Nimerikoroga

kwa mujibu wa maelezo yako unaonekana una mvuto wa kutosha ndio maana jamaa katumia muda mwingi kukufuatilia ila nina wasiwasi ukiwa kwenye 6 X 6 may be your perfomance is not good, ndio maana baada ya kushiriki nao tendo la ndoa watu wanachapa lapa kwa sababu muonekano wako haufanani na perfomance yako.
nina rafiki yangu alikuwa na msichana mzuri ambaye anavigezo vyote ila alipo shiriki nae tu tendo la ndoa jamaa hakuwa na hamu tena ya kuwa nae kwa sababu appearance ya yule msichana ilimfanya awe na matuini makubwa ya ku-enjoy mapenzi lakini ulipofikia muda wa kufanya mapenzi kukawa na tofauti kubwa kati ya mawazo yake na uharisia.
nakushauri jihimalishe katika masuala ya mapenzi la sivyo utakuwa unakimbiwa
ninamifano mingi ambayo inafanana na issue yako.
pole dadangu

Ni sawa na jamaa aloanzisha thread kuwa mchumba wake anatoa harufu kali lakini anaogopa kumwambia!
Inabidi ajiulize yeye mwenyewe kwanini jamaa anafanya hivi?
Binafsi hata uwe mrembo vipi,...kama ni mchafu kwingineko mmmh
 
Hujalikoroga bibie huo ndo ujanja wa kutambua ukweli. Hapa sioni kama unaomba ushauri gani maana ushamjua jamaa sio kabisa.

Piga mbio kama za marathoni

haisadii kitu kukimbia,anaweza kimbia then atakae mpata amfanyie hivo hivo,..
Cha muhimu ni kujiuliza kasoro yake ni nini?

Especially,usafi binafsi au akiwa on game
 
Bi mdogo piga mwendo hakuna mtu hapo. Ila nawashauri wapenz kina dada. Kweli kama umemsumbua mwanaume zaidi ya miezi mitatu chenga nyingi naomba usijiingize kwenye relationship hizo. Jaribu kusoma ishara/alama za nyakati. Kwa nini umemzungusha wakati ulikuwa unamfeel?

Sometimes you dont want to know yourself. Jitambua wadada kuwa kwenye mahusiano/kuolewa kuko ndani ya mikono yako mwenyewe na ulimi wako. Sasa pale unapozungusha mtu kwa muda mrefu ujeu mwenzio anatake note then later on akilinganisha na wengine anakuta wewe ni bure na tayari ameshajiondoa hamu zake anakuacha anaendelea na yule wa dhat wake aliyesema ndiyo on the sport alipoambiwa anakupenda.

For your case, usigeuke nyuma please, moveeeeeeeeeee!
 
Mpendwa!
Nafikiri umeniwahi...na umefanya kazi nzuri sana ya kuweka hizo thread tatu (sikufika huko kimawazo),ila nilikuwa nashibhiana na wewe kwenye "instict",threads nyingi kwenye jukwaa la mapenzi ni hadithi za kutunga "hypothetical"...sijui wapi tunakwenda kama JF,nafurahi kama kuna wengi wanaliona hilo pia.
 
Mie naona huyo kaka hakukupenda kweli ila ni tamaa tu ivo alivoona haja yake imeisha akaanza kuzingua au alivo talajia hakuvikuta, hii inatokea sana mwanzon waweza m2 ila ukimpata unamwona wa kawaida hana jipya.
 
Hongera kwa kujitahidi kuvumilia....(hebu naomba ufafanue hizi posts)


Pia naomba kupata ufafanuzi wa hii post yako ya January, kabla sijachangia



Sasa hivi naogopa hata kuchangia..utunzi umekuwa mwingi sana!!

Sasa sijui nichukue lipi niache lipi??

wanaharibu jukwaa
 
Kimbia kama kibaka...yani hata usiangalie nyuma.Inawezekana anakuadhibu kwa kumzingua mwanzo sasa kaona akugeuzie kibao.[/QUOTE. Umenichekesha kweli! Achomoke kama kibaka, I like it.
 
Perhaps anatafuta experience ili akupende kwa dhati!...ni imani yangu kua unakumbuka ulikotoka maana post zako za mahusiano zinacontradict kiasi fulani!
 
Japo sister story yake ya kutunga, nimejifunza kitu toka kwake. Ameniongezea ujuzi wa ki intelijensia. Face book
 
Alikupenda mwanzon ukajiche2a sasa alivyokupata akajiuliza ki2 gani alichokua akikisumbukia?jibu hakuna akapotezea mbaya vp ajakumwaga kijiweni kwa masela?demu mwenyewe kikwapa,domo linatema,k**a ina maji pole mwaya ndo mapenz hy kama ulikua hujui
 
Baada ya kukaa mda mrefu bila kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi,nimejikuta naangukia penzi la kaka mmoja tuliyefahamiana miaka mitatu iliyopita, huyu kaka aliniambia kwamba ananipenda toka mwanzo tuliponana, nikampotezea ,hakukata tamaa amekuwa akinisumbua sana kwa simu, sms, email mpka nilipoamua kumkubalia mwishoni mwa mwezi wa pili. Toka tulivyokubaliana kuanzisha urafiki, mawasiliano akawa hataki i tena, yaani atapiga simu siku anayotaka kuonana na mimi tu, hilo lilinikera sna nikaamua kuwa nampigia mimi,mesage nikituma hajibu, baada ya week mbili kupita nikiwa nikipiga simu hapokei kabisa nikamtumia mesage ya kumbembeleza sana kwa nini hapokei simu akasema kwamba mda mwingi huwa anakuwa hana simu, anaweza kuwa ameichana kwenye gari,au kaisahau nyumbani,

Baada ya kuniambia hivyo nikaamua kuwa nampigia na line nyingine tofauti cha ajabu akawa anapokea mda wowote ntakao piga, sema nikawa siongei nakata simu,
nikagundua kuwa hataki tu kupokea simu zangu, kitu kingine nilichofanya nikajoin facebook kwa username nyingine, nikamtumia request na message kwamba nimependa relationship status yake kwani aliandika yupo single na ningependa kuwa girlfriend wake. Lol jinsi alivyorepond sikutarajia kwanza alikubali kuwa mi ntakuwa mpenzi wake na mungu akijaalia ntakuwa mke wake, tulivyokuwa tunaendelea kuchat nikamuuliza una mchumba ama girlfriend akasema yeye yupo single na nisiwe na shaka kabisa, akaniomba number ya simu ili anitafute akitoka kazini, nikapiga chenga chenga sikumpa number siku ya kwanza, siku ya pili nikakuta message nyingi sana zikinisihi nimpe number ya simu kwani ana hamu sana ya kuongea na mimi, ndipo nilipoamua kumwandikia number yangu,sasa tangu nimempa number yangu hajatuma ujumbe tena facebook na mimi sijawasiliana nae week ya pili hii.

Wanajamii hivi huyu kijana ananipenda au nichape lapa tu kabla sijainvest mapenzi mazito kwake, kuumizwa na mapenzi tena sipo tayari

wasichana na wanawake wa leo lazima muelewe unapomzungusha mtu anayekupenda kwa dhati muda mrefu hata siku ukimpa hata hadi na ukoko interest yake huwa inakuwa imeshahama anakujudge kuwa ni msumbufu, au ulimuweka spare baada yakuachwa ukamkubali nae anakuplay kwasababu umejileta kisha ananing'iniza miguu juu ya mawe.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom