Nimerudi

Nimerudi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtoa mada ndo keshatoa msimamo wake! Labda wasubirie uzi mwingine
[emoji23][emoji23][emoji23]ndio imetoka hiyo , wanasema ikirudi ni pancha.
 
...tatizo sio uwoga mkuu huwezi kutulazimisha tufukue tope akati imekatazwa katika vitabu vya dini
we endelea kutuita hivyo hivyo waoga
Kwahiyo kufukua tope ndo kumekatazwa ila kuchepuka hakujakatazwa si eti?
 
Mwanaume ni kristo katika familia na mwanume ni kanisa,mwanamke ni ubavu wa mwanaume...endelea kutudharau siku zako zinahesabika
Mnapojifananisha na Kristo msijifananishe nafasi tu bali mjifananishe na matendo pia Kristo hajawahi kufanya ujinga kwa kanisa lake hata limkosee vipi ila wanaume mnafanya ujinga kwa wanawake
 
Daaa mim naona nirudi tu kwako...huko nitakufa kwa pressure
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Kwahiyo mimi ndio second optin eti?

Halafu ujue huyu ni mdogo wangu hivyo ni abomination.
 
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Kwahiyo mimi ndio second optin eti?

Halafu ujue huyu ni mdogo wangu hivyo ni abomination.
Sidhano kama umeelewa neno "kurudi.."
 
Kipi ulichokimis kutoka kwangu?

Wanaume jiandaeni baadae nawalipua,mmenifika kooni

Usiombe kua na mwanaume muoga maishani kwako yani ni kero tupu. jianaume oga ni hasara kwa familia,jamii jwa ujumla...

Asilimia 98 ya wanaume tanzania ni waoga sana,hawana guts kabisa,hawana challenge yoyote ni midunya ya ovyo kabisa
Ulitumwa hata sasa hivi umerudi
 
Kipi ulichokimis kutoka kwangu?

Wanaume jiandaeni baadae nawalipua,mmenifika kooni

Usiombe kua na mwanaume muoga maishani kwako yani ni kero tupu. jianaume oga ni hasara kwa familia,jamii jwa ujumla...

Asilimia 98 ya wanaume tanzania ni waoga sana,hawana guts kabisa,hawana challenge yoyote ni midunya ya ovyo kabisa
Kwa nini usingeolewa na wamasai na wakulya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom