Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,536
- 35,051
- Thread starter
-
- #61
Classmate leo dada umefunguka humu mpaka siamini kama ni wewe πleo dada alitupa mambo yake!!!!!!! Anapenda sana ukuni hasa akiona hela!!!!!!!!!
Wapendwa habari zenu.
Leo nimeona niwaletee vi story vyangu na vitakuwa vinapatikana humu kwa mtindo wa picha za zamani na matukio yake.....
1. story namba moja
Hapo chini nakumbuka ilikuwa event moja miaka hiyo!!!!
Mimi nilibahatika kupata kazi nikiwa mdogo sana huku sina uzoefu wa aina yoyote siku hizi mnaita fresh from school. na kiukweli nikitaja hiyo nafasi ni ndogo sana lakini majukumu yake ni makubwa.
Nakumbuka sijui kilitokea nn lakini kwenye ile nafasi tukawa wawili, mwenzangu ni mzoefu mimi sijui lolote kuhusu ile kazi.
Bwana ee!!! nakumbuka baada ya kuanza kazi wikiend...
- leo dada
- tbt
- Replies: 828
- Forum: JF Chit-Chats
2. TBT
Muendelezo
Basi maisha ya kumiliki ofisi yakaanza rasmi.
Boss alikuwa akinipenda sana na kunidekeza sana yaani mpka nikawa raha zaidi kuwa ofisini kuliko nyumbani.
Kipindi yotee haya yanaendelea nilikuwa bikra yes nilikuwa bikra!!!!! Nilikuwa nimehaidiana ku oana na kijana mmoja hivi kwa sasa ni moja Kati ya madaktari bingwa hapa Tanzania.
Boss ikawa kila safari na mimi nimo,, akafanya mpango mpaka nikawa napelekwa na kurudishwa nyumbani na gari ya serikali japo cheo sina.
Nikahamishwa jengo na tukawa rasmi jengo moja na boss.
Basi Kuna siku boss akaja ofisini akaniwekea bahasha...
TBT 3
Maisha ya mahusiano yakaendelea vizuri huku nikifanya kazi kama mwajiriwa na kufuata taratibu zote.
Boss nilianza kumpenda ile kweli kabisa na niliwaza namna gani ya kumdhibiti.
Niliwashirikisha mama zangu wadogo ambao walikuwa mashingingi kweli kweli mama zangu wadogo wakasema kesi ndogo......
Wakaniunganisha na bi chau,, huyu aliyekuwa muigizaji na mtangazaji sijui kama bado yupo!!!!
Bi chau alihitaji alipwe fedha na mafunzo aliniandika kwenye kitabu chake ni wiki moja.
Basi boss nilimshirikisha nilipewa id ya wiki moja na pesa akanipa nikaenda rasmi kwa bi chau na kukaa kwake...
Kwa hiyo pesa heshima, ππ
Anyway, tuseme umempata mtu wa kukutupia hata 100m ila kuna tetesi ana grid, na kwako amekuwa specific kabisa anataka kavu. Unachukua au unatema bungo?
Pesa ina heshima yake bwana!!!!
Sasa naanzaje kukataa si najiweka kwenye mode ya kutumika tunaandana fresh nampa!!!!!
Bora upate ukimwi kwa aliyekwambia kuliko mtakatifu anae kuua kimya kimya
Hukunielewa dada.
Hapo nilimjibu alieleta ushauli kwa wanaume tujifunze kuhonga.
Ndio maana nikasema stori ni nzuri jukwaani ila sio katika jamii.
Mfano leo unaweza kumshauli binti yako atumie k yake kupata vitu kwa wanaume eti kwa kuwa wewe uliitumia? Hio ndio upende wa jamii.
kumbe,,, mi sijatumia k bali bahati ilinifuata kupitia k yangu!!!!!
Hapo la ajabu hakuna hivi ukiwa na mwanaume ana pesa na kakuoa hapo k hutumii.
Soma kwa kuelewa
labda wewe bado mtoto!!! unaweza kumnyima kyuma mwanaume akikutupia hapo 20m cash???Hukumpenda ulitamani hela zake...ungempenda kiukweli usingempa mwarabu maku Nairobi
Halafu ku cheat haimaanishi unamchukia au humpendi mpenzi uliye nae