Mh hapo patamuMkuu kwani changu doa nae si binadamu kama wewe na mimi. Kwanza kama kweli umempenda kwa dhatio na ukamwoa,
Mungu atakubariki sana kwa kumsaidia na kumsitiri mja wake kwani utakuwa umemwepushia mengi. Kumbuka hata Mary Magdalene alikuwa hooker. Waswahili wasema: Unaweza ukaligeuza jalala kuwa utajiri
Kwao hawana dhiki sana. Wako poa tuMi nakushauri ujaribu kuchunguza kwanini aliamua kuwa changudoa, Kama atakuwa aliamua kuwa CD kwa sa babu ya maisha duni ya kwao ukimuoa atatulia, lakini kama kwa maisha si duni basi huyo temana nae kwani hataacha hiyo hiyo tabia.
Nimeona wajamaa wengi wakioa machangudoa na wanatulia
Amesha ku-report kwa kalumanzila huyo, na mpaka unataka kumweka ndani it means ushaanza kumchana dry, duh!poor you!nimekwama jamani yaani huyu dada sielewi kwann beki hazikabi
Mimi ni kijana mwenye miaka 26 nina shahada ya chuo kikuu na ninafanya kazi ktk shirika moja la kimataifa. Kiukweli napenda sana wanawake hasa wazuri yaani warembo.
Nilipimaliza chuo nilifanya kazi ktk bank moja dar baada ya kuchoshwa na kazi za bank nilipata kazi ktk shirika hili nilipo sasa huku kanda ya ziwa kwakuwa huku nilikuwa ugenn siku moja nilienda club hapa mwanza ktk cheza cheza nikamuona dada mmoja kwakweli ukimuona alivyopendeza utatamani umuweke ndani lkn ni changudoa.
Nikachukua namba kwa usiku huo mm utaratibu wangu silalagi na mwanamke wa kuokota nikiwa nimelewa.
Kesho yake nilimtafuta nikiwa sijanywa ndo nikalala nae baada ya hapo ikawa kila nikipata chance namuita taratibu ninempenda mpaka bataja kumuoa sasa sijui napotea naomba ushauri mwenzenu!
Huyu mwanamke hakufai, kwa majibu yake haya tu inatosha kuona mtazamo wake, wako wengi kama hao, ukimnunulia gari na duka ndo umemuongeza chati, anaanza ktafuta wazungu, dogo achana na huyu mwanamke anakudanganya tu eti unamtomba vizuri, kagundua wewe sio mjanja anataka kukuingiza mjini.Endelea nae utakumbuka siku yakikupata!Amesema nimnunulie gari na kunfungulia duka la nguo atatulia. My take vyote hvo viko ndani ya uwezo wangu
Nitaipata wapi mkuu nisaidieTafuta movie inaitwa "Prety Woman"kacheza jamaa anaitwa Richard anatumia jina la Edward alimpenda changudoa Vivian utapata bonge la funzo.
Dah mkuu umehit point za ukweli. Yaan ananiburuza sana nakuwa kama mbwa kwa chutuKijana tunakubali mapenzi hayabagui...... ila maisha yanabagua!! Ubaguzi wa maisha unafanywa na makosa mbalimbali ya mtu binafsi au watu wanaomhusu mhusika!! Changudoa ni mwanamke kama wengine, na wengi wanuwezo mkubwa sana wa kumridhisha mwanaume kimapenzi, Tatizo na hofu yangu kubwa ni vitu 2;-
1. Wewe kumridhisha - simaanishi kimapenzi- coz inawezekana kabisa Cd kuinjoi na kuridhika kabisa na mapenzi ya mtu... na maanisha mahitaji yake.. Wengi wa hawa viumbe huingiza pesa nyingi sana kwa siku (hasa wale High class CD).. bahati mbaya sana hata matumizi yao ni makubwa sana (mavazi, vipodozi, vilevi na starehe mbalimbali) yaani akipata leo kesho hana, anamka mweupe na kwenda kuzisaka upya!! kaka, pamoja na hiyo kazi yako uwezekano mkubwa ni wewe kufeli!!
2. Yeye kuridhia - Hili ni tatizo kubwa sana kwa hawa dada zetu... Ni wachache sana (almost negligible percentage) huamua kutulia na akitulia baada ya muda hurudi, yaani siku ukimzingua tuu anakutosa anarudi mzigoni... utamfungulia duka na gari.. lakini akikaa dukani kwa siku kaingiza faida ya 20,000 sijui 30,000(inategemea na duka lenyewe), wengi hu-compare na kazi yake na kuona ule muda wakukaa tu na kufugwa wakati angukuwa kwenye LINDO lake angepiga hela ndefu, angepata kampani ya mashosti zake!!
Kifupi kaka KUNGURU HAFUGIKI...... tulia utapata mademu wapo wazuri wenye utulivu wao japo sio 100%
Mkuu Demo nashaurikaNdugu zangu mnaompa huyu kijana ushauri ni bora hata uwapigie watoto hadithi watakushkuru coz huyu jamaa hashauriki, cjui kwanini ameleta mada maana kila anachoshauriwa anaenda against. OWA BABA UNACHELEEWA KADI ZA MCHANGO LETA HUKU
Yawezekana kaka. Maana siku akiwa hajaenda mzigoni ananiibukia hata usiku wa mananeHuyu mwanamke hakufai, kwa majibu yake haya tu inatosha kuona mtazamo wake, wako wengi kama hao, ukimnunulia gari na duka ndo umemuongeza chati, anaanza ktafuta wazungu, dogo achana na huyu mwanamke anakudanganya tu eti unamtomba vizuri, kagundua wewe sio mjanja anataka kukuingiza mjini.Endelea nae utakumbuka siku yakikupata!
Yaani huyu hasikii kabisa tunaweza kupanga lkn anapeperuka kama kunguruNinaweza kukupa ushauri mzuri .....kwa sababu niliwahi mpenda changudoa(same case as yours) na nikamuoa
na niliyokumbana nayo ni makubwa sana, sasa hivi nimeachana naye, nilichogundua kuwa hawa wanawake wanaojiuza(changudoa) wameathirika kisaikolojia na wanahitaji kufanyiwa councelling, sikushauri kabisa kumuoa, sitaki upate matatizo niliyoyapata, kama unajihisi ume fall sana na huna budi kumuoa, watafute hawa watu wanaotoa service za councelling, kwa Tz sijui, lakini Kenya wako wengi sana, wanaweza kukusaidia kama utaenda naye watamfanyia councelling na watakupa feedback
Yawezekana kaka. Maana siku akiwa hajaenda mzigoni ananiibukia hata usiku wa manane