Nimerudi

Nimerudi

...tatizo sio uwoga mkuu huwezi kutulazimisha tufukue tope akati imekatazwa katika vitabu vya dini
we endelea kutuita hivyo hivyo waoga
Hahahah haha ha ha haaaa hahaaaa
 
Yaani Tangu tulivyo kuambia kuwa umejamba ndio Umeamua kutuchukia mazima !!!!!

So kama Umejamba Tusikuambie..?!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume nibora tuendelee kuonekana waoga, kuliko tuonekane majasiri kwakigezo chakutapua mitaroo....
 
Sawa nitumie namba PM.
Bila shaka haitazidi 20,000. Au vile unalipiwa ndiyo utafanya mkomoeni?
Hahhaha ikizidi 20k labda nimeupgrade juice to fermented beverages[emoji23][emoji23]....nishakutumia digits..
 
Hahhaha ikizidi 20k labda nimeupgrade juice to fermented beverages[emoji23][emoji23]....nishakutumia digits..
Done..
Enjoy your meal..!

6DI028J0EHA Imethibitishwa. Tsh22,000.00 imetumwa kwa TTCL PESA kwenye akaunti namba 2557xxxxx tarehe 20/6/19 saa 13:56PM. salio lako la M-Pesa ni Tsh10,167.00.
 
Kipi ulichokimis kutoka kwangu?

Wanaume jiandaeni baadae nawalipua,mmenifika kooni

Usiombe kua na mwanaume muoga maishani kwako yani ni kero tupu. jianaume oga ni hasara kwa familia,jamii jwa ujumla...

Asilimia 98 ya wanaume tanzania ni waoga sana,hawana guts kabisa,hawana challenge yoyote ni midunya ya ovyo kabisa
kritika Hii hatari sana kwako kutaja asilimia kubwa hivyo kuwa waoga
 
Done..
Enjoy your meal..!

6DI028J0EHA Imethibitishwa. Tsh22,000.00 imetumwa kwa TTCL PESA kwenye akaunti namba 2557xxxxx tarehe 20/6/19 saa 13:56PM. salio lako la M-Pesa ni Tsh10,167.00.
[emoji2231][emoji2231][emoji2231]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom