Nimepokewa na kilio cha wife

Nimepokewa na kilio cha wife

Kapata kitu kama huruma kwa kukutegemea sana wewe wakati ana elimu ambayo haijamsaidia mpaka sasa kuajiriwa (sababu hataki kujiajiri)hivyo kajisikia vibaya.Mwambie awe mpole atapata kazi tu pia aache kudeka.
 
Kapata kitu kama huruma kwa kukutegemea sana wewe wakati ana elimu ambayo haijamsaidia mpaka sasa kuajiriwa (sababu hataki kujiajiri)hivyo kajisikia vibaya.Mwambie awe mpole atapata kazi tu pia aache kudeka.

Asante sana mdau kwa kunielewa na ushauri
 
Mhhhhhhhhhh!! Dunia ya leo si ya kutegemea ajira,jitahid kuhudhuria semina za ujasiamali,mweke karibu na wamama wanaojishughulisha wenyewe hakika atachangamka,na wewe badilisha mtazamo wako anza kusifia uzuri wa kujiajiri (hata kama uongo) mwambie nawe unajipa muda tu ipo siku utajiajir mwenyewe.
 
Mkuu my few ideas;


  • Tunaenda shule na vyuo kujifunza kupambana na mazingira yetu , through employment , entrepreneurship or employing others. Ukiamini ili uwe na kipato ni lazima ujiajiri huo ni utumwa mkubwa sana wa akili. Kwa hili simlaumu maana system imetuaminisha hivyo . Ila there comes a time lazima tujue baadhi ya vitu tulivyoaminishwa wakati wa makuzi ni potofu.She needs to make this decision herself kuwa kipato si lazima uamke alfrajiri uende ofisi yenye viyoyozi, usubiri end of month upate milioni mbili, and the cycle continues.
  • Ili upate ajira lazima akili yako iwe updated maana mwajiri akijua umekaa nyumbani three years ni dalili kuwa kuna mambo yamekupita. Hivyo hebu mpeleke hata british council kuna short courses nyingi za presentation skills, public management , etc ; huku atainteract na wenzake na kuboost confidence level . maana kwa kukaa nyumbani lazima inferiority complex inamnyemelea.
  • Volunteering: hebu kwa muda atoke kwenye desparation ya kupata kazi na kutafuta sehemu anazoweza kuvolunteer . Shule za kimataifa , NGOs, Taasisi binafsi zinaweza kumpa internships hata kwa miezi sita , thorugh that she will build her network, build her self esteem etc. Hawezi hata kujitolea kufundisha? social work? kupamba? kuandika short articles?
  • Nachelea kusema pia labda mkeo ni mzembe wa kusoma mitandao inayoongeza upeo (sina hakika ni hisia tu) ; kwa fani yake anaweza kupata dondoo nyingi za kuhusu events planning, short consulting works, anaweza hata kupitia mitandao kuona short term vacancies ambazo zitamkeep busy. Kama ni msomaji wa shigongo na facebook hebu mshauri apunguze sana na aconcentrate kwenye vitabu vya self esteem, motivation, job searches, aangalie hata series za apprentice kuona soko la ajira lilivyo na competition and what it takes to be above the edge.
  • Je anavyoapply hizo kazi, is she using the right techniques , uandaaji wa CV, barua , etc : atafuta rafiki atakayemsaidia kuupdate hivi vitu kuendana na soko na nyakati. Usikute anaforward CV ile ile aliyokuwa anatumia 5 yrs back. Na tukirudi kwenye point moja hapo juu, kama huwa anavolunteer siku kadhaa itamuongezea sifa kuwa despite being unemployed she willingly decides to make use of her brain for the benefit of the society.
  • Stop pampering her so much and usimpromise kuwa atapata kazi (after all you are not sure) , Aelewe kuwa unaapreciate amefanya sacrifice ya kuacha kazi na wewe unatamani apate kazi ila reality ni kuwa kazi ni ngumu, competetive, na kipato si kazi tu. Tell her boldy kuwa kama wanandoa ni lazima muwaze njia nyingine za kujikeep busy .
 
Habarini wana JF wenzangu.

Mwenzenu yamenikuta leo, ile narudi home toka job nimepokewa na kilio kutoka kwa mke wangu kuuliza kulikoni mama ananijibu amechoka na maisha ya kukaa nyumbani, labda nieleze kwa kifupi ni kwamba mke wangu ni graduate ana degree ya leasure and hospitality toka makerere.

Kama miaka miwili iliyopita alipata kazi kwenye moja ya taasisi za kibenki hapa nchini wakati huo tulikuwa tunaishi Arusha, sasa kwa bahati nzuri mimi nilipata kazi nyingine ikabidi nihamie Dar yeye kwa upande wake alikataliwa uhamisho wa kuja huku Dar.

Ili kuiokoa ndoa yake ikabidi afanye maamuzi magumu ya kuacha kazi kwa kutegemea tukishahamia hapa Dar tutatafuta kazi nyingine tangia kipindi hiko hatujabahatika kupata kazi na juhudi zote tumezifanya ila bado hatujafanikiwa, na nilishatumaga uzi hapa atakaenisadia kumpatia mke wangu kazi nitampa asante ya milioni 1.

Nilimshahuri nimfungulie biashara akaniambia hawezi coz biashara ni wito, sasa leo ndo nimemkuta katika hali hiyo kwa kweli nimejiskia vibaya sana na hata kula hataki, naomba mnisaidie waungwana wenzangu nifanyeje kwa huyu mke wangu maanake kama juhudi zote nimetumia huu mwaka wa 3 sijafanikiwa.

Nakaribisha mawazo yenu wadau.

Ize...
Fungua biashara kisha umuajiri kwenye hiyo biashara.

Nipe mimi hiyo milioni 1 nikuandikie proposal ya biashara itakayomuwezesha mkeo na watu wengine kupata hapo ajira...
 
Dah eti mtu anasema biashara ni wito. du kweli ukomo wa mawazo ya mtu ndo umaskini wake
 
kuna watu tuko kwenye ajira na tunataman option ya biashara yeye hatak......1
huyo mpeleke elimu za ujasiamali tu........!
 
Unalo baba, huyu ana lake jambo , amesoma ili ahajiriwe wakati kila siku serikali inasema hakuna ajira, basi msomeshe aendelee kuwa mwanafunzi mpaka apate udocta, au ajiunge na CDM kama anaweza kupepeta mdomo ili mladi tu asiwe na kashifa maana ukiwa na kashifa maccm yatakusumbua, je, amemaliza mikopo ya elimu ya juu, kama ajamaliza kamlipie tu awe huru.
 
Nimependa ulvyoonesha kumjal ktk hal yake hiyo ya sasa. Mpe faraja tu ya maneno matamu na usku chapa ilale vizuriiiiiiiiiiiiiiii alidhike. No way out coz kulia kwake n huzun kwa familia yenu kwa ujumla

Uwiiii ndugu maneno haya yanatoka kinywani mwako? hahahaaaa kumbe dawa ya kukosa kazi na mtu akianza kulia ni chapa ilale?
 
Habarini wana JF wenzangu.

Mwenzenu yamenikuta leo, ile narudi home toka job nimepokewa na kilio kutoka kwa mke wangu kuuliza kulikoni mama ananijibu amechoka na maisha ya kukaa nyumbani, labda nieleze kwa kifupi ni kwamba mke wangu ni graduate ana degree ya leasure and hospitality toka makerere.

Kama miaka miwili iliyopita alipata kazi kwenye moja ya taasisi za kibenki hapa nchini wakati huo tulikuwa tunaishi Arusha, sasa kwa bahati nzuri mimi nilipata kazi nyingine ikabidi nihamie Dar yeye kwa upande wake alikataliwa uhamisho wa kuja huku Dar.

Ili kuiokoa ndoa yake ikabidi afanye maamuzi magumu ya kuacha kazi kwa kutegemea tukishahamia hapa Dar tutatafuta kazi nyingine tangia kipindi hiko hatujabahatika kupata kazi na juhudi zote tumezifanya ila bado hatujafanikiwa, na nilishatumaga uzi hapa atakaenisadia kumpatia mke wangu kazi nitampa asante ya milioni 1.

Nilimshahuri nimfungulie biashara akaniambia hawezi coz biashara ni wito, sasa leo ndo nimemkuta katika hali hiyo kwa kweli nimejiskia vibaya sana na hata kula hataki, naomba mnisaidie waungwana wenzangu nifanyeje kwa huyu mke wangu maanake kama juhudi zote nimetumia huu mwaka wa 3 sijafanikiwa.

Nakaribisha mawazo yenu wadau.
Nashindwa hata kushangaa!!!!!!Seriously!!kabisa hataki biashara.

