Nimepona, natafuta mechi ya majaribio/kirafiki

Nimepona, natafuta mechi ya majaribio/kirafiki

Gogle

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
1,495
Reaction score
871
Wadau
Two weeks ago nilifanya tohara ( nilikata govi ), nawashukuru wote mulioniombea nipone haraka, Leo nilirudi hospital kwa ajili ya kuondoa kipira nilichowekewa na daktari ameniambia by next week naweza kucheza mechi, so now naanza kutafuta mtu wa kucheza nae mechi ya majaribio,
ambae yuko tayari kucheza mechi ya majaribio ani-pm tafadhali

Asanteni

NB: mods, this thread is for my MMU mates
 
Aisee usikose kutuhadithia tafauti iliyopo na kama kuna majuto.

Afu wakati wamekuweka kipira kile, haukuwahi kupata mhemko ukasimamisha? Ilikuwaje? Yaani nataka kujua shida ulizopata ili kufikiria zitatuliwe vipi.
 
Aisee usikose kutuhadithia tafauti iliyopo na kama kuna majuto.

Afu wakati wamekuweka kipira kile, haukuwahi kupata mhemko ukasimamisha? Ilikuwaje? Yaani nataka kujua shida ulizopata ili kufikiria zitatuliwe vipi.
najuta why sipo govi
 
Wadau
Two weeks ago nilifanya tohara ( nilikata govi ), nawashukuru wote mulioniombea nipone haraka, Leo nilirudi hospital kwa ajili ya kuondoa kipira nilichowekewa na daktari ameniambia by next week naweza kucheza mechi, so now naanza kutafuta mtu wa kucheza nae mechi ya majaribio,
ambae yuko tayari kucheza mechi ya majaribio ani-pm tafadhali

Asanteni

NB: mods, this thread is for my MMU mates

nenda uwanja wa mazoezi kwanza kanunue unajifua ukienda kwenye pambano ukofiti haya wahi
 
Si uende kuchukua mlupo! hapa mates zako wote wako red days
 
Wakati wa mechi nenda kavukavu ndio utafaidi zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom