kritika
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 410
- 1,158
Kipi ulichokimis kutoka kwangu?
Wanaume jiandaeni baadae nawalipua,mmenifika kooni
Usiombe kua na mwanaume muoga maishani kwako yani ni kero tupu. jianaume oga ni hasara kwa familia,jamii jwa ujumla...
Asilimia 98 ya wanaume tanzania ni waoga sana,hawana guts kabisa,hawana challenge yoyote ni midunya ya ovyo kabisa
Wanaume jiandaeni baadae nawalipua,mmenifika kooni
Usiombe kua na mwanaume muoga maishani kwako yani ni kero tupu. jianaume oga ni hasara kwa familia,jamii jwa ujumla...
Asilimia 98 ya wanaume tanzania ni waoga sana,hawana guts kabisa,hawana challenge yoyote ni midunya ya ovyo kabisa