Nimesahau wallet

Nimesahau wallet

Ni bora kusema mapema na je angefika sehemu na matumizi yangeanza na angesema nimesahau walllet ungemuona ni tapeli ni bora nusu shali kuliko shali kamili
 
Jenu
Ushauri wa bure. Ikitokea siku nyingine we mshushe, paki gari, halafu piga debe unataka mwenye wallet! Hapa utakuwa umejitendea haki
 
Last edited by a moderator:
Namulika mwizi mamy!!!

Nyama anauza kutwa kwenye container watu watajuaje sasa kama ni give away price!!!????

Hawa enzi za ujana pale Congo bar ni unamtia hela feki tu akasanuke nazo mbele ya safari huko!!!

U gud lakini???

Sijambo mkaka!!! Habari ya blue Monday?
 
wataje bei hapa....sio ohh mimi sijiuzi.. na kila siku vibomu

yani ukifuatilia topic nyingi za wadada humu utajua biashara kwa kwenda mbele na watu hawajui change wapo humu na wako kazini wanaume watanasaje?
 
Hahahahaa dada zetu mnapenda mteremko na uhusiono ukaisha ulizan mshikaj ni ATM, jitangaze kama ww unauza masela wapate pakujiuguza
 
Wapendwa mstidhalilishe wanaume kwa kufanya comparison na vijana wa jinsia ya kiume wasiojitambua. Dume shabaab linalojiheshimu na kujua wajibu wake hawezi kuja na excuse za "nimesahau wallet" kwani ni za kijinga. Mimi nikikutoa out na-clear bill kama sina akili nzuri vile. Kama sina hela siku hiyo nalala, tabu ya nini? Mwanaume anayejiamini huwa na misimamo thabiti. Nawasihi msituchanganye na hawa vijana wasiojua majukumu yao. Mara mseme wanaume "hawawafikishi" and now "wanasahau wallet". C'mon! mnawatoa wapi hao, mbona wa-mandingo tupo representing like it's nobody's business. You are what you eat.
 
hawajui mashine inahitaji service

Mm demu wangu kila siku huwa ananiambia "baby I love u for really"lkn ukipiga hesabu za vibomu kwa week afadhali tu uende Jolly ukabebe mzoga!

Jioni kwenye simu utasikia"baby pitia hapo niletee king'amuzi kipya"!Technically hata sisi wenye permanent hatupo salama!
 
Mnaboa sana nyie wanaume vijana,yani hamna maana,hamna lolote ndo maana tunawaacha,mnakwepa majukumu yenu,ndo maana vibabu vipo kwenye chat na tutazidi kuvisifia jinsi vilivyo makini,


KUNA SIKU NILITOKA OUT NA MWANAUME KIJANA,KABLA HATA HATUJAFIKA SEHEMU HUSIKA AKAANZA KUJISACHI,MARA KIDOGO AKANIAMBIA BABY NIMESAHAU WALLET HALAFU SIO MARA YAKE YA KWANZA,HALAFU KAPANDA GARI YANGU NILIPATWA NA HASIRA NIKAMSHUSHA NJIANI TENA ILIKUWA USIKU NA NDO UKAWA MWISHO WA UHUSIONO WETU ,

NARUDIA KUSEMA WANAUME MNAOPENDA MTEREMKO TUMEWAGUNDUA,HATUTAWAENDEKEZA.
DOCUMENT KWANZA MZIGO BAADAE

Huna tofauti na wale wa uwanja wa fisi, mnatofautiana kwenye majukwaa ya kufanyia umalaya tu! walllet, wallet, wallet!!!!!!!!
 
yeye kila mtoko anasahau wallet ng'astuka tena angemshusha kwa makofi.
Wanaume mchelemchele shida sana
kama huwezi kulipia outing hata familia hutaweza kuihudumia

Anaekutoa out na mkatumia utakavyo hatakuja kulipa rent/ada mbele ya safari!
 
Mm demu wangu kila siku huwa ananiambia "baby I love u for really"lkn ukipiga hesabu za vibomu kwa week afadhali tu uende Jolly
ukabebe mzoga!


Jioni kwenye simu utasikia"baby pitia hapo niletee king'amuzi kipya"!Technically hata sisi wenye permanent hatupo salama!
ndo ujue maana ya uanaume
 
Anaekutoa out na mkatumia utakavyo hatakuja kulipa rent/ada mbele ya safari!

acha fikra potofu.
Hivi mtu akikulipia rent/ada hamuwezi siku mkaamua kutoka kuchill mahali au kupunga upepo,music.
Basi mpenzi wangu katoka sayari ya mars maana outing kibao,basic needs kama kawa na ya maendeleo anafanya.
Wewe ndo wale mke anakaa hata kutoka kuchill hamtoki loo
 
acha fikra potofu.
Hivi mtu akikulipia rent/ada hamuwezi siku mkaamua kutoka kuchill mahali au kupunga upepo,music.
Basi mpenzi wangu katoka sayari ya mars maana outing kibao,basic needs kama kawa na ya maendeleo anafanya.
Wewe ndo wale mke anakaa hata kutoka kuchill hamtoki loo

Hujaelewa nilichokisema - na sidhani kama utanielewa. Sisemi hivi kwa kukutusi wala kwa connotation mbaya, ila kulingana na maoni yako uliyoyatoa hapa. Kauli/maoni ya mtu humtambulisha mtoa maoni/kauli kuhusu status yake in terms of age, education, marital status etc, etc, etc. Kwa mfano ni vigumu mtu kuelewa mambo ya watoto kama yeye si mzazi.

There is an adage: By the time you realize that your parents were right you will have children who think you are wrong! Na ungo alikuwa kibeku. Acha niwe na "fikra potofu", and in fact am proud of it!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom