Amechoka kukaa nyumbani akati profession yake ni 'leisure' and 'hospitality'...
Mwambie awe creative leisure na hospitality anaweza kuvi apply hapo hapo nyumbani...
Yeye anachohitaji ni kazi tu mdau
Amechoka kukaa nyumbani akati profession yake ni 'leisure' and 'hospitality'...
Mwambie awe creative leisure na hospitality anaweza kuvi apply hapo hapo nyumbani...
Issue ndo kama uzi nilivyoeleza mdau kikubwa anahitaji kazi halali itakayomkeep busy na cyo biashara hawezi mdau
Vitu vngne nikisoma huwa nashangaa ni kweli maisha hayo yapo??????????
sababu ya kulia sijaiona hapo sababu option anayo na ni biashara......... labda kama anataka attention yako tu au ndo mahaba yenyewe hayo.
Yeye anachohitaji ni kazi tu mdau
mbombo ngafu
Issue ndo kama uzi nilivyoeleza mdau kikubwa anahitaji kazi halali itakayomkeep busy na cyo biashara hawezi mdau