Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,201
- Thread starter
- #21
Buku yangu inaniuma sanaa aisee.. Roho imejawa na hasira.
Kuna madem wananjaa kali akisikia tu sauti ya kiume anaskia njaa
Ficha ujinga wako
Ni aibu kumtumia demu buku. Naona aliamua tu kukudharau. Hela ya vocha siwezi tuma chini ya 10,000.


...Basi wewe zama pm yake umtumie buku 2 kumpooza tuone kama utatuma
Kibaya zaidi hilo buku umemuhonga mwanaume mwenzio...
Wewe na Tajiri Kichwa ni ndugu?Ulitakiwa umpige cha week mzee,
Wenzako wanatuma zaidi ya hiyo siwanajua wanaeneza VIRUS HIVNi aibu kumtumia demu buku. Naona aliamua tu kukudharau. Hela ya vocha siwezi tuma chini ya 10,000.
Mimi niliwahi tapeliwa 20000 na mtu sijamgegeda kpita hivi wacha hivi vibuku tano tano, Pia niliwahi tapiliwa Simu ya tecno w 3 ila huyu yuko kitaa namuwazia tu time nimyonge hadi ajikojolee sitaki upuzi Papuchi yake kama ya thamani hata simu yangu pia naipenda.
Jana mwingine nilipatana nkamgegede tukashindwana anatak kumi Goli moja mimi nina 5000 sitaki upuzi wa kike tena
Umeongea nae? Mlishaonana?N Mchumba mzee.. Mtoto mzuri yupo simpo tu. Mwafrika flan hivi.
best hako kakiuno ni kako? nataman kukachezea sijui unaeza nichek pm?
Dogo watu tumehonga nyumba na magari sio moja
Na bado hatujalia we fwala
Hawa ndio wanaume waliobakia duniani hapa......
Buku mtu anaanzisha uzi dah
Rest in peace wanaume wote
Umeongea nae? Mlishaonana?
Mtoa mada wasalimie Tinde.