Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,794
- 58,425
- Thread starter
-
- #461
Na ingekua tunajuana kuna mimi hapa kila leo napondaga ndgu upande wa baba ππππππππSema tu vile hatujuani
Kwamba ndugu wa baba huwakubali??Na ingekua tunajuana kuna mimi hapa kila leo napondaga ndgu upande wa baba ππππππππ
Kuna mmoja alijiunga na nikampa id yangu kabisa sema kashasahau..
Huwa namuonaga humu anapita pita kiufupi ajitambui ππππ
Nawakubali ila sasa huwa nawaponda tuu si unajua kuna mda wananivuruga mimiKwamba ndugu wa baba huwakubali??
Aroooooo π π π π πNa ingekua tunajuana kuna mimi hapa kila leo napondaga ndgu upande wa baba ππππππππ
Kuna mmoja alijiunga na nikampa id yangu kabisa sema kashasahau..
Huwa namuonaga humu anapita pita kiufupi ajitambui ππππ
Itakuwa wewe ndiye kivuruge,unawavuruga.Nawakubali ila sasa huwa nawaponda tuu si unajua kuna mda wananivuruga mimi
Mkuu natania tuu sipo seriously ππππππAroooooo π π π π π
Hapana mkuu kila siku wananitafuta nawakimbia tuu mpaka imekua kesi ahahahahahah πππItakuwa wewe ndiye kivuruge,unawavuruga.
Kivuruge,unawavuruga,Hapana mkuu kila siku wananitafuta nawakimbia tuu mpaka imekua kesi ahahahahahah πππ
Mi mambo ya mtu kutaka kujua nipo wapi ndo stakiKivuruge,unawavuruga,
Kuna vitu unakosea
Au wanakuomba hela
Mambo ya kianza kutembeleana mi staki yaan hata bado ujajipanga vzr upate ugeni khaaaKivuruge,unawavuruga,
Kuna vitu unakosea
Au wanakuomba hela
Aaaaaah kumbe,wanakuchunga.Mi mambo ya mtu kutaka kujua nipo wapi ndo staki
Et yaan mpaka nashangaa haya mambo yanakuja vipi wakat mi ni mkubwa kabisa na ndevu ninazo nowAaaaaah kumbe,wanakuchunga.
Unakosea,wanataka wakusaidieMambo ya kianza kutembeleana mi staki yaan hata bado ujajipanga vzr upate ugeni khaaa
Wanisaidie kitu gani mkuu...Unakosea,wanataka wakusaidie
Pesa za kufanyia mahitaji yako.Wanisaidie kitu gani mkuu...
Ebu funguka hapo ukute ni mmoja wapo et π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ί
Are we serious yaani wanitafute wanipe pesa πππππππππππ oa weee mbona sherehe..Pesa za kufanyia mahitaji yako.
Dada zake,πAre we serious yaani wanitafute wanipe pesa πππππππππππ oa weee mbona sherehe..
Nani huyo anitafute et anipe pesa ya kujikimu are yu seriously ... Nani huyo mzee dingi au dada zake πππππππππππππππππππππ
Uhuhuhuhuhuhuhuh ππππππDada zake,π
Nasikiaga mashangazi sio poaπUhuhuhuhuhuhuhuh ππππππ
Wapo wa kishua ndio ila wakikutafuta watakupa kazi ya kufanya ila sio kupewa pesa,,,
Kiufupi hizo ni ndoto... Mybe ije kutokea 2070 huko yaan shangazi tu aamue anitafute
""Poor nimekutumia pesa hiyo ujikimu""
Alafu agundue nini an...
Acha kuota
Tulia basi hutaki upate wadogo zako wengine kutoka JF?Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa