Nimerikoroga

chimala

Senior Member
Jul 2, 2010
156
30
Baada ya kukaa mda mrefu bila kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi,nimejikuta naangukia penzi la kaka mmoja tuliyefahamiana miaka mitatu iliyopita, huyu kaka aliniambia kwamba ananipenda toka mwanzo tuliponana, nikampotezea ,hakukata tamaa amekuwa akinisumbua sana kwa simu, sms, email mpka nilipoamua kumkubalia mwishoni mwa mwezi wa pili. Toka tulivyokubaliana kuanzisha urafiki, mawasiliano akawa hataki i tena, yaani atapiga simu siku anayotaka kuonana na mimi tu, hilo lilinikera sna nikaamua kuwa nampigia mimi,mesage nikituma hajibu, baada ya week mbili kupita nikiwa nikipiga simu hapokei kabisa nikamtumia mesage ya kumbembeleza sana kwa nini hapokei simu akasema kwamba mda mwingi huwa anakuwa hana simu, anaweza kuwa ameichana kwenye gari,au kaisahau nyumbani,

Baada ya kuniambia hivyo nikaamua kuwa nampigia na line nyingine tofauti cha ajabu akawa anapokea mda wowote ntakao piga, sema nikawa siongei nakata simu,
nikagundua kuwa hataki tu kupokea simu zangu, kitu kingine nilichofanya nikajoin facebook kwa username nyingine, nikamtumia request na message kwamba nimependa relationship status yake kwani aliandika yupo single na ningependa kuwa girlfriend wake. Lol jinsi alivyorepond sikutarajia kwanza alikubali kuwa mi ntakuwa mpenzi wake na mungu akijaalia ntakuwa mke wake, tulivyokuwa tunaendelea kuchat nikamuuliza una mchumba ama girlfriend akasema yeye yupo single na nisiwe na shaka kabisa, akaniomba number ya simu ili anitafute akitoka kazini, nikapiga chenga chenga sikumpa number siku ya kwanza, siku ya pili nikakuta message nyingi sana zikinisihi nimpe number ya simu kwani ana hamu sana ya kuongea na mimi, ndipo nilipoamua kumwandikia number yangu,sasa tangu nimempa number yangu hajatuma ujumbe tena facebook na mimi sijawasiliana nae week ya pili hii.

Wanajamii hivi huyu kijana ananipenda au nichape lapa tu kabla sijainvest mapenzi mazito kwake, kuumizwa na mapenzi tena sipo tayari
 
Hujalikoroga bibie huo ndo ujanja wa kutambua ukweli. Hapa sioni kama unaomba ushauri gani maana ushamjua jamaa sio kabisa.

Piga mbio kama za marathoni
 
Kimbia kama kibaka...yani hata usiangalie nyuma.Inawezekana anakuadhibu kwa kumzingua mwanzo sasa kaona akugeuzie kibao.
 
Recently mpenzi wangu kaniambia kwamba anataka kushift mapenzi yetu from lovers to just good friends, sikukubalianaa nae kabisa nikamwambia kama kweli ananipenda basi tuendelee kama tulivyokuwa, akasema bado ananipenda ila anataka tufahamiane vizuri zaidi, na kwa kuwa hatukuwahi kudumisha mila akasema itakuwa rahisi kuwa marafiki wa kawaida tu, kwa mawazo ya haraka nikahisi hanitaki tena, na inawezekana ameshaanza kuona mtu mwingine huko nje,inside my heart nimeshindwa kabisa kufanya hiyo transition ya from lovers to just friends, swali langu kwa wapendwa wanajamii should I beleave him, any advice

Hongera kwa kujitahidi kuvumilia....(hebu naomba ufafanue hizi posts)
Baada ya kukaa mda mrefu bila kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi,nimejikuta naangukia penzi la kaka mmoja tuliyefahamiana miaka mitatu iliyopita, huyu kaka aliniambia kwamba ananipenda toka mwanzo tuliponana, nikampotezea ,hakukata tamaa amekuwa akinisumbua sana kwa simu, sms, email mpka nilipoamua kumkubalia mwishoni mwa mwezi wa pili. Toka tulivyokubaliana kuanzisha urafiki, mawasiliano akawa hataki i tena, yaani atapiga simu siku anayotaka kuonana na mimi tu, hilo lilinikera sna nikaamua kuwa nampigia mimi,mesage nikituma hajibu, baada ya week mbili kupita nikiwa nikipiga simu hapokei kabisa nikamtumia mesage ya kumbembeleza sana kwa nini hapokei simu akasema kwamba mda mwingi huwa anakuwa hana simu, anaweza kuwa ameichana kwenye gari,au kaisahau nyumbani,

