hali na wewe ndio chanzo maana ungeweza kumwambia mmuifate.

Kinyume na hapo umekaa kimya siku zote hizo na mwenzio alikugeuza chuma ulete.
 
Mnaboa sana nyie wanaume vijana,yani hamna maana,hamna lolote ndo maana tunawaacha,mnakwepa majukumu yenu,ndo maana vibabu vipo kwenye chat na tutazidi kuvisifia jinsi vilivyo makini,


KUNA SIKU NILITOKA OUT NA MWANAUME KIJANA,KABLA HATA HATUJAFIKA SEHEMU HUSIKA AKAANZA KUJISACHI,MARA KIDOGO AKANIAMBIA BABY NIMESAHAU WALLET HALAFU SIO MARA YAKE YA KWANZA,HALAFU KAPANDA GARI YANGU NILIPATWA NA HASIRA NIKAMSHUSHA NJIANI TENA ILIKUWA USIKU NA NDO UKAWA MWISHO WA UHUSIONO WETU ,

NARUDIA KUSEMA WANAUME MNAOPENDA MTEREMKO TUMEWAGUNDUA,HATUTAWAENDEKEZA.
DOCUMENT KWANZA MZIGO BAADAE


Lazima wewe utakuwa ni miongoni mwa wale wanawake wa hapa jijini wanaoendesha maisha kwa kuuza ile sehemu yao ya mwili iliyochoka kwa kuwa over used.
Pole sana!!!
 
Mnaboa sana nyie wanaume vijana,yani hamna maana,hamna lolote ndo maana tunawaacha,mnakwepa majukumu yenu,ndo maana vibabu vipo kwenye chat na tutazidi kuvisifia jinsi vilivyo makini,


KUNA SIKU NILITOKA OUT NA MWANAUME KIJANA,KABLA HATA HATUJAFIKA SEHEMU HUSIKA AKAANZA KUJISACHI,MARA KIDOGO AKANIAMBIA BABY NIMESAHAU WALLET HALAFU SIO MARA YAKE YA KWANZA,HALAFU KAPANDA GARI YANGU NILIPATWA NA HASIRA NIKAMSHUSHA NJIANI TENA ILIKUWA USIKU NA NDO UKAWA MWISHO WA UHUSIONO WETU ,

NARUDIA KUSEMA WANAUME MNAOPENDA MTEREMKO TUMEWAGUNDUA,HATUTAWAENDEKEZA.
DOCUMENT KWANZA MZIGO BAADAE

kumbe hua unauza papucha aka k..u...m...a.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom