Nimesahau wallet

Nimesahau wallet

Aaaaghr kumbe wallet mbona tatizo dogo sana ingekuwa amesahau DUME hapo ningekuelewa malalamiko yako.
 
Kwa kweli umejidhalilisha kwenye Front page.Umetuonyesha ni jinsi gani ulivyo "kubuhu" ila umesahau kutujuza kuwa unauza BEI gani? "Delete Futa Kabisa".:thumbdown::thumbdown:
 
huu mwaka lazima mbadirike,jitumeni kaka zangu la sivyo mtaambulia machoni tu

tena siku hizi mmekuwa omba omba sana,omba omba wengi mjini sikuizi ni wakiume hii yote ni sababu ya uvivu na kukimbia umande

pathetic!! for the record, you hold no criteria to justify yourself as a certified w.h.o.r.e (because that is what you want us to belive). you are just a simple b.i.t.c.h, and your career won't turn pro any time soon... wallet yake inakuhusu nini, kwani we mkewe? kama unauza si unasema tu
 
Kwani wallet ndo ulikuwa unaitaka? Dogo amshukuru mungu hakuwa nayo, labda leo tungezungumza mambo ya arobaini yake!
 
Hivi kumbe wanawake wa humu wengi ni makahaba ee??? Ona jinsi wanavo tetea huu upuuzi!
 
Aaaaghr kumbe wallet mbona tatizo dogo sana ingekuwa amesahau DUME hapo ningekuelewa malalamiko yako.

Anauza huyu ye atuambia ni Bei gani tu,ikiwezekana atudokeze kabisa Papuchi yake ina milio aina Gani ya Nokia au Samsung
 
huuuuuuu leo baba nanihiii umekuwa mkali sana...... Nimeogopa na bakuli nalifunga....


Namulika mwizi mamy!!!

Nyama anauza kutwa kwenye container watu watajuaje sasa kama ni give away price!!!????

Hawa enzi za ujana pale Congo bar ni unamtia hela feki tu akasanuke nazo mbele ya safari huko!!!

U gud lakini???
 
Naona hii haituhusu sisi wanaume watu wazima!Tena nadhani mods sijui waanzishe jukwaa lao maana kila siku malalamiko kwa hao vijana,mara hawawafikishi kunako Mlima Kilimanjaro,kila siku kuna jipya kwa hawa vijana.

basi kumbe huyu kijana akifika umri wa mtu mzima nae atatakwa!!!!!!
 
Mnaboa sana nyie wanaume vijana,yani hamna maana,hamna lolote ndo maana tunawaacha,mnakwepa majukumu yenu,ndo maana vibabu vipo kwenye chat na tutazidi kuvisifia jinsi vilivyo makini,


KUNA SIKU NILITOKA OUT NA MWANAUME KIJANA,KABLA HATA HATUJAFIKA SEHEMU HUSIKA AKAANZA KUJISACHI,MARA KIDOGO AKANIAMBIA BABY NIMESAHAU WALLET HALAFU SIO MARA YAKE YA KWANZA,HALAFU KAPANDA GARI YANGU NILIPATWA NA HASIRA NIKAMSHUSHA NJIANI TENA ILIKUWA USIKU NA NDO UKAWA MWISHO WA UHUSIONO WETU ,

NARUDIA KUSEMA WANAUME MNAOPENDA MTEREMKO TUMEWAGUNDUA,HATUTAWAENDEKEZA.
DOCUMENT KWANZA MZIGO BAADAE


View attachment 112000
kweli mzee diamond ana kazi kweli...!!! kama great thinkers ndio wanaofanya haya!!!

kazi ipo!!
 
Kwa kweli umejidhalilisha kwenye Front page.Umetuonyesha ni jinsi gani ulivyo "kubuhu" ila umesahau kutujuza kuwa unauza BEI gani? "Delete Futa Kabisa".:thumbdown::thumbdown:

kabisa tata!!!
 
Nilikuwa nakubaliana na alosema wafunguliwe jukwaa lao maana wamezidi now... Kila kukicha vituko hai wazee wanawaharibia tuu ndoa wanawake wenzao... Shameless girls.. Someni acheni vya bure kwa kuiuza miili yenu...,Hiyo gari I have my doubts km u own it...
 
wanamegwa na vibabu,wanavitetea .Hi ni ngumu vijana bado hatuja jipanga kwenye life tunahitaji kujenga sijui shule
halafu natakiwa nihonge kikweli maana laki si pesa .
 
Anauza huyu ye atuambia ni Bei gani tu,ikiwezekana atudokeze kabisa Papuchi yake ina milio aina Gani ya Nokia au Samsung

Una tofauti gani na huyo anayeuza??? wakati na wewe ndiye mteja???
 
kuna proffessional prostitutes, so wanaume vijana wanaelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom