Nimepigwa kiboya. Roho inaniuma!!

Nimepigwa kiboya. Roho inaniuma!!

Ulimpiga au Ulimgegeda??
Mimi nakumbuka enzi zangu nilitapeleliwa 10,000 na jimama moja hivi nikatulia maana nilikuwa naishi nalo kota moja. Kuna siku umeme ukakata halina hela likaniomba nilikopeshe nikalimbia lije geto lichukue nikafunga mlango yaliyoendelea alikimbia akasahau kama alikuja kuomba hela ya umeme. Since then sikutaka mazoea kabisa
 
Nakazia.... Sasa mtu pesa hana anatongoza mwanamke anafikiria yule mtu atatunzwa na nani???? Mambo ya kutaka kumiliki wanawake huku wanagongewa haya.....

Najua wapo wa anaetunzwa mke.... Nawajibu kabisa anaepaswa kuombwa mgegedo ni mke
Haswaaaa
 
Mwanamke anaweza kuolewa na wanamume zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja?. Mwamme anaweza kuoa wanawake zaidi ya mmoja na nirukusa kisheria za serikali na baadhi ya dini.
Khee mmeshabadilisha na maana ya malaya tena? Ninyi si mnasemaga mwanamke aliyetembea na wanaume wengi ni malaya ila mwanaume aliyetembea na wanawake wengi ni kidume?
 
Hahahaha. Vizuri kitandani balaaa. Mengine siyo shida unaviacha tu vikazimue kwa watoto wenzake
Weee kuna wanawake wamevifuga ndani hivyo na bado vinawanyanyasa na vinawasaliti havinaga hata shukrani
 
Mwanamke anaweza kuolewa na wanamume zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja?. Mwamme anaweza kuoa wanawake zaidi ya mmoja na nirukusa kisheria za serikali na baadhi ya dini.
Sasa basi kama hamuwezi kubadilisha hiyo mitazamo yenu ndiyo msilalamike wanawake wanapowasumbua kuwapa mizigo na nimesema hiyo ni mitazamo tu kwa sababu kwenye dunia hii hii tunayoishi wapo wanawake wengi walioolewa na wanaume zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja
 
siku ukipgwa buku 10, unajilima kitanzi, sa ulitaka nani anunue bando kipnd mnachat
 
Naandika haya huku roho ikiniuma sana. Kabuku ( Tsh 1000 /= ) kangu kameenda kizembe sana. Dah

Siku hizi wadada wamekuwa wepesi sana kutoa namba zao mitandaoni..

Basi bana, juzi kati nkamuomba manzi flani namba. Fasta akanipa. Nkabaki nikijisemea ' Huyu naoa kabisaa '

Basi nkampgia, hakupokea. Bdae nkapga akadai hakuwa na kifurushi, ndio maana kashindwa kuntafuta bda ya kuona misd col.

Nkamwambia uswze. Akasema ' niungie bathiiii bandooo ' kwa sauti yaoo

Kimoyomoyo nkasema ' Tayaliiiiiiiiii '

Ila nkasema fresh, ngoja nijilipue tu. Ile kinyonge nkaenda kwa mangi nkanunua TIGO YA Tsh 1000/= nkamtumia

Athanteeeee ..' Ndio majb yake '

Nkasema fresh Mamilooo.. Takupigia bdae sasa. Akajibu poa.

Asubh nimempgia hakupokea pia. Nmepiga mida hii akadai pia hakuwa na simu plus hana kfurush. ' Niungiee basi bandoooo.. '

Nikasemaaa, Ayaaaaaaaa. Huyu nae vipi. Boyaaaaaàa nini. Kashanigeuzaaa mi falaaa wake sasa...

Sitatuma tena pesa yangu kwa hawa viumbe aiseee..

Buku langu si bora ningeenda kunywa supu ya jelo na chapati mbili.. Na chench ingebaki kabisaa

Nimefuta na namba japo roho bado inauchungu na Buku langu..
Buku tu mkuu unalia namna hi?😄😄😄
 
Siyo ujinga, huyo mwanaume anayeona buku kubwa atulie na hamu zake kwani kalazimishwa kuwa malaya?

Kwamba mwanaume ambaye kwake buku ni kubwa hatakiwi hata kudindisha🤩🤩!! mamaee!! sasa mbona ni wanaume wengi sana tutakufa na vipururu!
 
Nakazia.... Sasa mtu pesa hana anatongoza mwanamke anafikiria yule mtu atatunzwa na nani???? Mambo ya kutaka kumiliki wanawake huku wanagongewa haya.....

Najua wapo wa anaetunzwa mke.... Nawajibu kabisa anaepaswa kuombwa mgegedo ni mke
Anaetunzwa ni mke

Kama sio mke atatunzwa na baba ake huko ni kuingilia majukumu yasituhusu ila wengi hawalielewi hili ni tamaa tu
 
hatari sana
Kwani nawewe buku ni kubwa kwako?

Mimi ni kapuku mmoja hivi ambaye ni jobless,hopeless,helpless,defenseless ninayeishi chini ya $1 usd per day.

Yaani hiyo buku kwangu ni matumizi ya siku nzima na chenji inabaki ya kahawa kesho hasubui. Sasa kwa mujibu wa Marianah watu kama mimi hatutakiwi kabisa kuwaza kwichi kwichii ndio niko hapa nawaza‍♂️‍♂️
 
Back
Top Bottom