Nimerudi kutoka vekeshen wakuu....

Wakuu,

Nimerudi kutoka Afrika baada ya vekeshen ya miezi miwili na kwa kweli ilikua bomba kishenzi. Nitajaribu kutundika mipicha kadhaa niliopiga ili nanyi mufurahishe macho. kwanza kabisa tuanze na hii:

The View from my hotel room in the morning!



5484196188_059e9a35ec_z.jpg




5484201174_21466dec90_z.jpg


Hii vacation ilikuwa wapi? Au ndio kati ya wale wanafunzi waliokuwa Libya umekimbia vurugu za Gaddaf!
 
Ab Tchaz

Biriani la Mombasa lile kaka ni nooooma! almanusura nikatae rudi bara mie, wale watu wajua kupika sijapata ona, let alone hali ya hewa na mazingira yanavutia sana.
 
Looking at this pictures you wonder with all this beauty and naturity why Tanzania is among the poorest county in the world kwa kweli sipati jubu...
 
Tulikumiss sana mie nilibaki na maswali kibao ,karibu tena ,i hope ume-enjoy vekeshen yako
 
Duh.....nilikua nimelala...
Karibu tena Mkuu...karibu mwalimu....
 
Back
Top Bottom