Wakati watu tuliacha kazi ili tufanye biashara mwe tumetofautiana.Mpeleke semina za ujasiriamali akahamasike kwanza,mwenyewe atakuomba mtaji huyo.
 
hivi kama ni lazima kutukana hakuna tusi lingine zaidi sehemu nyeti hasa za jinsi ya ke? huyo mkeo anahitaji kufunguliwa akili tu. Si kweli kuwa hawezi biashara ila ni vizuri kumvumilia maana wengi wetu tuna woga. Siku atakaposema anaweza, atajifunza na kitaeleweka. Mtafutie cd na vitabu vya motivation (sijui kama atapenda kusoma au kusikiliza), aende kwenye semina au kozi fupi za ujasiriamali kama pale udec-udsm. Lakini nakubali kuna watu wanaweza kufanya vizuri zaidi wakiajiriwa kuliko kujiajiri.

Kwa kuwa ameng'ang'ania sana kuajiriwa basi muelewe mpeleke kwa hii taasisi ia IMED iko Ilala jengo la walimu (Welcome to IMED Official Website) wana program inaitwa BRIDGE watamtafutia sehemu ya kufanya kazi kama intern na watamsaidia kujitambua zaidi na labda itamrahisishia kupata kazi. Inawezekana taaluma anayo ila hana vigezo vinavyokidhi ushindani kwenye soko la ajira. Nawashauri na vijana wengine wanaohangaika kuajiriwa au kujiajiri muende.

Asante mdau kwa ushauri,
Tanzania inahitaji zaidi watu kama ww wa ku solve tatizo cyo kuanzisha tatizo, tuko pa 1 mkuu
 
sasa yeye anataka wewe ufanyeje? kwani wewe ndo umemnyima kazi?
 
Fungua biashara halafu ajiri mtu mwambie yeye awe anaenda kupiga mahesabu na kumsimamia mfanyakazi na kuondoka as a Manager halaf utaona matunda yake pale biashara ikikua ila nakushauri fanya utafiti wa biashara utakayoianza.........................Mana hali ikiendelea hivyo atatafuta njia haramu za kupata kazi mwishoni watamgonga kienyeji

Nimekuelewa mdau sema hata mimu cyo mtaalam wa biashara na cjawahi kuifanya hata mwaka m1thus y mi naogopa kuanzisha coz wa2 c waaminifu cku hz nicje nikazamisha hela kumbuka mimi ni mtumishi wa umma.
 
Duh! Ni sheedah. Wambieni watu wote wajipe moyo maana Kristo amekusudia kuwapa mema... Nimelikumbuka hili pambio. Embu muimbie kidogo atachangamka!
 
Mkuu my few ideas;


  • Tunaenda shule na vyuo kujifunza kupambana na mazingira yetu , through employment , entrepreneurship or employing others. Ukiamini ili uwe na kipato ni lazima ujiajiri huo ni utumwa mkubwa sana wa akili. Kwa hili simlaumu maana system imetuaminisha hivyo . Ila there comes a time lazima tujue baadhi ya vitu tulivyoaminishwa wakati wa makuzi ni potofu.She needs to make this decision herself kuwa kipato si lazima uamke alfrajiri uende ofisi yenye viyoyozi, usubiri end of month upate milioni mbili, and the cycle continues.
  • Ili upate ajira lazima akili yako iwe updated maana mwajiri akijua umekaa nyumbani three years ni dalili kuwa kuna mambo yamekupita. Hivyo hebu mpeleke hata british council kuna short courses nyingi za presentation skills, public management , etc ; huku atainteract na wenzake na kuboost confidence level . maana kwa kukaa nyumbani lazima inferiority complex inamnyemelea.
  • Volunteering: hebu kwa muda atoke kwenye desparation ya kupata kazi na kutafuta sehemu anazoweza kuvolunteer . Shule za kimataifa , NGOs, Taasisi binafsi zinaweza kumpa internships hata kwa miezi sita , thorugh that she will build her network, build her self esteem etc. Hawezi hata kujitolea kufundisha? social work? kupamba? kuandika short articles?
  • Nachelea kusema pia labda mkeo ni mzembe wa kusoma mitandao inayoongeza upeo (sina hakika ni hisia tu) ; kwa fani yake anaweza kupata dondoo nyingi za kuhusu events planning, short consulting works, anaweza hata kupitia mitandao kuona short term vacancies ambazo zitamkeep busy. Kama ni msomaji wa shigongo na facebook hebu mshauri apunguze sana na aconcentrate kwenye vitabu vya self esteem, motivation, job searches, aangalie hata series za apprentice kuona soko la ajira lilivyo na competition and what it takes to be above the edge.
  • Je anavyoapply hizo kazi, is she using the right techniques , uandaaji wa CV, barua , etc : atafuta rafiki atakayemsaidia kuupdate hivi vitu kuendana na soko na nyakati. Usikute anaforward CV ile ile aliyokuwa anatumia 5 yrs back. Na tukirudi kwenye point moja hapo juu, kama huwa anavolunteer siku kadhaa itamuongezea sifa kuwa despite being unemployed she willingly decides to make use of her brain for the benefit of the society.
  • Stop pampering her so much and usimpromise kuwa atapata kazi (after all you are not sure) , Aelewe kuwa unaapreciate amefanya sacrifice ya kuacha kazi na wewe unatamani apate kazi ila reality ni kuwa kazi ni ngumu, competetive, na kipato si kazi tu. Tell her boldy kuwa kama wanandoa ni lazima muwaze njia nyingine za kujikeep busy .

