Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,347
- 6,471
Wakuu,
Nimerudi kutoka Afrika baada ya vekeshen ya miezi miwili na kwa kweli ilikua bomba kishenzi. Nitajaribu kutundika mipicha kadhaa niliopiga ili nanyi mufurahishe macho. kwanza kabisa tuanze na hii:
The View from my hotel room in the morning!
Hii vacation ilikuwa wapi? Au ndio kati ya wale wanafunzi waliokuwa Libya umekimbia vurugu za Gaddaf!