Baada ya kuniambia hivyo nikaamua kuwa nampigia na line nyingine tofauti cha ajabu akawa anapokea mda wowote ntakao piga, sema nikawa siongei nakata simu,
nikagundua kuwa hataki tu kupokea simu zangu, kitu kingine nilichofanya nikajoin facebook kwa username nyingine, nikamtumia request na message kwamba nimependa relationship status yake kwani aliandika yupo single na ningependa kuwa girlfriend wake. Lol jinsi alivyorepond sikutarajia kwanza alikubali kuwa mi ntakuwa mpenzi wake na mungu akijaalia ntakuwa mke wake, tulivyokuwa tunaendelea kuchat nikamuuliza una mchumba ama girlfriend akasema yeye yupo single na nisiwe na shaka kabisa, akaniomba number ya simu ili anitafute akitoka kazini, nikapiga chenga chenga sikumpa number siku ya kwanza, siku ya pili nikakuta message nyingi sana zikinisihi nimpe number ya simu kwani ana hamu sana ya kuongea na mimi, ndipo nilipoamua kumwandikia number yangu,sasa tangu nimempa number yangu hajatuma ujumbe tena facebook na mimi sijawasiliana nae week ya pili hii.

Wanajamii hivi huyu kijana ananipenda au nichape lapa tu kabla sijainvest mapenzi mazito kwake, kuumizwa na mapenzi tena sipo tayari

Pia naomba kupata ufafanuzi wa hii post yako ya January, kabla sijachangia

Habari wana Jf,

Mwenzenu nilikuwa na boyfriend, uhusiano wetu ulidumu kama mwaka mmoja hivi, baadae akaniambia tuyaweke mapenzi pembeni na tuwe marafiki wa kawaida tu, kwa kuwa nilimpenda sana sikukubaliana na hilo ombi lake, akazidi kusisitiza kwamba lazima tuwe marafiki , nilimbembeleza sana lakini hakubadili msimamo wake, sikuweza kusitisha mawasiliano na yeye, tumeendelea kuwasiliana kwa zaidi ya miezi 6 bila ya kuwa na mahusiano, sasa jana kanitumia message ati anataka kuja kunitembelea nyumbani na atakaa week nzima, na pia akasema kuanzia hiyo jana simu zangu atakuwa apokei ila atakuwa anapiga yeye tu, Jamani mwenzenu sielewi anakuja kutafuta nini nyumbani kwangu na kwa nini kaniwekea masharti nisimpigie simu

Sasa hivi naogopa hata kuchangia..utunzi umekuwa mwingi sana!!

Sasa sijui nichukue lipi niache lipi??
 
Baada ya kukaa mda mrefu bila kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi,nimejikuta naangukia penzi la kaka mmoja tuliyefahamiana miaka mitatu iliyopita, huyu kaka aliniambia kwamba ananipenda toka mwanzo tuliponana, nikampotezea ,hakukata tamaa amekuwa akinisumbua sana kwa simu, sms, email mpka nilipoamua kumkubalia mwishoni mwa mwezi wa pili. Toka tulivyokubaliana kuanzisha urafiki, mawasiliano akawa hataki i tena, yaani atapiga simu siku anayotaka kuonana na mimi tu, hilo lilinikera sna nikaamua kuwa nampigia mimi,mesage nikituma hajibu, baada ya week mbili kupita nikiwa nikipiga simu hapokei kabisa nikamtumia mesage ya kumbembeleza sana kwa nini hapokei simu akasema kwamba mda mwingi huwa anakuwa hana simu, anaweza kuwa ameichana kwenye gari,au kaisahau nyumbani,

Baada ya kuniambia hivyo nikaamua kuwa nampigia na line nyingine tofauti cha ajabu akawa anapokea mda wowote ntakao piga, sema nikawa siongei nakata simu,
nikagundua kuwa hataki tu kupokea simu zangu, kitu kingine nilichofanya nikajoin facebook kwa username nyingine, nikamtumia request na message kwamba nimependa relationship status yake kwani aliandika yupo single na ningependa kuwa girlfriend wake. Lol jinsi alivyorepond sikutarajia kwanza alikubali kuwa mi ntakuwa mpenzi wake na mungu akijaalia ntakuwa mke wake, tulivyokuwa tunaendelea kuchat nikamuuliza una mchumba ama girlfriend akasema yeye yupo single na nisiwe na shaka kabisa, akaniomba number ya simu ili anitafute akitoka kazini, nikapiga chenga chenga sikumpa number siku ya kwanza, siku ya pili nikakuta message nyingi sana zikinisihi nimpe number ya simu kwani ana hamu sana ya kuongea na mimi, ndipo nilipoamua kumwandikia number yangu,sasa tangu nimempa number yangu hajatuma ujumbe tena facebook na mimi sijawasiliana nae week ya pili hii.

Wanajamii hivi huyu kijana ananipenda au nichape lapa tu kabla sijainvest mapenzi mazito kwake, kuumizwa na mapenzi tena sipo tayari

Ameona hulipi au huna mvuto au umechuja au hujitumi kunako

Soma alama za nyakati using'ang'anize usipo pendwa we chapa lapa usipoteze mda wako.
 
