Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,201
- Thread starter
- #101
Hahaha.. Nilichogundua kwa hawa viumbe ni kuwa wanatoa namba zao mitandaoni ili wajinufaishe kiuchumi ( Mizinga )
Hupigwi mznga peke ako. Na hawana tabia ya kusave namba. Yani ukijichanganya kutuma ulichoombwa shauri yko.. Ukikaa kmy napo utajua mwenyew.
Kwa kifupi hawana rekod zozote kuanzia wamilik na namba ( Waliopgwa mzinga ) Nani katuma. Nan hajatuma..
Hupigwi mznga peke ako. Na hawana tabia ya kusave namba. Yani ukijichanganya kutuma ulichoombwa shauri yko.. Ukikaa kmy napo utajua mwenyew.
Kwa kifupi hawana rekod zozote kuanzia wamilik na namba ( Waliopgwa mzinga ) Nani katuma. Nan hajatuma..
Huyo unamtumia vocha ya 5000/= kabisa na usipige simu tena alafu unatulia zako bila kutarajia chochote in return kutoka kwake, nakuhakikishia tu utamla hata mwaka 2020 atarudi tu kwa njaa siku moja,
Usiwe na haraka pia jifunze kuweka viporo.
