Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
kwa mujibu wa maelezo yako unaonekana una mvuto wa kutosha ndio maana jamaa katumia muda mwingi kukufuatilia ila nina wasiwasi ukiwa kwenye 6 X 6 may be your perfomance is not good, ndio maana baada ya kushiriki nao tendo la ndoa watu wanachapa lapa kwa sababu muonekano wako haufanani na perfomance yako.
nina rafiki yangu alikuwa na msichana mzuri ambaye anavigezo vyote ila alipo shiriki nae tu tendo la ndoa jamaa hakuwa na hamu tena ya kuwa nae kwa sababu appearance ya yule msichana ilimfanya awe na matuini makubwa ya ku-enjoy mapenzi lakini ulipofikia muda wa kufanya mapenzi kukawa na tofauti kubwa kati ya mawazo yake na uharisia.
nakushauri jihimalishe katika masuala ya mapenzi la sivyo utakuwa unakimbiwa
ninamifano mingi ambayo inafanana na issue yako.
pole dadangu
Ni sawa na jamaa aloanzisha thread kuwa mchumba wake anatoa harufu kali lakini anaogopa kumwambia!
Inabidi ajiulize yeye mwenyewe kwanini jamaa anafanya hivi?
Binafsi hata uwe mrembo vipi,...kama ni mchafu kwingineko mmmh