Alipokuwa anakutafuta simu ilikuwa on masaa yote sasa amepata alichokuwa anataka
anajidai simu amesahau hapa mara pale tabia umeiona
hakuna mapenzi kabisa hapo kimbia na usigeuke nyuma
usitume msg yoyote kaa mbali kama mbingu na ardhi
 
Hongera kwa kujitahidi kuvumilia....(hebu naomba ufafanue hizi posts)


Pia naomba kupata ufafanuzi wa hii post yako ya January, kabla sijachangia





Sasa hivi naogopa hata kuchangia..utunzi umekuwa mwingi sana!!

Sasa sijui nichukue lipi niache lipi??



Huyu tulishaachana, hiyo January alitaka kuja kunitembelea nikampiga marufuku asije, na mawasiliano nae tena sitaki
huyu ,mpya nimeanza nae mwezi wa pili mwishoni sijui kama ulisoma vizuri hizo post
 
Hongera kwa kujitahidi kuvumilia....(hebu naomba ufafanue hizi posts)


Pia naomba kupata ufafanuzi wa hii post yako ya January, kabla sijachangia



Sasa hivi naogopa hata kuchangia..utunzi umekuwa mwingi sana!!

Sasa sijui nichukue lipi niache lipi??

hahahhahhaahaha hoo my mbavuz.
JF kwa kuchokonoa nawaaminia

jamani kumbukeni kuwa consistent mnaaibika mnajiona haa!!lol
 
Hongera kwa kujitahidi kuvumilia....(hebu naomba ufafanue hizi posts)


Pia naomba kupata ufafanuzi wa hii post yako ya January, kabla sijachangia



Sasa hivi naogopa hata kuchangia..utunzi umekuwa mwingi sana!!

Sasa sijui nichukue lipi niache lipi??

Asante sana mkubwa tusaidiane kujenga nchi
 
Changanya karata zako vizuri na angalia moyo wako unasema vipi na uamue kulingana na moyo wako,pia yafaa umuweke wazi ajue ukweli na natumai itamsaidia hapo baadae kuwa na msimamo wa kutulia na mpenzi mmoja kama utaamua kuachana nae.
 
Huyu tulishaachana, hiyo January alitaka kuja kunitembelea nikampiga marufuku asije, na mawasiliano nae tena sitaki
huyu ,mpya nimeanza nae mwezi wa pili mwishoni sijui kama ulisoma vizuri hizo post

Ulipost July 2010 kwamba mpenzi alitaka muwe marafiki wa kawaida

then ukapost Jan 2011 kwamba unaomba ushauri mpenzi wako anataka muwe good friend..

Hao ni watu wawili tofauti au ni yule yule??

Kama huyu wa sasa ni kweli amefanya hivi...na amekuonesha dalili zote toka mwanzoni, kwa nini ulihangaika kumfuatilia kwenye mitindao (wivu wa hali ya juu)..ulipaswa kumpotezea muda mrefu tu.. au kwa sababu ana gari??

Ila umenichanganya kusema kweli..
 
Mpendwa soma uelewe post, sio unakurupuka tu hapa, zisome hizo post utaelewa mpenzi alienianmbia kuwa tuwe gud friends ndo alitaka kuja kunitembelea
 
Ulipost July 2010 kwamba mpenzi alitaka muwe marafiki wa kawaida

then ukapost Jan 2011 kwamba unaomba ushauri mpenzi wako anataka muwe good friend..

Hao ni watu wawili tofauti au ni yule yule??

Kama huyu wa sasa ni kweli amefanya hivi...na amekuonesha dalili zote toka mwanzoni, kwa nini ulihangaika kumfuatilia kwenye mitindao (wivu wa hali ya juu)..ulipaswa kumpotezea muda mrefu tu.. au kwa sababu ana gari??

Ila umenichanganya kusema kweli..

Hakuna utetezi hapo kachemsha ni wale wale kina shigongo type comedy nyingi sana humu siku hizi
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hongera kwa kujitahidi kuvumilia....(hebu naomba ufafanue hizi posts)


Pia naomba kupata ufafanuzi wa hii post yako ya January, kabla sijachangia



Sasa hivi naogopa hata kuchangia..utunzi umekuwa mwingi sana!!

Sasa sijui nichukue lipi niache lipi??

hahahahahahaha!!
Mpendwa unatumia kinywaji gani vile?
 
Maswali mengine bana.....
Ukiona manyoya si ndo keshaliwa?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ulipost July 2010 kwamba mpenzi alitaka muwe marafiki wa kawaida

then ukapost Jan 2011 kwamba unaomba ushauri mpenzi wako anataka muwe good friend..

Hao ni watu wawili tofauti au ni yule yule??

Kama huyu wa sasa ni kweli amefanya hivi...na amekuonesha dalili zote toka mwanzoni, kwa nini ulihangaika kumfuatilia kwenye mitindao (wivu wa hali ya juu)..ulipaswa kumpotezea muda mrefu tu.. au kwa sababu ana gari??

Ila umenichanganya kusema kweli..

Pole kwa kuchanganyikiwa, ni mtu yule yule aliyetaka tuwe gud friends ndo akataka kuja kunitembelea nyumbani, huyu ninaemsema hapa ni mpyaa tumeanza urafiki mwishoni mwa february
 
Back
Top Bottom