Mkuu, Dubai sehemu gani? Kama vipi ni-PMHizo ni pesa chafu na kama alivyodokeza Mwalwisi ziko punishable against "anti- money laundering act". Ole wake yeyote atakayekutwa nazo. Dubai kuna Wa Pakistani na Wa Afghanistan wanauza magari kwa bei ya kutupa na lengo ni kusafisha fedha za dawa za cocaine na silaha
2. Ingia mkataba na kampuni ya Bamburi cement ya Kenya kununua meli yote ya cement inayoingia Mwanza. Biashara ni rahisi kwani mara nyingi mzigo wote unanunuliwa pale pale bandarini hata kabla haujaenda godown. Ila kwa taadhari itabidi uwe na godown. Kama utataka contacts kuhusu hii proposal niambie. AU
hapo pekundu.unataka hadi aandike riba ya 15% no ujue ni riba??
sasa ulikopaje hela bila kujua utafanyia nini??
me na doubt huo uwezo wa huyo jamaa kukopesha!!
Mkuu riba (interest) ni kile kiasi ambacho mtu analipa kutokana na mkopo wa assest ya mkopeshaji. Mara nyingi ni asilimia fulani ya pesa ulizokopa whether you make profit or loss.
Lakini according na hii contract ni kwamba jamaa atatoa 15% ya profit aliyopata (profit = faida), kwahiyo jamaa akipata hasara ni kwamba hatalipa chochote bali atarudisha pesa ya mkopeshaji (this is a kind of Joint Venture) Mkopeshwaji anatumia nguvu zake na akili yake na mkopeshaji anatoa mtaji ambapo atapata 15% ya mapato wakati mkopeshwaji atabaki na 85% (yaani watagawana faida)
Mkuu mimi huyo jamaa ningemuita ' angel investor' as opposed to a 'loan shark' kama wengi wanavyomuita hapa jamvini. 15% ya profit sio ishu mahesabu yanachakachulika kaka...
Ushauri wangu.
1. Ila 3b is a lot of money kurudisha kwa miezi 2. Nimewahi kufanya kazi kwenye kampuni yenye mtaji wa zaidi ya 50b na wakaomba mkopo kama huo na kuurudisha wa miezi 12. Kwa vile inaonekana kwako hii ni ' start up capital' muda ni mdogo hivyo negotiate at least miaka miwili AU
2. Ingia mkataba na kampuni ya Bamburi cement ya Kenya kununua meli yote ya cement inayoingia Mwanza. Biashara ni rahisi kwani mara nyingi mzigo wote unanunuliwa pale pale bandarini hata kabla haujaenda godown. Ila kwa taadhari itabidi uwe na godown. Kama utataka contacts kuhusu hii proposal niambie. AU
3. Inategemea jamaa atakubana vipi usiporudisha kwa wakati. Vinginevyo ingiza mtaji kwenye fast moving products hasa sigara na bia cha msingi unyooke moja kwa moja kwa Commercial managers wa haya makampuni na sio depot zao. Mazungumzo yanaweza kuchukua muda kidogo ila mwishoni watakupa dili zuri. Usijali kuhusu 15% ya profit mahesabu utachakachua !!!! Cha msingi jamaa utamlipa pole pole ila utajiongezea muda kibabe akikufuata unamfungulia godown aone bidhaa atakua mpole
Nina rafiki yangu ame ni connect na mfanyabiashara fulani mkubwa.
Huyu bwana ana hard cash nyingi hivyo anakopesha bila riba toka shs 1billion to 10billion.
MASHARTI.
1. He needs between 1 -7 days to disburse the funds
2. The money should be returned within two months
3. He must gain 15% of the profit
4. He is not interested in long term investment
Msaada.
Kuna biashara gani sasa hivi inayoendelea ambayo unaweza uka inject kama 3b na kurudisha ndani ya hicho kipindi? Importation ya sukari from Brazil could be ideal ila wajanja wameshawahi.
Naomba mwenye mawazo anifahamishe
Mkuu koboko/nyoka sorry naomba nitoke nje kdg ya mada. Jana nilikuwa Arusha looks like hawa jamaa wa Bamburi wanataka kudominate soko la saruijii Arusha na sasa nasikia tena kutoka kwako Mwanza. Hv tatizo ni nini hasa kwamba saruji yetu bei iko juui, ubora uko chini au haitoshelezi? Ninaboreka sana kwamba nafasi za ajira nchini ziko chache sasa tunapoanza kuziexport hata zile chache zilizopo napata hofu kidogo ya future ya watanzania.
Too good to be trueNina rafiki yangu ame ni connect na mfanyabiashara fulani mkubwa.
Huyu bwana ana hard cash nyingi hivyo anakopesha bila riba toka shs 1billion to 10billion.
MASHARTI.
1. He needs between 1 -7 days to disburse the funds
2. The money should be returned within two months
3. He must gain 15% of the profit
4. He is not interested in long term investment
Msaada.
Kuna biashara gani sasa hivi inayoendelea ambayo unaweza uka inject kama 3b na kurudisha ndani ya hicho kipindi? Importation ya sukari from Brazil could be ideal ila wajanja wameshawahi.
Naomba mwenye mawazo anifahamishe