Aisee so many point noted here ur real pembejeo na cyo jembe acha nitafute namna ya kumfikishia huu ujumbe, thanks mdau
 
Mkuu my few ideas;


  • Tunaenda shule na vyuo kujifunza kupambana na mazingira yetu , through employment , entrepreneurship or employing others. Ukiamini ili uwe na kipato ni lazima ujiajiri huo ni utumwa mkubwa sana wa akili. Kwa hili simlaumu maana system imetuaminisha hivyo . Ila there comes a time lazima tujue baadhi ya vitu tulivyoaminishwa wakati wa makuzi ni potofu.She needs to make this decision herself kuwa kipato si lazima uamke alfrajiri uende ofisi yenye viyoyozi, usubiri end of month upate milioni mbili, and the cycle continues.
  • Ili upate ajira lazima akili yako iwe updated maana mwajiri akijua umekaa nyumbani three years ni dalili kuwa kuna mambo yamekupita. Hivyo hebu mpeleke hata british council kuna short courses nyingi za presentation skills, public management , etc ; huku atainteract na wenzake na kuboost confidence level . maana kwa kukaa nyumbani lazima inferiority complex inamnyemelea.
  • Volunteering: hebu kwa muda atoke kwenye desparation ya kupata kazi na kutafuta sehemu anazoweza kuvolunteer . Shule za kimataifa , NGOs, Taasisi binafsi zinaweza kumpa internships hata kwa miezi sita , thorugh that she will build her network, build her self esteem etc. Hawezi hata kujitolea kufundisha? social work? kupamba? kuandika short articles?
  • Nachelea kusema pia labda mkeo ni mzembe wa kusoma mitandao inayoongeza upeo (sina hakika ni hisia tu) ; kwa fani yake anaweza kupata dondoo nyingi za kuhusu events planning, short consulting works, anaweza hata kupitia mitandao kuona short term vacancies ambazo zitamkeep busy. Kama ni msomaji wa shigongo na facebook hebu mshauri apunguze sana na aconcentrate kwenye vitabu vya self esteem, motivation, job searches, aangalie hata series za apprentice kuona soko la ajira lilivyo na competition and what it takes to be above the edge.
  • Je anavyoapply hizo kazi, is she using the right techniques , uandaaji wa CV, barua , etc : atafuta rafiki atakayemsaidia kuupdate hivi vitu kuendana na soko na nyakati. Usikute anaforward CV ile ile aliyokuwa anatumia 5 yrs back. Na tukirudi kwenye point moja hapo juu, kama huwa anavolunteer siku kadhaa itamuongezea sifa kuwa despite being unemployed she willingly decides to make use of her brain for the benefit of the society.
  • Stop pampering her so much and usimpromise kuwa atapata kazi (after all you are not sure) , Aelewe kuwa unaapreciate amefanya sacrifice ya kuacha kazi na wewe unatamani apate kazi ila reality ni kuwa kazi ni ngumu, competetive, na kipato si kazi tu. Tell her boldy kuwa kama wanandoa ni lazima muwaze njia nyingine za kujikeep busy .

Brilliant, lovely, so kind of you!!
 
Uwiiii ndugu maneno haya yanatoka kinywani mwako? hahahaaaa kumbe dawa ya kukosa kazi na mtu akianza kulia ni chapa ilale?

Ha ha ha ha ha. . Ndio.. sasa analia na chakula hatak then what else.??
 
Back
Top Bottom